Dodoma FM

Recent posts

19 April 2023, 13:19

Aina za ugonjwa wa Ukoma na tiba zake

Zipo aina mbili za ukoma je ni zipi hizo? Na Yussph Hassan. Leo Dkt. Paul Shunda kutoka Wizara ya Afya kitengo cha kuzuia ulemavu anazungumzia juu ya aina za Ugonjwa wa ukoma na tiba zake.

19 April 2023, 12:42

Waziri Ummy aitaka Mirembe kujikita katika kukuza afya ya akili

Kituo hicho kitahusisha huduma za tiba ya akili, tafiti mbalimbali za maradhi hayo, mafunzo ya Afya za akili na kuhamasisha jamii kuwa na uelewa juu ya Afya ya akili. Na Alfred Bulahya Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu  ameitaka  Bodi…

19 April 2023, 12:23

CCM Bahi yataka ujenzi wa stendi ya mabasi uchunguzwe

Suala la changamoto ya stendi mpya ya mabasi wilayani Bahi limekuwa likilalamikiwa na wananchi kwa muda mrefu kutokana na changamoto zilizopo eneo la stendi lakini adha kubwa ikiwa ni ongezeko la nauli mara mbili kutoka Bahi mpaka Dodoma mjini. Na…

18 April 2023, 18:06

NEMC yaanza oparesheni kudhibiti vifungashio visivyo takiwa

Mnamo tarehe 1 Juni, 2019, Serikali ilipiga Marufuku Uzalishaji; Uingizaji nchini, Usafirishaji nje ya nchi; Usambazaji; na Matumizi ya mifuko ya plastiki kwa kile kinachodaiwa kuwa mifuko hiyo ni chanzo cha uchafuzi wa mazingira. Na Fred Cheti. Serikali kupitia baraza…

18 April 2023, 16:49

Zifahamu dalili za Ukoma

Ufahamu ugonjwa wa ukoma na dalili zake. Ugonjwa wa ukoma huambatana na dalili mbalimbali ambapo dalili hizo huchukua muda kujitokeza na leo tukiendelea kufahamu dalili zake na Dkt. Paul Shunda kutoka Wizara ya Afya kitengo cha kuzuia ulemavu baada ya…

18 April 2023, 15:39

Dc kongwa akerwa na ubadhirifu wa fedha 6,394,000/=

Katika taarifa iliyosomwa inaonyesha kiasi cha shilingi milioni 6,394,000 hazijathibitika matumizi yake NA Bernadetha Mwakilabi, Kongwa Mkuu wa wilaya ya Kongwa Mheshimiwa Remidius Mwema Emmanuel ameagiza ofisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU wilaya ya Kongwa kufanya uchunguzi juu…

18 April 2023, 14:07

Serikali yawataka wamiliki na wasambazaji wa mifuko ya plastiki kujisajili

Hivi karibuni Baraza la uhifadhi na usimamizi wa Mazingira NEMC kupitia Mkurugenzi wake Mkuu Dkt Samuel Gwamaka lilitoa maelezekezo kwa wamiliki na wazalishaji wa mifuko ya plastiki nchini kuhakikisha wanajisajili. Na Fred Cheti. Serikali hivi karibuni kupitia baraza la hifadhi…

18 April 2023, 13:24

Migogoro baina ya viongozi Bolisa yazorotesha maendeleo

Katibu wa jumuiya ya wazazi wa chama cha mapinduzi wilayani humo amekemea mwenendo wa migogoro hiyo kwani itawagharimu katika uchaguzi ujao wa serikali za mitaa. Na Nizar Mafita. Migogoro na maslahi binafsi ya viongozi na wananchi katika Kata ya Bolisa…

17 April 2023, 16:50

Wananchi wakosa elimu ya mboga lishe

Mboga lishe ni miongoni mwa bidhaa za mbogamboga zinazopatikana katika masoko mbalimbali jijini Dodoma ingawa bidhaa hii imekuwa ikipatikana kwa uchache . Na Thadei Tesha. Baadhi ya wafanyabiashara wa mboga lishe jijini Dodoma wamesema kuwa ukosefu wa elimu pamoja na…

17 April 2023, 14:45

Hospitali ya wilaya Bahi kuanza kutoa huduma za watoto Njiti

Kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwa halmashauri ya wilaya ya Bahi zaidi ya miaka kumi iliyopita, wananchi wameanza kupata huduma muhimu za afya ambazo walizifuata katika hospitali ya mkoa wa Dodoma lakini kwa sasa huduma zote zinapatikana wilayani Bahi.…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger