Recent posts
4 July 2023, 18:11
Makatibu tawala watakiwa kutekeleza majukumu kwa kuzingatia utawala bora
Mafunzo hayo ya siku tatu yameandaliwa na Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa kushirikiana na Taasisi ya Ungozi yamehusisha Makatibu Tawala wa Wilaya 135 za Tanzania Bara. Na Mindi Joseph. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa…
4 July 2023, 16:39
Zaidi ya shilingi millioni 300 kujenga miundombinu ya maji Kigwe
Wazawa wametakiwa kupewa kipaumbele zaidi katika miradi mbalimbali inayo anzishwa wialayani humo. Na Bernad Magawa Zaidi ya Shilingi million 300 zinatarajiwa kujenga miundombinu ya maji katika kata ya kigwe ili kuwaondolea changamoto ya kukosa maji safi wananchi wa kata hiyo…
4 July 2023, 15:49
Nollo atatua changamoto ya huduma za afya Mapinduzi Kigwe
Uwepo wa huduma za afya kwenye kila kijiji wilayani Bahi mkoani Dodoma kutawahakikishia wananchi wa wilaya hiyo usalama wa afya zao pindi watakapopatwa na maradhi mbalimbali. Na Bernad Magawa. Mbunge wa jimbo la Bahi Mhe. Kenneth Nollo ametoa zaidi ya shilling…
3 July 2023, 17:37
REA yafikisha umeme vijiji vyote 87 Kongwa
Mradi wa kusambaza umeme katika Maeneo ya pembezoni mwa miji awamu ya pili wilayani kongwa umegharimu Bilion Moja Milion miatano themanini na tatu laki nane tisini na tisa elfu mia nne sabini na nane na senti sita 1,583,899,478.06 Na Mindi…
3 July 2023, 15:35
Waziri Mhagama akabidhiwa kipande cha sehemu ya ujenzi wa uwanja wa Mashujaa
Mwakilishi wa kampuni ya Ujenzi kutoka SUMA JKT kanda ya Kati Meja Samweli Jambo, amesema ujenzi huo umefuata taratibu zote za upimaji na viwango. Na Pius Jayunga. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na…
3 July 2023, 14:50
Waganga tiba asili, wakunga 28 watunukiwa vyeti
Mafunzo hayo yaliyodumu kwa muda wa wiki moja yametolewa na wakufunzi kutoka Taasisi ya afya na sayansi shirikishi Dodoma (DIHAS) (Dodoma Institute of Health and allide Science). Na Alfred Bulahya. Jumla ya waganga wa tiba asili na wakunga 28 kutoka…
3 July 2023, 14:15
Halmashauri ya jiji Dodoma kugawa viwanja 1,035 kama fidia
Mwaka wa fedha ujao 2023/2024 halmashauri inatarajia kupima takribani viwanja 6,000. Na Fred Cheti. Halmashauri ya jiji la Dodoma inatarajia kugawa jumla ya viwanja 1,035 kwa kufidia na kuwapunguzia wananchi wanaodai viwanja takribani viwanja 3,995 eneo la Nala. Hayo yameelezwa…
30 June 2023, 17:34
Familia zatakiwa kuzingatia lishe bora Bahi
Ulaji unaofaa kwa kuzingatia makundi matano ya vyakula unajenga kinga ya mwili na kukabiliana na maambukizi ya magonjwa mbalimbali. Na Mindi Joseph. Jamii imehimizwa kuendelea kuzingatia mlo kamili ikiwemo makundi matano ya chakula ili kujenga familia zenye afya bora. Savera…
30 June 2023, 17:02
Dodoma: Wafanyabiashara waomba kuboreshewa mazingira
Katika eneo hilo zipo daladala zinazoelekea maeneo mbalimbali nje ya jiji ikiwemo Mpunguzi ambapo pia wapo baadhi ya akina mama na wafanyabiashara wadogo wanaojishughulisha na biashara katika eneo hili ingawa hali ya upatikanaji wa wateja sio ya kuridhisha. Na Thadei…
30 June 2023, 16:34
Wizara ya Ardhi yajadili namna ya kumaliza migogoro ya ardhi Dodoma
Juni 30 Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula atakutana na wananchi jijini Dodoma Kusikiliza changamoto za upatikanaji wa hatimiliki ya ardhi. Na Mindi Joseph. Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula…