Recent posts
10 July 2023, 16:49
Biashara ya tangawizi, vitunguu swaumu yadoda Dodoma
Kwa sasa miongoni mwa viungo vinavyoonekena kushamiri katika masoko mbalimbali jijini Dodoma ni pamoja na vitunguu swaumu na tangawizi ambapo wengi wa wafanyabiashara hao wanasema kuwa msimu wa bidhaa hizo ni sasa kutoka mashambani. Na Thadei Tesha. Baadhi ya wafanyabiashara…
10 July 2023, 14:56
Wilaya ya Bahi yaagizwa kuongeza shule za kidato cha nne na tano
Mheshimiwa Godwin Gongwe ameahidi kuhakikisha anasimamia utekelezaji wa Maagizo yote yaliyotolewa na Mkuu wa Mkoa. Na Bernad Magawa. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mheshimiwa Rosemary Sitaki Senyamule ameuagiza uongozi wa wilaya ya Bahi kuongeza shule za kidao cha tano na…
7 July 2023, 18:12
Msimu wa mavuno, bei ya mchele yashuka sokoni
Kwa sasa wastani wa bei ya mchele sokoni ni kati ya shilingi 2,300, 2,500 na kuendelea ambapo hapo awali ilikuwa kati ya shilingi 3,000, 3,500 na kuendelea na kwa mujibu wa wafanyabiashara wanasema kushuka kwa bei ya bidhaa hiyo kumetokana…
7 July 2023, 17:27
Wafanyabiashara Dodoma watakiwa kwenda maeneo waliyotengewa
Mara kadhaa Dodoma Tv imeshuhudia baadhi ya wafanyabiashara wakilalamikia mgambo wa jiji kuwafukuza katika maeneo ambayo wamekatazwa kufanya biashara ambapo mara kadhaa halmashauri ya jiji imekuwa ikiwataka kuhamia katika maeneo waliyopangiwa. Na Thadei Tesha. Wafanyabiashara wanaofanya biashara katika eneo lilopo…
7 July 2023, 14:58
Lugha ya kiswahili ni fursa ya kiuchumi duniani
Mamlaka zinazoshughulikia masuala ya ajira ikiwemo Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu zimetakiwa kuhakikisha kuwa wanaandaa na kuratibu mipango ya kutafuta nafasi za kufundisha lugha ya Kiswahili katika Nchi mbalimbali ili Watanzania waweze kwenda kutumia fursa…
7 July 2023, 13:03
Halmashauri yaeleza mikakati yake ya kutatua migogoro ya ardhi
Itaundwa timu ya wataalam wa ardhi wa jiji la Dodoma kwa kushirikiana na baadhi ya wananchi hao ambayo itakaa ndani ya siku 7 na kupitia maeneo mbalimbali ya mgogoro. Na Fred Cheti. Halmashauri ya jiji la Dodoma imesema moja ya…
6 July 2023, 17:22
Serikali kupitia JKT kuwafundisha stadi za kazi watoto waishio katika makao ya w…
Jeshi la Kujenga Taifa JKT limekabidhi msaada wa mchele, sukari, mafuta ya kupikia, chumvi na unga wa ugali unaozalishwa na vijana walioko kwenye kambi mbalimbali za JKT nchini. Na Mariam Matundu. Serikali kupitia Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) imeandaa mkakati…
6 July 2023, 16:50
Bahi: Nollo kupeleka umeme, maji shule mpya ya Nagulo
Nollo amesema kufanya hivyo kutaongeza thamani katika mradi huo ulioletwa na serikali kwa lengo la kuwasaidia wananchi. Na Bernad Magawa Mbunge wa jimbo la Bahi Mheshimiwa Kenneth Nollo ameahidi kupeleka huduma ya maji umeme pamoja na kuchonga barabara kuingia shuleni…
6 July 2023, 16:05
Vijana 300 kunufaika na mradi wa kilimo Bahi
Vijana wametakiwa kuimarisha vikundi vyao kwani tayari vimesajiliwa na vinatambulika kisheria. Na. Bernad Magawa Vijana 300 wilayani Bahi watanufaika na mradi wa kilimo kwanza unaowashirikisha vijana kutekeleza shughuli za kilimo kupitia Mashamba Darasa ili kusaidia jamii kuwa na uhakika wa…
5 July 2023, 17:48
Wakulima wa Nyanya watamani viwanda vya kusindika zao hilo
kwa sasa wastani wa bei ya nyanya sokoni ni kati ya shilingi 2000, 2500 hadi 3000 kwa ujazo wa sado moja. Na Tadei Tesha. Baadhi ya wafanyabiashara pamoja na wakulima wa nyanya katika soko kuu la majengo jijini Dodoma wameiomba…