Recent posts
8 May 2023, 15:53
Kamati ya kuduma ya bunge ya maji na mazingira yatembelea bwawa la mtera
Mradi wa Maji mtera unategemewa kuongeza maji na kufika jumla ya lita milioni 201 ambazo zitaweza kutumika kwa miaka 13 ijayo jijini Dodoma. Na Seleman Kodima. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira pamoja na wataalamu kutoka wizara…
8 May 2023, 14:59
Zifahamu dalili za hatari kwa mama mjamzito
Je ni dalili zipi hizo ambazo ni hatari kwa mama mjamzito? Na Yussuph Hassan. Leo tunazugumzia dalili hatari kwa Mama mjamzito ambapo Dkt Abdallah Majaliwa kutoka hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Dodoma anaeleza kuhusu dalili hizo.
8 May 2023, 13:51
Wananchi wajitokeza kuchimba Msingi ujenzi wa Madarasa Bahi
Wakazi wa kijiji cha Bahi sokoni wameeleza kupokea mradi huo kwa furaha na kuiomba serikali kuendelea kupeleka miradi ya maendeleo katika kijiji hicho. Na Bernad Magawa. Wananchi wa kijiji cha Bahi Sokoni wilayani Bahi wamejitokeza kwa wingi kuchimba msingi wa…
5 May 2023, 16:38
Wafanyabishara Maisha plus waiomba serikali kufanya ukarabati
Baadhi ya wafanyabiashara wanasema kuwa viongozi hao wamekuwa wakiahidi kupatia ufumbuzi baadhi ya changamoto hizo bila ya kutekeleza ahadi hizo. Na Thadei Tesha. Baadhi ya wafanyabiashara wa matunda na mbogamboga katika soko la maisha plus jijini Dodoma wameiomba serikali kufanya…
5 May 2023, 16:06
Nini unatakiwa kufanya unapo baini dalili za usonji kwa mtoto
Le Dkt Arapha anaeleza hatua zinazopaswa kuchuliwa unapoona dalili za Usonji kwa mtoto. Picha na Yussuph Hassan. Na Yussuph Hassan. Leo tunaendelea kuzungumzia nini cha kufanya endapo mzazi au mlezi akiona dalili za mtoto mwenye usonji, tunaungana na Dkt Arapha…
5 May 2023, 15:45
Kondoa watakiwa kukamilisha miradi ya maendeleo kwa wakati
Na Mindi Joseph. Katibu Tawala Mkoa wa dodoma Bw. Ally Senga ameangiza ujenzi wa Miradi ya maendeleo ya kimkakati inayotekelezwa katika Halmashauri ya Kondoa Mji kukamlika ifikapo June 15 mwaka huu. Ameyabainisha hayo baada ya kutemebelea Miradi hiyo ikiwemo shule,…
5 May 2023, 15:06
Mila na desturi kandamizi zatajwa kumdidimiza mwanamke
Aidha ameisihi jamii kuwaamini wanawake katika maamuzi kwani hata Dira ya Taifa ya 2025 ya JMT, Malengo ya Maendeleo Endelevu (2030) hasa lengo Na. 5 na MKUKUTA (I&II) vinataka kuwepo kwa usawa katika masuala ya uongozi ama maamuzi. Na Alfred…
5 May 2023, 14:45
Wawekezaji watakiwa kufanya tahmini ya athari za mazingira
Na Fred Cheti. Baraza la Usimamizi na uhifadhi wa Mazingira (NEMC) limewataka wawekezaji wote wa miradi ya maendeleo nchini kufanya tathimini ya athari kwa mazingira katika miradi yao ili kuepusha migogoro itakayotokana na uchafuzi wa mazingira. Hayo yameelezwa na Bwn.…
4 May 2023, 16:09
Zifahamu sifa za watoto wenye Usonji
Dkt Arapha Aragika kutoka hospitali ya Taifa ya Afya ya akili Mirembe. Picha na Yussuph Hassan. Watoto wenye usonji pia wanazo sifa mbalimbali kama anavyo ainisha Dkt. Arapha. Na Yussuph Hassan. Leo tunaendelea kuzungumzia sifa za watoto wenye usonji, tukiungana…
4 May 2023, 14:58
Wazazi waombwa kuchangia chakula cha Mchana shuleni
Na Bernad Magawa. Katika kuhakikisha kuwa wanafunzi wa sekondari wanakuwa makini katika ujifunzaji wawapo shuleni hususa ni nyakati za mchana, wazazi wilayani Bahi wameombwa kuwezesha upatikanaji wa chakula cha mchana shuleni ili wanafunzi waweze kujifunza kwa utullivu. Akizungumza na kituo…