Recent posts
17 September 2024, 20:59
Dunia yaadhimisha siku ya kimataifa ya kuhifadhi tabaka la Ozoni
Serikali imetakiwa kuanzia ngazi ya chini katika maadhimisho mbalimbali yanayo husiana na utunzaji wa mazingira ili kuwajengea uelewa wananchi. Na Mariam Kasawa Tanzania imeungana na Dunia kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kuhifadhi Tabaka la Ozoni (Ozone) amapo kauli mbiu ya…
17 September 2024, 20:59
Chemba siyo sehemu ya utafutaji dada wa kazi
Upo utamaduni uliojengeka miongoni jamii kuwa Wilaya ya Chemba kuwa ni sehemu ya kutafuta wadada wa kazi Na Leonard Mwacha Upo utamaduni uliojengeka miongoni jamii kuwa Wilaya ya Chemba kuwa ni sehemu ya kutafuta wadada wa kazi kutokana na sababu…
17 September 2024, 20:59
Shekimweri alaani tukio la mauaji Nala
Uchunguzi ambao unaendelea kufanywa na jeshi la Zima Moto na Uokoaji ukishirikiama na vyombo vingine unaonesha kuwepo kwa viashiria vya kulipiziana visasi. Na Nazael Mkude. Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mh. Jabiri Shekimweri amelaani tukio la mauaji lililotokea 16 Septemba…
13 September 2024, 19:34
Miganga wadhamiria ujenzi wa ofisi Serikali ya Mtaa
Kukamilika kwa ujenzi kwa ujenzi wa ofisi ya serikali ya mtaa kutaboresha utoaji wa huduma kwa ufanisi kwa wananchi. Na Mindi Joseph. Ujenzi wa ofisi ya serikali ya Mtaa katika mtaa wa Miganga kata ya Mkonze jijini Dodoma ambao umeanza…
13 September 2024, 19:30
Nguvu ya maombi yamtungua bundi wa ajabu kanisani
Wakazi wa mtaa wa Maili Mbili CCM wameonesha mshangao baada ya kuona bundi huyo ameanguka kwenye eneo la kanisa akiwa na vifaa mabilimbali vya kiuchawi. Na Thadei Tesha. Wakazi wa Mtaa wa Maili Mbili CCM jijini Dodoma wameshudia tukio la…
13 September 2024, 19:29
Sango Darajani hatarini magonjwa ya mlipuko
Wafanyabiashara wa vyakula wanasema eneo hilo ni hatari kwa biashara zao kwani inaweza kusababisha magonjwa ya mlipuko. Na Fatuma Maneno . Wananchi na wafanyabiashara wa Sango Darajani jijini Dodoma katika soko la Majengo, wamehofia usalama wa afya zao kutokana na…
13 September 2024, 19:28
Taharuki ya simba Nzuguni
Dodoma ni sehemu ya mapitio ya wanyama pori hivyo suala la uwepo wa wanyama pori katika baadhi ya maeneo litaendelea kujitokeza. Na Thadei Tesha. Afisa Maliasili wa Jiji la Dodoma Bw. Vedasto Millinga amekiri uwepo wa baadhi ya wanyama pori…
11 September 2024, 19:38
Virusi vya homa ya ini ni hatari kuliko VVU
Virusi vya ugonjwa wa homa ya ini ni rahisi kuambukizwa kutoka kwa mtu mwenye maambukizi hadi mwingine na kuleta madhara kwa muda mfupi kuliko VVU Na Yusuph Hassan. Kwa mujibu wa Wizara ya Afya nchini inakadiriwa kiwango cha ushamiri wa…
11 September 2024, 19:37
Zaidi ya wakulima 290 kunufaika na skimu ya umwagiliaji Dodoma
Zaidi ya wakulima 290 wanatarajia kunufaika kupitia Uwekezaji mkubwa katika shamba la wananchi CHABUMA lililopo Chinangali II Mkoani Dodoma. Na Mindi Joseph Zaidi ya wakulima 290 wanatarajia kunufaika kupitia uwekezaji mkubwa katika shamba la wananchi CHABUMA lililopo Chinangali II Mkoani…
11 September 2024, 19:36
Kupata wasaa na mtoto ni kinga dhidi ya ukatili
Baadhi ya wakazi wa Dodoma wamesema kuwa wazazi wengi hawatengi muda wa kuzungumza na watoto wao, jambo ambalo linawanyima nafasi ya watoto kueleza changamotozao kwa wazazi. Na Lilian Leopold. Mara kadhaa Serikali pamoja na wadau mbalimbali wa kupinga masuala ya…