Recent posts
24 September 2024, 20:31
Serikali kudhibiti wizi wa vifaa vya ujenzi uwanja wa ndege Msalato
Na Mindi Joseph Udokozi na wizi wa vifaa vya ujenzi wa uwanja wa ndege wa Kimataifa Msalato Jijini Dodoma umesababisha hasara kwa mkandarasi. Mkuu wa wilaya ya Dodoma Mhe. Jabiri Shekimweri anasema serikali haitafumbia macho wizi wa vifaa vya ujenzi…
24 September 2024, 20:31
Madiwani Dodoma wahimiza uandikishaji daftari la kupiga kura
Na Fredi Cheti. Wananchi jijini Dodoma wametakiwa kujiandikisha pamoja kuboresha taarifa zao katika daftari la kudumu la Mpiga kura ili wapate haki yao ya Msingi na ya kikatiba ya kuchagua viongozi. Zoezi la uandikishaji katika daftari la kupiga kura katika…
24 September 2024, 20:31
Jiepushe na fedheha ya picha za faragha
Na Leonald Mwacha Afisa Dawati la Jinsia Mkoa wa Dodoma Michael Sabuni ameitaka jamii kujiepusha na tabia ya kuchukua au kurekodi picha za utupu za faragha ili kuepuka changamoto zinazoweza kujitokeza na kitendo hicho. Fuatilia mazungumzo haya na Leonard Mwacha…
24 September 2024, 20:31
RC Dodoma: Hakuna nyongeza ya siku uandikishaji daftari la wapiga kura
Yussuph Hassan. Wananchi mkoani Dodoma wamehimizwa kushiriki katika kujiandikisha na kuboresha taarifa zao katika daftari la kudumu la wapiga kura kuanzia Septemba 25 hadi Oktoba 1. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amesema kuwa baada ya muda uliotolewa…
23 September 2024, 20:43
Dodoma yafurahia wiki ya Madaktari Bingwa
Ujio wa Madaktari Bingwa mkoani Dodoma unatajwa kuwasaidia wananchi kupata huduma za kiafya . Wananchi takribani 100,000 wanatarajia kupata huduma za afya kutoka kwa Madaktari Bingwa kwenye Halmashauri 184 kote nchini. Na Mindi Joseph. Jumla ya Madaktari Bingwa na Bobezi…
23 September 2024, 20:43
Elimu kipindi cha ujauzito husaidia afya ya uzazi
Watalamu wa Afya wanashauri muda muafaka wa kuanza kliniki ya afya ya uzazi kwa mama mjamzito ni pale tu anapogundua kuwa ni mjamzito. Na Yusuph Hassan. Jamii inashauriwa kuhakikisha kuwa inapata elimu ya afya ya uzazi kabla ya kubeba ujauzito…
23 September 2024, 20:43
Mikopo asilimia 10 ni salama kwa wajasiriamali
Na Steven Noel. Wajasiriamali Wilayani Mpwapwa wameshauriwa kuwa makini wakati wa kutafuta na kuomba huduma za mikopo kutoka katika taasisi mbalimbali ili kuepukana na chamgamoto za marejesho zinazoweza kujitokeza kuhusiana na masharti ya mikopo hiyo. Aidha baadhi ya wakazi wilayani…
20 September 2024, 19:51
Mavunde aweka alama ya kudumu Dodoma
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma ambayo ina umr iwa miaka 104 inauwezo wa kuhudumia wagonjwa zaidi ya 1,500 kwa siku moja imekuwa na changamoto ya kuwa na miundombiny ya jengo la kusubiria wangonjwa kwa wananchi. Na Mindi Joseph…
20 September 2024, 19:51
Changamkia siku 5 za huduma ya macho bure
Na Leonald Mwacha Halmashauri ya jiji la Dodoma kwa kushirikiana na Sightsavers ambao ni wadau afya ya macho wanatarajia kutoa huduma ya afya ya macho kata ya Hombolo kwa siku tano kuanzia Jumatatu ya tarehe 23/09/2024 mpaka 27 /09/2024. Fuatilia…
20 September 2024, 19:50
Utaratibu wa daftari la makazi kinga dhidi ya mauaji Dodoma
Na Nazael Mkude Wakazi jijini Dodoma wametoa maoni yao kuhusu utaratibu wa kujiandikisha katika daftari la makazi ili kuweza kupunguza vitendo vya uvunjifu wa sheria. Kufuatia mwendelezo wa matukio ya kihalifu ya mara kwa mara yanayotokea katika jiji la Dodoma,…