Recent posts
11 September 2024, 19:36
Miundombinu wezeshi yahitajika Mahitaji Maalumu kushiriki uchaguzi Serikali y…
Na Steven Noel. Watu wenye mahitaji maluum Wilayani Mpwapwa Mkoani Dodoma wameiomba Serikali kuwapatia vifaa saidizi kwenye zoezi la upigaji kura Serikali ya Mtaa. Wamesema hayo kwenye ushiriki wa utoaji elimu ya mpiga kura. Afisa uchaguzi Wilayani Mpwapwa Bwn,…
10 September 2024, 19:22
DUWASA kutatua adha ya maji Ng’ong’ona
Na Mindi Joseph . Kukamilika kwa ujenzi wa matenki mawili ya maji yenye ujazo wa lita laki 5 katika mtaa wa Ng’ong’ona kata ya Ng’ong’ona Jijini Dodoma kutatatua adha ya maji kwa wananchi wa eneo hilo. Ujenzi wa matenki hayo…
10 September 2024, 19:22
Urejeshaji taka fursa mpya kwa vijana
Na Mariam Kasawa. Mahfoudh Haji ni makamu mwenyekiti wa taasisi ya Green Samia Foundation anasema taka ni fursa hasa kwa vijana lakini uelewa bado ni mdogo kwani wengi wanaamini waokota taka rejeshi ni watu duni hivyo kuidharau kazi hii. Kutokana…
10 September 2024, 19:21
Dhana ya kubemenda yastawisha heshima ya ndoa
Na Ysusuph Hassan. Dkt Matthew Gaudance kutoka Decca Polyclinic amesema kuwa dhana ya kubemendwa kwa mtoto ni dhana inayolenga kudumisha uaminifu katika ndoa hivyo kuleta ustawi na kujenga jamii bora yenye maadili. Aidha Dkt Matthew amewashauriwa wazazi na walezi kuzingatia…
10 September 2024, 19:21
Ijue historia ya kilimo cha mpunga Bahi
Na Yusuph Hassan. Bahi ni moja ya wilaya inayopatikana ndani ya mkoa wa Dodoma umbali wa kilomita 51 toka Dodoma Mjini. Wilaya hii ilijihusisha na kilimo cha mazao mchanganyiko kabla ya kuanza ulimaji wa zao la mpunga mwaka 1983 kama…
9 September 2024, 19:52
Balozi wa shina afariki baada ya majaribio mawili ya kujiua
Na Nazael Mkude. Balozi wa Shina namba 10 anayejulikana kwa jina la John Mathayo Mkutani Mkazi wa Mtaa wa Miganga kata ya Mkonze jijini Dodoma amekutwa amejinyonga hadi kufa katika moja ya shamba la jirani na makazi yake mwishoni mwa…
9 September 2024, 19:52
Tabiawatu ni chanzo cha uharibifu wa mazingira
Hali ya Mazingira Tanzania inatajwa kuwa mbaya huku Sheria kizani zikichangia. Na Mindi Joseph. Hali ya Mazingira Tanzania inatajwa kuwa mbaya huku Sheria kizani zikichangia. Tabia watu inasababishwa na shughuli za binadamu zisizo endelevu ikiwemo matumizi ya nishati chafu ufugaji…
9 September 2024, 19:51
Dhana ya Kubemenda ni Batili
Na Yusufu Hassan. Dhana ya kubemendwa kwa mtoto ambayo inayohusishwa na kuathiri makuzi ya mtoto, ambapo jamii huamini kuwa mtoto aliyebemendwa hupata kubemendwa changamoto kadhaa katika ukuaji wake. Jamii imefika mbali zaidi hata kuwakejeli watoto wanaodhaniwa kuwa wamebemendwa na kwa…
9 September 2024, 19:51
Green Samia kutoa elimu ya mazingira kwa vijana
Na Mariam Kasawa. Bwn. Reuben Chacha mhandisi wa mazingira kutoka mkoani Iringa anasema kijana ni muathirika namba moja katika mabadiliko ya tabianchi kutokana na shughuli wanazo fanya ambazo si rafiki kwa mazingira hivyo kupelekea mabadiliko ya tabianchi. Amesema kupitia vijana…
6 September 2024, 21:03
Mauaji ya kutisha Mkonze
Mauaji ya kutisha Mkonze Watu wawili wa familia moja ambao ni mama na mtoto wameuawa usiku wa kuamkia leo na watu wasiofahamika kata ya Mkonze mtaa wùua Muungano Dodoma. Na Nazaeli Mkude Watu wawili wa familia moja ambao ni Mama…