Dodoma FM

Recent posts

15 August 2024, 17:29

Serikali yatangaza rasmi uchaguzi wa serikali za mitaa

Uchaguzi wa mwisho wa Serikali za Mitaa ulifanyika mwezi Novemba mwaka 2019, hivyo, uchaguzi mwingine unatakiwa kufanyika Novemba, 2024. Na Seleman Kodima.Serikali imetangaza kuwa terehe 27 Novemba mwaka huu uchaguzi wa serikali za mitaa utafanyika Tanzania Bara. Tangazo hilo limetolewa…

14 August 2024, 18:42

Vijana watakiwa kuhakikisha wanapata elimu ya afya ya uzazi

Elimu ya afya ya uzazi kwa vijana ina umuhimu mkubwa kwa jamii katika kujiletea ustawi wake. Na Witness Obeid.Vijana waliopo masomoni wametakiwa kuhakikisha wanapata elimu ya afya ya uzazi kutokana na wengi wao kupata mabadiliko wakiwa bado masomoni. Akizungumza na…

14 August 2024, 18:10

Mazingira rafiki ya elimu yanavyosaidia kupunguza mimba za utotoni

Leo tumezungumza na Mwl Shaban Kijoji ,mratibu elimu kata ya Mbabala na katibu wa maafisa Elimu halmashauri ya jiji la Dodoma kuhusu suala hili na hapa anaanza kwa kuelezea sera inaelezaje kuhusu Mazingira Rafiki ya kupata elimu kwa Msichana ili…

14 August 2024, 17:46

DC Kongwa: Simamieni lishe kuzuia utapiamlo

Fedha zilizopangwa kutumika katika kutekeleza afua za lishe ni shilingi 27,183,940.14 sawa na asilimia 91.83 ya fedha zilizotumika kwa ajili ya chakula shuleni na kutekeleza siku ya afya ya lishe vijijini ambapo vijiji 87 na mitaa 28 vilishiriki kikamilifu .…

14 August 2024, 17:14

Wananchi watakiwa kuacha kujichukulia sheria mkononi

Jeshi la Polisi liendelee kutoa Elimu kwa jamii kuhusu umuhimu wa jamii kufuata misingi ya sheria. Na Seleman Kodima.Baadhi ya Wananchi wamesema kitendo cha kujichukulia sheria mkononi ni hatua mbaya hivyo wanaliomba jeshi la Polisi kuendelea kutoa Elimu kwa jamii…

14 August 2024, 16:48

Wazazi wazua taharuki taarifa za kutekwa kwa mtoto

Dodoma TV Inaendelea kufatilia tukio hili kwa ukaribu ili kujua ukweli kuhusu madai ya Mtoto kutekwa na Watu wasiojulikana ambao kulingana na maelezo ya Watoto wenzake wanasema mwenzao aliitwa na Watu waliokuwa kwenye Gari na kumchukua kisha kuondoka nae. Na…

13 August 2024, 16:36

Wawekezaji watakiwa kufanya tathmini ya athari kwa mazingira

Tathmini ya athari kwa mazinngira na jamii inajumuisha tathmini mbalimbali, kuanzia uchanganuzi wa bioanuwai na ubora wa maji hadi athari za matumizi ya ardhi na jamii ya wenyeji wa eneo husika. Na Mariam Kasawa.Wawekezaji wametakiwa kufanya tathmini ya athari kwa…

13 August 2024, 16:23

Leo tunaangazia Ukosefu wa elimu ya afya ya uzazi kwa Vijana

Kutokana hali hiyo Taswira ya Habari leo tunawatazama Vijana ambapo ni Wahanga wa ukosefu wa elimu hii . Na Seleman Kodima.Ukosefu wa Elimu ya afya ya uzazi imekuwa ikitajwa kama sababu ya kuongezeka kwa vitendo vya ukatili wa kijinsia katika…

13 August 2024, 16:03

Wananchi Bahi Sokoni waipongeza serikali kuwasogezea huduma muhimu

Pamoja na maendeleo makubwa yaliyofanyika kwenye kijiji hicho bado wana uhaba wa huduma ya soko. Na Kadala Komba.Wananchi wa Kijiji cha Bahi Sokoni Wilayani Bahi Mkoani Dodoma wameipongeza Serikali kwa hatua ya kuwasogezea huduma muhimu za kijamii ikiwemo maji na…

13 August 2024, 15:47

Wanufaika mradi wa BBT waishukuru serikali

Zaidi ya vijana 110 kutoka mradi wa BBT chinangali wamenufaika na mikopo ya uendeshaji wa shughuli hiyo ya kilimo wenye thamani zaidi ya milioni 900 huku zaidi ya hekari 600 zikiwa tayari zimeshalimwa zao la alizeti. Na Victor Chigwada.Vijana wanufaikaji…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger