Recent posts
13 August 2024, 15:23
Jeshi la polisi lamshikilia mmoja kifo cha msanii Man Dojo
Watu Wawili wilayani Bahi wameuwawa baada ya kushambuliwa sehemu mbalimbali na kuchomwa moto katika gari . Na Seleman Kodima.Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linamshikilia RAPHAEL KENETH NDAMAHNUWA, mwenye umri wa miaka 26 Mkazi wa Nzuguni B kwa ajili ya…
12 August 2024, 16:57
Sumu kuvu hatari kwa afya, uchumi
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), sumu kuvu huharibu karibu asilimia 25 au zaidi ya chakula kinachozalishwa duniani kila mwaka. Na Mariam Kasawa.Imeelezwa kuwa sumu kuvu ina athari kwa afya za wananchi na uchumi kwa ujumla kama wakulima…
12 August 2024, 16:42
Dawati la sekta binafsi la Wizara ya Mifugo na Uvuvi kuwainua vijana
Ni changamoto ipi inapelekea jamii hasa vijana kutojiingiza katika sekta ya mifugo na uvuvi. Na Fred Cheti.Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imeanzisha dawati la sekta binafsi kwa lengo kuangalia changamoto inayokwamisha jamii wakiwemo vijana kujihusisha na shughuli ya…
12 August 2024, 16:19
Akina mama wanaonyonyesha watakiwa kuripoti wanaponyimwa muda
Kwa mujibu wa Sheria ya Kazi na Ajira ya mwaka 2004 kifungu cha 33 (10) kinatoa haki kwa mama aliyejifungua kwenda kunyonyesha mtoto saa 2 hadi miezi sita baada ya kutoka likizo ya uzazi kulingana na makubaliano na waajiri. Na…
12 August 2024, 15:51
Taka za kielektroniki ni fursa na ajira
Shirika la Kazi Duniani, ILO linasema licha ya uzalishaji mkubwa wa taka hizo za kielektroniki ni asilimia 20 tu ya tani hizo za kielektroniki ndio hurejelezwa katika mazingira rasmi. Na Mariam Kasawa.Inaelezwa kuwa taka za kieletroniki zinazo zalishwa na kutupwa…
12 August 2024, 15:37
Kofia zinazotengenezwa kwa mkono na wakazi wa Kondoa
Mzee Rofati anasema kazi hii ya utengenezaji wa kofia aliirithi kutoka kwa wake walio kuwa wanatengeneza hapo zamani. Na Yussuph Hassan.Leo katika kipindi cha Fahari ya Dodoma tunazungumzia umaarufu wa kofia zinazotengenezwa kwa mkono tangu miaka ya 50, kofia hizi…
8 August 2024, 17:37
Jiji la Dodoma lavunja rekodi ukusanyaji wa mapato ya ndani
Wakazi wa Dodoma wameipongeza halmashauri kwa hatua hiyo. Na Fred Cheti.Halamshauri ya jiji la Dodoma imeweza kuvuka lengo la ukusanyaji mapato ya ndani kwa mwaka ulioisha kwa asilimia 103 ambapo ilipanga kukusanya na kunitumia shilingi 123.8 badala yake imeweza kukusanya…
8 August 2024, 17:22
Asili ya chakula cha kabila la warangi
Ni aina gani ya nafaka hutumiwa zaidi na wakazi wa eneo hili katika chakula na wanapotengeneza pombe za kienyeji? Na Yussuph Hassan.Bado tupo katika kata ya Kingale na leo mwenyeji wetu anatueleza chakula cha asili kinachotumiwa na kabila hili la…
8 August 2024, 17:01
Mazingira rafiki ya elimu yanavyopunguza mimba za utotoni
Mariam Matundu ametembelea katika kata ya Mbabala na kuzungumza na Lilian Masunga mwanafunzi wa kidato cha nne katika shule ya Sekondari Mbabala. Na Mariam Matundu.Leo tunaangazia namna ambavyo mazingira rafiki ya wasichana kupata elimu yanasaidia kupunguza mimba za utotoni .…
8 August 2024, 16:43
Kijanisha kunufaisha wakulima milioni 350
Shirika la Justdiggit ambalo kwa Tanzania linashirikiana na Lead Foundation limeanzisha Application hiyo lengo likiwa kutoa elimu bure ili kuwanufaisha wakulima wadogowadogo takribani milioni 350 katika ukanda wa kusini mwa Jangwa la Sahara. Na Selemani Kodima. Takriban wakulima wadogo milioni…