Recent posts
28 August 2024, 20:36
Dira ya maendeleo ya 2050 izingatie usawa katika kila sekta
Dira ya maendeleo mwaka 2050 inapaswa kuboreshwa katika mabo mbalimbali ikiwemo elimu na Afya. Na Mariam Kasawa. Wadau wameeleza maoni yao katika Dira ya mwaka 2050 kuwa inapaswa kuzingatia usawa kwa watu wote bila upendeleo kwa watu walio chini na…
28 August 2024, 14:23
Dhana ya 50/50 si yakushindana na wanaume
Imeelezwa kuwa kupitia dhana ya hamsini kwa hamsini ambayo inamjenga mwanamke kushiriki katika kila idara sawa kwa sawa na mwanaume dhana hii imepokelewa tofauti na baadhi ya jamii. Na Mariam Kasawa. Wakati serikali ikiwa katika mchakato wa maandalizi ya Dira…
26 August 2024, 19:10
RC Dodoma kufungua tamasha la 7 la jinsia wilaya ya Kondoa
Na Mariam Kasawa. Zaidi ya Wanaharakati na Wadau 300 wanaotetea haki za wanawake na usawa wa jinsia kutoka pande mbalimbali nchini wanatarajia kushiriki katika Tamasha la 7 la Jinsia Ngazi ya Wilaya 2024 katika Viwanja vya Sabasaba, Wilaya ya Kondoa.,…
21 August 2024, 18:36
Bodaboda waomba kutambulika katika makundi ya kazi
Picha ni baadhi ya Madereva Bodaboda wakiwa barabarani .Picha na Google. Mwezi Februari mwaka 2023 thamani ya Pikipiki zilizonunuliwa nje ya Nchi zilifikia Dola Milioni 136.7 sawa na Shilingi Bilioni 319.87 kiwango hicho ni zaidi ya Bajeti ya Kilimo ya…
21 August 2024, 18:25
Wakandarasi wanaotekeleza miradi ya REA watakiwa kufanya kazi kwa uadilifu
Picha ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt Dotto Biteko akizungumza katika hafla ya Utiaji Saini Mikataba ya utekelezaji wa Miradi wa Kupeleka Umeme katika vitongoji 3,060 (15 kila Jimbo) jijini Dodoma.Picha na Wizara ya Nishati. Vitongoji takribani…
21 August 2024, 18:14
Ally Kamwe apewa kazi PPRA
Kongamano la 16 la Ununuzi wa Umma la Afrika Mashariki limebeba kauli mbiu isemayo (Matumizi ya Dijitali kwa Ununuzi wa Umma Endelevu) ambapo litahusisha mataifa mbalimbali kutoka ukanda wa afrika mashariki . Na Selemani Kodima Kuelekea kufanyika kwa kongamano 16…
20 August 2024, 18:31
Naibu PM azindua mwongozo usimamizi wa huduma za majitaka, tope kinyesi
Picha ni Mwakilishi wa Mgeni Rasmi katika kongamano la kwanza la kitaifa la Usafi wa Mazingira 2024 ,Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu) William Lukuvi. Picha na Selemani Kodima. Wizara ya Maji kwa kushirikiana na Ofisi…
20 August 2024, 17:27
Rais Samia awataka wazazi, walezi kuimarisha malezi kwa watoto
Picha ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifungua Skuli ya Maandalizi Dkt. Samia Suluhu Hassan wakati wa shamrashamra za Tamasha la Kizimkazi katika eneo la Makunduchi, Unguja, Zanzibar .Picha na Ikulu. Uimarishaji wa…
20 August 2024, 17:17
Serikali kuhakikisha zabibu inapata soko la uhakika
Na Fred Cheti Upatikanaji wa soko la uhakika wa zao la zabibu mkoani Dodoma unatarajia kuongeza tija na chachu kwa wakulima wa zao hilo kutokana na jitihada zinazoendelea kufanywa katika kuimarisha uzalishaji wa zao hilo. Hii ni baada ya kauli…
20 August 2024, 16:55
TANESCO Kufanya maboresho ya mfumo wa mita Kanda ya Kati na Kaskazini
Zoezi la maboresho ya mfumo wa mita za LUKU limeshafanyika katika kanda tofauti hapa nchini ambapo ukomo wa zoezi hilo ni Novemba 24 mwaka huu. Na Selemani Kodima. Shirika la Umeme Tanzania TANESCO limesema linatarajia kufanya maboresho ya mfumo wa…