Dodoma FM

Recent posts

8 June 2022, 2:28 pm

Vijana watakiwa kuchangamkia fursa

Na; Lucy Lister . Vijana jijini Dodoma wametakiwa kuwa mstari wa mbele katika kuchangamkia fursa mbalimbali zinazojitokeza na kuacha tabia ya kuchagua  kazi. Akizungumza na Dodoma fm Bw. Charles Mathias ambaye anajishughulisha na suala la kuongeza thamani kupitia biashara ya…

8 June 2022, 1:36 pm

Vyuo vinavyo sajili Bunifu vyatakiwa kuwaendeleza wabunifu

Na;Mindi Joseph . Vyuo vinavyosajili Bunifu Hapa Nchini na Sekta Binafsi zimeombwa kuendelea kuwawezesha  na kuwaendeleza wabunifu ili waweze kuuza  kazi zao ndani na nje ya nchi. Akizungumza na Taswira ya Habari Mwenyekiti wa Baraza la Elimu ya Ufundi na…

31 May 2022, 1:30 pm

Uhaba wa maji Suguta ni kikwazo cha ndoa nyingi

Na;Mindi Joseph .           Wananchi Kijiji cha Suguta wilayani kongwa wameiomba serikali kuwatatulia changamoto ya maji ambayo inawakabili kwa Muda mrefu. Taswira ya habari imezungumza na Baadhi ya wanawake ambapo wamesema wamekuwa wakilazimika kukaa kisima kwa muda mrefu wakisubiria kuchota maji.…

31 May 2022, 1:16 pm

Halmashauri ya jiji la Dodoma yaanzisha mpango wa kufanya usafi

Na; Fred  Cheti    Katika kuendelea kuimarisha usafi wa mazingira jijini hapa halmsahauri ya jiji la Dodoma kwa kushirikiana na wadau mabalimbali wa mazingira imeanzisha mpango wa kufanya usafi  siku ya jumamosi katika kata mabalimbali zilizopo jijini hapa. Afisa Mazingira jiji…

30 May 2022, 5:01 pm

Uchafuzi wa mazingira wachagiza mabadiliko ya hali ya hewa

Na ;Victor Chigwada. Matokeo ya mabadiliko ya Hali ya hewa nchini na hata dunia kwa ujumla yamekuwa yakichangiwa na shughuli za  uchafunzi wa mazingira ikiwa ni pamoja ukataji wa misitu ovyo Suala la matumizi ya mikaa nchini limekuwa chachu ya…

30 May 2022, 4:45 pm

Waziri Jafo ahimiza utunzaji wa msitu wa Iyumbu Park

Na;Mindi Joseph .    Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Dkt. Seleman Jafo amesema eneo  la msitu la Iyumbu Park likihifadhiwa ipasavyo linaweza kuwa chanzo cha utalii. Eneo hilo lina zaidi ya hekari 3000 limekuwa eneo maalum…

30 May 2022, 4:34 pm

Ujenzi wa vyumba vya madarasa waendelea Bahi

Na;Mindi Joseph.    Ujenzi wa madarasa katika shule za sekondari na Msingi kata ya bahi unaendelea ili kuhakikisha wanatatua changamoto ya Madarasa kwa wanafunzi. Akizungumza na Taswira ya habari Diwani wa kata hiyo Bw,Agustino Ndonuu amesema wananchi wameunganisha nguvu kwenye jitihada…

27 May 2022, 3:22 pm

Wakazi wa Magaga waiomba serikali kuwatatulia changamoto ya barabara

Na;Mindi Joseph. Wananchi wa kitongoji cha Magaga wameiomba serikali kuwatatulia changamoto ya miundombinu ya Barabara Kutoka Magaga kuelekea Mvumi pamoja na kuwajengea Daraja. Wakizungumza na taswira ya habari wamesema changamoto hii inawaathiri katika shughuli zao za maendeleo na wameomba Serikali…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger