Dodoma FM

Recent posts

20 September 2024, 19:50

Vijana jiepusheni na rushwa chaguzi zijazo

Na Fred Cheti, Kuelekea katika chaguzi zijazo vijana wametakiwa kuwa makini na kujiepusha na masuala ya  rushwa katika chaguzi hizo ili kuwapata viongozi wataokaopatikana kwa haki na kuwaletea maendeleo. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imekuwa ikitoa elimu…

19 September 2024, 19:52

Serikali yahimiza klabu za maadili shuleni

Kuwalea watoto katika malezi mema imetajwa kujenga kizazi bora na chenye maadili ambacho kitafuata mila na desturi la taifa letu. Na Mindi Joseph Moja ya jukumu la Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma ni kukuza maadili kwa watoto jukumu…

19 September 2024, 19:51

Maelezo na taarifa ya ugonjwa ni wajibu na haki ya mgonjwa

Uelewa wa baadhi ya watu kufahamu haki zao za msingi wanapokuwa katika vituo vya afya na hospitali bado ni mdogo. Hali hii ni kutokana na uhaba wa elimu juu ya suala hilo pamoja na baadhi yao kutokuwa na utamaduni wa…

19 September 2024, 19:51

Namba hairidhishi wanawake nafasi za uongozi

Hali ya mfumo dume , itikadi za kidini na imani ndogo ya jamii kwa mwanamke imepelekea idadi ya wanawake katika nyadhifa mbalimbali kuwa ndogo tofauti na wanaume hapa nchini. Na Mariam Kasawa Kupitia utafiti uliofanywa na mtandao wa jinsia tanzania…

19 September 2024, 19:51

Uhakiki nembo ya ubora katika bidhaa ni salama kwa afya ya mlaji

Na Fred Cheti. Jamii imeaswa kuwa na utamaduni wakuhakiki ubora wa bidhaa sambamba na kuangalia ukomo wa matumizi kabla ya kufanya manunuzi.   Shirika la Viwango Tanzania TBS limekuwa likifanya ukaguzi wa mara kwa mara katika maduka ya wauzaji wa…

18 September 2024, 19:42

Migahawa Hombolo yavutia kwa usafi

Wanafunzi kutoka Chuo cha Serikali za Mtaa Hombolo wanasema hali ya usafi kwa baadhi ya watoa huduma ya chakula imeimarika. Na Mindi Joseph. Suala la usafi jambo ni muhimu katika kujikinga dhidi magonjwa yasababishwayo na uchafu.  Hivyo ni jambo la…

18 September 2024, 19:42

Je, jamii ina uelewa gani kuhusu saratani ya matiti?

Kwa mujibu wa takwimu za ufuatiliaji wa saratani kupitia ripoti ya utafiti ya Globocan zinaonesha kuwa nchini Tanzania takribani wagonjwa wapya wa saratani elfu 40 hugunduliwa kila mwaka na karibu jumla ya watu elfu 27 wenye saratani hufariki dunia kila…

18 September 2024, 19:42

“Mwache aongoze”

Na Mariam Kasawa Baadhi ya jamii zinaamini kuwa mwanamke hana uwezo wa kuongoza hali inayopelekea idadi ya wanawake kuwa chache katika nafasi mbalimbali za uongozi ikilinganishwa na wanaume. Mashirika yasiyokuwa yakiserikali yameanzisha mradi wa pamoja ambao unalenga kuwaimarisha wanawake na…

18 September 2024, 19:42

Vijimambo! Kamera ya siri yagundulika bafuni ndani ya kanisa

Yapo matukio ambayo ukiyasikia jinsi yalivyotokea inakuacha mdomo wazi na bila shaka utayapa jina la vijimambo! Na Yusuph Hassan. Katika hali isiyokuwa  ya kawaida, Mchungaji Mstaafu aitwae Will Johnson wa Michigan nchini Marekani ambaye aliwahi kuwa Mkurugenzi wa Ibada wa…

17 September 2024, 21:00

Gharama za umeme ni kikwazo cha maendeleo kiuchumi Ng’ong’ona

Licha ya jitihahada za Wakala umeme Vijijini (REA) kusambaza huduma ya umeme katika vijiji takribani 12,318 , wananchi wa Mtaa wa Ng’ong’ona Jijini Dodoma wamedai kuwa gharama ya kuvuta umeme kwa sasa ni kubwa Na  Mindi Joseph. Wakala wa Nishati…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger