Dodoma FM
Dodoma FM
14 April 2023, 4:05 pm
Zao la muhogo ni muhimu kwa matumizi ya chakula na biashara kwani ni moja kati ya zao linalo stahimili ukame na hustawi katika maeneo yenye Mvua chache. Na Mindi Joseph. Zao la Muhogo Mkoani Dodoma limetajwa kususiwa na Wakulima kufuatia…
14 April 2023, 3:12 pm
Ngoma zimeendelea kuwa moja ya urithi wa katika kabila hili la wagogo ka njia njia ya kuburudika katika sherehe mbalimbali. Na Yussuph Hassan. Ngoma za wagogo, ngoma hizi ni jadi ya kabila la kabila la wagogo katika shughuli mbalimbali huchezwa…
14 April 2023, 1:59 pm
Gugu ameeleza kuridhishwa kwa kiasi kikubwa na utekelezaji wa miradi hiyo na kutoa pongezi kwa uongozi wa halmashauri. Na Bernad Magawa. Katibu tawala wa mkoa wa Dodoma Ally Gugu ameeleza kufurahishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo wilayani Bahi huku…
14 April 2023, 1:31 pm
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) inatarajia kukamilisha ujenzi wa vyuo 25 vya Wilaya kwa kutumia nguvu kazi ya ndani yaani force account. Na Alfred Bulahya. Wananchi wilayani Chamwino Mkoani Dodoma, wameishukuru Serikali kwa kuanza ujenzi wa…
14 April 2023, 11:51 am
Hivi karibuni serikali kupitia waziri wa habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Mh Nape Nnauye ilisema kuwa Ushoga,Usagaji pamoja na mapenzi ya jinsia moja hayana nafasi nchini. Na Fred Cheti. Wito umetolewa kwa wanawake nchini kusimama katika nafasi zao katika ulezi…
13 April 2023, 6:33 pm
Ndonye ilitumika kwa watoto wadogo hapo zamani wa kabila hili la wagogo kama kinga ya macho lakini kwasasa wanasema hawaweki tena alama hiyo. Na Yussuph Hassan. Makabila mbalimbali Afrika na Tanzania huwa na alama mbalimbali ambazo hutambulisha kabila hilo kwa…
13 April 2023, 5:43 pm
Wapo vijana mbalimbali ambao wameweza kunufaika na uwepo wa elimu ya ufundi VETA ambapo imewasaidia kwa kiasi kikubwa katika kujiajiri. Na Thadey Tesha Baadhi ya vijana jijini Dodoma wamesema kuwa elimu ya ufundi stadi wanayoipata kutoka VETA imekuwa msaada kwao…
13 April 2023, 5:08 pm
Jiji la Dodoma limetakiwa kutenga fedha na kuongeza vifaa vya Tehama kwa shule kwa lengo la kuendelea kuboresha ujifunzaji wa wanafunzi shuleni. Na Mindi Joseph. Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Jabiri Shekimweri amewataka walimu wanaosimamia Tehama kufuatilia kwa karibu maudhui…
13 April 2023, 3:53 pm
Hii ni njia ya kuzuia maambukizi ya VVU kwa mtu asiye na VVU ambaye anaweza kuwa ameambukizwa virusi hivi Na Yussuph Hassan. Tunaendelea na mfululizo wa kuzungumzia juu ya dawa kinga za VVU, Prep na Pep, na leo Afisa Tabibu…
12 April 2023, 6:35 pm
Tayari DUWASA imeomba marekebisho ya bei za maji hadi mwaka 2026 ili kukidhi marekebisho ya miundombinu ya maji. Na Mindi Joseph. Kwa Mujibu wa ufuatiliaji uliofanywa na Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma ya Nishati na Maji Ewura CCC…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-