Recent posts
27 September 2024, 20:42
Maafisa ugani jijini Dodoma wapigwa msasa
Na Fred Cheti. Maafisa ugani wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma wametakiwa kutumia mafunzo waliyopatiwa kuhusu mfumo wa fursa na vikwazo vya maendeleo katika kuisaidia jamii kukua kiuchumi. Wito huo umetolewa na Bwn. Briani Samweli Mkufunzi wa Mafunzo kutoka Ofisi…
27 September 2024, 20:42
Hakuna tozo kuandikisha au kuboresha taarifa daftari la mpiga kura
Na Mindi Joseph. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Rosemary Senyamule ameonya juu ya upotoshaji unaofanywa na baadhi ya watu kuhusu mwenendo wa zoezi la uandikishaji wananchi katika daftari la kudumu la mpiga kura . Akizungumza na waandishi wa habari…
27 September 2024, 18:00
Plan International yazindua girls take over, sikia sauti zetu
Oktoba 11 kila mwaka dunia huadhimisha Siku ya Kimataifa ya Msichana lengo likiwa ni kutoa elimu juu ya umuhimu wa upatikanaji wa haki na uwezeshaji wa wasichana duniani kote. Na Hilali Ruhundwa Kuelekea Siku ya Msichana Duniani, shirika la Plan…
26 September 2024, 19:52
Vifahamu visababishi vya ugonjwa wa macho
Na Yussuph Hassan.Tabibu Msaidizi kutoka Ofisi ya Mganga Mkuu Jiji la Dodoma Pepertua Kasase amesema kuwa ugonjwa wa macho unaweza kusababishwa na historia ya mgojwa mwenyewe endapo kama alishawahi kupata ugonjwa huo siku za nyuma au mazingira aliyopo kwa sasa.…
26 September 2024, 19:51
Wananchi Mpwapwa wafurahia huduma za madaktari bingwa
Wananchi wilayani Mpwapwa wanafurahia kupata huduma za madaktari bingwa waliokita kambi wilayani humo ili kuwahudumia wananchi kwa ukaribu zaidi. Uwepo wa madaktari hao umesaidia wananchi wasio na uwezo kupata huduma za madaktari bingwa pia kuepuka gharama za safari endapo wangepata…
26 September 2024, 19:51
Kuvunjika kwa ndoa ni pigo kwa watoto
Na Lilian Leopold Kutengana kwa wazazi katika ndoa kumeathiri watoto kwa kiasi kikubwa hasa katika suala la malezi. Baadhi na wazazi mkoani Dodoma wametoa maoni yao juu ya athari zinazowakabili watoto juu ya kuvunjika kwa ndoa. Wakitaja baadhi ya athari…
25 September 2024, 20:27
Elimu utambuzi noti bandia yahitajika zaidi
Na Fred Cheti Wananchi jijini Dodoma wameomba kupatiwa elimu zadi juu ya utambuzi wa noti bandia ili kuepukana na changamoto za noti hizo katika mzunguko wa shilingi. Jamii kwa sasa imekumbwa na changamoto ya uwepo wa noti bandia kunakofanywa na…
25 September 2024, 20:27
Sagini awapongeza waandishi wa habari
Na Yussuph Hassan Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Jumanne Sagini amepongeza waandishi wa habari kwa kutumia kalamu zao kujenga nchi ,kukosoa pamoja na kuelimisha wakati akifungua semina ya wanahabari ya kusherekea miaka 70 ya Misaada ya Japan. Shirika…
25 September 2024, 20:27
Je, ni nani mrithi wa mali za marehemu ikiwa hana ndugu?
Na Leonald Mwacha. Wengi wetu tumeshuhudia ndugu wa wakirithi mali za marehemu baada ya utaratibu wa mirathi kufanyika. Je uliwahi kujiuliza ni nani anaweza kurithi mali za marehemu ikiwa hana ndugu? Fuatilia mahojiano baina ya Leonard Mwacha na Lydia Mnete…
25 September 2024, 20:26
Wanaume tumieni dawati la jinsia kuripoti ukatili
Na Lilian Leopold Licha ya kampeni za kupinga ukatili kufanyika hususani kwa wanawake, watoto na watu wenye ulemavu lakini wanaume wamekuwa wakisahaulika. Mkaguzi Msaidizi wa Polisi mkoa wa Dodoma, Michael Nkinda amesema kuwa wanaume wengi wamekuwa wakifanyiwa ukatili wa kijinsia unaopelekea…