Recent posts
19 May 2022, 3:20 pm
Wananchi wa kata ya Ihumwa waanza mchakato wa ujenzi wa vyumba vya madarasa
Na; Victor Chigwada. wananchi wa Kata ya Ihumwa wilaya ya Dodoma mjini wameanza kuchukua jitihada za kuanzisha ujenzi wa vyumba vya madarasa kutokana na wingi wa wanafunzi katika shule ya msingi Ihumwa A . Baadhi ya wananchi hao wakizungumza na…
19 May 2022, 3:12 pm
Wabunifu waiomba serikali kuendelea kuwawezesha
Na;Mindi Joseph. Wabunifu wameiomba serikali kuendelea kuwawezesha ili kuendeleza Bunifu zao kutoka hatua moja kwenda nyingine kwa maendeleo ya Taifa. Taswira ya habari imezungumza na Mkufunzi wa mafunzo ya matengenzo ya ndege kutoka chuo cha taifa cha usafirishaji Juma Msofe…
18 May 2022, 3:21 pm
Bunifu 26 kati ya 200 zafanikiwa kuwa bidhaa na kutumika
Na;Yussuph Hassan. Imeelezwa kuwa bunifu 26 kati ya 200 zilizoendelezwa na Tume ya Sayansi na Teknolojia Tanzania (COSTECH) zimefanikiwa kuwa bidhaa na kutumika katika sekta mbalimbali ikiwemo kilimo maji na nishati. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia…
18 May 2022, 2:49 pm
Wakazi wa Asanje wamtaka mwenyekiti wa kijiji hicho ajiuzuru
Na; Selemani Kodima. Wananchi wa kijiji cha Asanje Wilayani Bahi wamemtaka mwenyekiti wa Kijiji cha Asanje Juma Dobogo kuachia nafasi yake kutokana kushindwa kuwatumikia na kusimamia Miradi ya kijiji . Wakizungumza kwa Nyakati Tofauti katika Mkutano wa Kijiji wananachi hao…
18 May 2022, 2:19 pm
Wazazi / walezi jijini Dodoma watakiwa kuwapeleka watoto kupata chanjo ya polio
Na;Mindi Joseph. Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema ugonjwa wa polio hauna tiba na unasababisha madhara kiafya ikiwemo kupooza kwa viungo vya mwili. Akizungumza leo jijini Dodoma katika uzinduzi wa kampeni ya kitaifa ya chanjo ya matone dhidi ya…
18 May 2022, 2:02 pm
Makaa ya mawe yatapunguza kutoweka kwa misitu
Na;Mindi Joseph. Shirika la utafiti wa viwanda limefanya utafiti wa matumizi ya Mkaa wa makaa ya mawe utakaotumika nyumbani ili kusaidia kupunguza utowekaji wa misitu. Taswira ya habari imezungumza na Mtafiti kutoka shirika la utafiti na maendeleo ya viwanda Tazania…
17 May 2022, 2:34 pm
Tume ya umwagiliaji yatakiwa kujenga mfumo imara wa skimu za umwagiliaji
Na;Mindi Joseph. Waziri wa Kilimo Mheshimiwa Hussein Bashe ameitaka Menejimenti ya Tume ya Taifa ya Umwagiliaji kujenga mfumo imara wa kusimamia Skimu za Umwagiliaji nchini. Akizungumza Jijini Dodoma katika katika kikao kazi cha Menejimenti na Wakandarasi amesema kipaumbele cha Wizara…
17 May 2022, 2:11 pm
Asilimia kumi ya Watu duniani wanaishi na magonjwa sugu ya figo
Na;Yussuph Hassan. Imeelezwa kuwa Shinikizo la juu la damu pamoja na kisukari ni vyanzo vya figo kushingwa kufanya kazi na kusababisha kusambaa kwa sumu mwilini endapo mgonjwa asipopata matibabu kwa wakati. Akizungumza na kituo hiki Daktari bingwa wa Magonjwa ya…
17 May 2022, 1:32 pm
Wananchi watakiwa kujitokeza kupima shinikizo la damu
Na ;Benard Filbert. Ikiwa leo ni maadhimisho siku ya shinikizo la damu jamii imetakiwa kujitokeza kupima shinikizo hilo ili kuepusha athari zinazoweza kujitokeza baadaye. Hayo yameelezwa na daktari Flora Mwakalabo kutoka kituo cha afya makole wakati akizungumza na taswira ya…
17 May 2022, 11:24 am
Maeneo ya kilimo cha umwagiliaji yatakiwa kuainishwa.
Na; Mindi Joseph. Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe ameitaka Tume ya Taifa ya Umwagiliaji kuainisha maeneo yanayofaa kwa umwagiliaji ambayo ni hekari milioni 29 . Akizungumza katika uzindua Bodi ya Wakurugenzi jijini Dodoma Waziri Bashe ameitaka bodi hiyo kuziweka…