Recent posts
10 May 2023, 20:01
Hospitali ya Benjamini Mkapa yazindua huduma ya upandikizaji Uloto
Nchi ya Tanzania inashika nafasi ya 4 kuwa na wangojwa wengi ulimwenguni wa Selimundu huku wenye watoto Elfu 11000 kwa mwaka wanaweza kufa kabla ya kufikisha umri wa miaka 5 sawa na asilimia 50 hadi 90. Na Mariam Kasawa. Waziri…
10 May 2023, 19:24
Wakazi wa Nagulo waiomba Serikali kuwapatia huduma ya umeme
Hivi karibu Serikali kupitia wizara ya Nishati wanakusudia kuongeza mafungu katika Mfuko wa Nishati Vijijini ili kuongeza kasi ya kufikisha umeme katika vitongoji 36,336 . Na Victor Chigwada. Inaelezwa kuwa nishati ya umeme ni muhimu kwa maendeleo ya jamii ikiwamo…
10 May 2023, 18:34
Tume ya haki za binadamuyatangaza kuanza uchunguzi wa kifo cha mwanafunzi wa UDO…
Kwa Mujibu wa kifungu cha 15 (1) cha sheria ya tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora sura ya 391 tume inayo mamlaka ya kuanzisha uchunguzi wake wenyewe juu ya malalamiko yanayoashiria uvunjifu wa haki za binadamu na ukiukwaji…
10 May 2023, 18:17
DUWASA watangaza utiaji saini wa mkataba wa Mradi wa kuboresha na kutibu maji ta…
Gharama za mradi wa Usanifu na Ujenzi WA UBORESHAJI HUDUMA YA UONDOSHAJI NA KUTIBU MAJITAKA unategemea kugharimu Dola za Marekani milioni (70) sawa na Shilingi za Tanzania bilioni 164.85. Na Selemani Kodima. Katika kukabiliana na ufanisi mdogo wa miundombinu ya…
9 May 2023, 16:51
Uvunaji hafifu wa mahindi wapelekea tishio la njaa kwa baadhi ya familia
Mkoa wa Dodoma ulijiwekea malengo ya kulima hekta 7 za chakula lakini mvua hazikunyesha kama ilivyotarajiwa hivyo kuathiri upatikanaji wa chakula kama ilivyotarajiwa kuilazimu Serikali kutoa mahindi ya bei nafuu jumla ya tani 12,747.15. Na Mindi Joseph. Uvunaji Hafifu wa…
9 May 2023, 16:26
Kongwa kufuatilia miradi yote ya maji inayotekelezwa wilayani humo
Miradi mingi ya maji inayo onekana kusua sua inakwamisha utekelezaji wa ilani ya chama Cha mapinduzi suala ambalo haliwezi kufumbiwa macho. Na Benadetha Mwakilabi. Wilaya ya Kongwa imeahidi kufatiliana kufanyia kazi miradi yote ya maji inayotekelezwa wilayani humo ili kuondoa…
9 May 2023, 15:11
NEMC yatoa mrejesho juu ya kufungia sehemu zenye kelele chafuzi
Mnamo tarehe Moja Mei mwaka huu baraza hilo la Taifa la uhifadhi na usimamizi wa Mazingira (NEMC) lilitangaza kuanza opresheni ya kukamata na kufungia maeneo ya kumbi za strehe,nyumba za ibada pamoja na maeneo mengine yanayosababisha mitetemo na kelele kinyume…
9 May 2023, 14:07
Vijana Bahi watakiwa kujiajiri
Mtaji wa kutosha kwaajili ya kuendesha kiwanda hicho unatajwa kuwa changamoto kwa vijana hao. Na Bernad Magawa Ili kupunguza tatizo la kukosekana kwa ajira za kutosheleza vijana wote wenye sifa za kuajiriwa hapa nchini, mafundi Seremala wilayani Bahi wamewaasa vijana…
8 May 2023, 16:54
Bei ya kabichi shambani yawaliza wafanyabiashara
kwa sasa wastani wa bei ya kabichi ni kuanzia shilingi 1500 hadi 2000 huku wachache wakiuza kwa bei kati ya shilingi 1000 hadi 1500 kwa kabichi moja. Na Thadei Tesha. Baadhi ya wafanyabiashara wa Mboga mboga aina ya kabichi Jijini…
8 May 2023, 16:27
Diwani Nzuguni atakiwa kushughulikia changamoto yamigogoro ya viwanja
Mradi wa Visima vya Maji Nzuguni utaandika historia kwa wananchi kutokana na eneo hilo Tangu uhuru halijawahi kuwa na chanzo cha maji safi na salama. Na Mindi Joseph. Diwani wa kata ya Nzuguni Aloyce Luhega ameomba kushughulikiwa changamoto ya Migogoro…