Recent posts
5 September 2024, 20:02
Katiba na Sheria yazindua kituo cha huduma kwa mteja
Kituo hicho kinalenga kupokea taarifa za rushwa malalamiko na hoja kutoka kwa wananchi. Katiba na Sheria yazindua kituo cha huduma kwa mteja Na Mindi Joseph . Wananchi Mkoani Dodoma wamepongeza kuzinduliwa kwa Kituo cha utoaji huduma kwa wateja kinacholenga…
4 September 2024, 19:04
Maiti ya Kichanga yaopolewa kisimani
Mtoto anayekadiriwa kuwa na umri wa miezi mitatu hadi minne amekutwa ametupwa ndani ya kisima Maiti ya Kichanga yaopolewa kisimani Na Thadei Tesha. Mfulululizo wa matukio na visa vya ukatili vinavyoendelea kushuhudiwa katika maeneo mbalimbali hapa mkoani Dodoma. Jeshi la…
4 September 2024, 19:04
Wananchi walilia fidia ya maeneo ndani ya mradi wa SGR
Wananchi wanaoishi katika eneo la Image Jijini Dodoma wameonesha wasiwasi wa kutopata stahiki ya fidia Wananchi walilia fidia ya maeneo ndani ya mradi wa SGR Na Mindi Joseph. Wananchi wanaoishi katika eneo la Image Jijini Dodoma wameonesha wasiwasi wa kutopata…
4 September 2024, 19:03
Kelele nyumba za starehe zinakwamisha maendeleo
Halmashauri za nchi zimehimizwa kuandaa muongozo maalumu wa maadili kwaajili ya uendeshaji na usimamizi wa baa na klabu katika maeneo mbalimbali Kelele nyumba za starehe zinakwamisha maendeleo Na Mariaam Kasawa. Halmashauri za nchi zimehimizwa kuandaa muongozo maalumu wa maadili kwaajili…
3 September 2024, 17:13
Vipimo ni muhimu kwa thamani halisi ya pesa ya mteja
Na Fred Cheti. Wananchi Jijini Dodoma wameshauriwa kuhakiki vipimo sahihi vya bidhaa au huduma mbalimbali wanazopatiwa ili kupata huduma au bidhaa inayoendana na thamani halisi ya malipo ya pesa. Hayo yameelezwa na Meneja wa Wakala wa Vipimo Mkoa wa Dodoma…
3 September 2024, 17:12
DUWASA yashauriwa kutatua kero za maji kwa wananchi
Na Yusuph Hassan. Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira mkoani Dodoma DUWASA imeshauriwa kuanzisha dawati kwa ajili ya kusikiliza na kutatua kero za maji kwa wananchi. Ushauri huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Janet Mayanja akizungumza katika…
3 September 2024, 16:53
Kampeni ya kutokomeza njaa, utapiamlo kuzinduliwa Septemba 6
Hili ni Jukwaa la nne kuwakutanisha mashirika yasiyokuwa ya kiserikali kila mwaka tangu kuanza kufanyika mwaka 2021 ambapo mwaka huu mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Doto Biteko . Na Mariam Matundu.…
2 September 2024, 17:32
Lishe ni muhimu kwa ufaulu wa wanafunzi
Licha ya kuimarisha kinga ya mwili lishe bora pia inaelezwa inatajwa kumsaidia mwanafunzi kuwa na uwezo wa kufikiri na kumbukumbu hivyo kumwezesha mwanafunzi kuelewa na kukumbuka masomo kwa wepesi. Na Mindi Joseph. Imeelezwa kuwa Mpango Mkakati wa Afya na lishe…
2 September 2024, 17:01
Wanawake na wanaume wanategemeana katika kuleta maendeleo
Na Mariam Matundu. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amesema wanawake na wanaume wanategemeana katika kazi ili kuleta maendeleo endelevu. Waziri Dkt. Gwajima amesema hayo wakati akifungua mkutano wa kwanza wa mtandao…
2 September 2024, 10:59
Wananchi watoa maoni mapendekezo bei mpya ya umeme
Kwa sasa bei za Uniti za Umeme Nchini Tanzania zinatofautiana kulingana na matumizi na Ruzuku za Serikali. Na Seleman Kodima. Wakazi wa Jiji la Dodoma wamekuwa na maoni tofauti juu ya mapendekezo yaliyotolewa Bungeni Jijini Dodoma juu ya mapatio mapya…