Recent posts
31 May 2022, 1:16 pm
Halmashauri ya jiji la Dodoma yaanzisha mpango wa kufanya usafi
Na; Fred Cheti Katika kuendelea kuimarisha usafi wa mazingira jijini hapa halmsahauri ya jiji la Dodoma kwa kushirikiana na wadau mabalimbali wa mazingira imeanzisha mpango wa kufanya usafi siku ya jumamosi katika kata mabalimbali zilizopo jijini hapa. Afisa Mazingira jiji…
30 May 2022, 5:01 pm
Uchafuzi wa mazingira wachagiza mabadiliko ya hali ya hewa
Na ;Victor Chigwada. Matokeo ya mabadiliko ya Hali ya hewa nchini na hata dunia kwa ujumla yamekuwa yakichangiwa na shughuli za uchafunzi wa mazingira ikiwa ni pamoja ukataji wa misitu ovyo Suala la matumizi ya mikaa nchini limekuwa chachu ya…
30 May 2022, 4:45 pm
Waziri Jafo ahimiza utunzaji wa msitu wa Iyumbu Park
Na;Mindi Joseph . Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Dkt. Seleman Jafo amesema eneo la msitu la Iyumbu Park likihifadhiwa ipasavyo linaweza kuwa chanzo cha utalii. Eneo hilo lina zaidi ya hekari 3000 limekuwa eneo maalum…
30 May 2022, 4:34 pm
Ujenzi wa vyumba vya madarasa waendelea Bahi
Na;Mindi Joseph. Ujenzi wa madarasa katika shule za sekondari na Msingi kata ya bahi unaendelea ili kuhakikisha wanatatua changamoto ya Madarasa kwa wanafunzi. Akizungumza na Taswira ya habari Diwani wa kata hiyo Bw,Agustino Ndonuu amesema wananchi wameunganisha nguvu kwenye jitihada…
27 May 2022, 3:22 pm
Wakazi wa Magaga waiomba serikali kuwatatulia changamoto ya barabara
Na;Mindi Joseph. Wananchi wa kitongoji cha Magaga wameiomba serikali kuwatatulia changamoto ya miundombinu ya Barabara Kutoka Magaga kuelekea Mvumi pamoja na kuwajengea Daraja. Wakizungumza na taswira ya habari wamesema changamoto hii inawaathiri katika shughuli zao za maendeleo na wameomba Serikali…
27 May 2022, 2:58 pm
Jamii yatakiwa kutofumbia macho ajali zinazo athiri macho
Na;Yussuph Hassan. Jamii imeshauriwa kutofumbia macho ajali mbalimbali zinazoathiri macho kwani kufanya hivyo ni kuhatarisha uoni ambao unaweza kusababisha upofu baadae. Ushauri huo umetolewa na Bingwa wa Magonjwa ya Macho kutoka kliniki ya Cvt Dodoma Dkt Nelson Mtajwaa wakati akizungumza…
27 May 2022, 2:45 pm
Uharibifu wa misitu wailetea nchi hasara ya asilimia 5%ya pato la Taifa
Na;Mindi Joseph. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Dkt. Selemani Jafo amesema takriban hekta laki nne ( 469,420) za misitu huharibiwa kila mwaka Nchini. Akizungumza leo jijini Dodoma na Waandishi wa Habari Waziri Jafo…
26 May 2022, 11:43 am
Wakazi wa Chididimo waiomba halmashauri kuwashirikisha katika suala la ununuzi…
Na;Mindi Joseph. Wananchi wa Mtaa Chididimo Kata Zuzu wameiomba halmashauri ya jiji la Dodoma kuwashirikisha kikamilifu katika suala la kutaka kununua mashamaba yao kwa ajili ya kufanya kilimo cha kisasa cha zao la zabibu. Wameyasema hayo wakati wakizungumza mbele ya…
26 May 2022, 9:14 am
Kingiti waiomba TARURA kuwatengenezea barabara za mitaani
Na; Victor Chigwada. Kukosekana kwa barabara za mitaa katika kata ya Kingiti imekuwa adha kubwa kwa wananchi hivyo wanaiomba mamlaka ya barabara za vijijini TARULA kuwasaidia kuchonga barabara hizo. Barabara za mitaa Ni muhimu katika jamii kwani zinasaidia kuweka mazingira…
19 May 2022, 3:29 pm
Halmashauri zatakiwa kutenga maeneo maalum kwaajili ya shughuli za ubunifu
Na;Yussuph Hassan. Wito umetolewa kwa halmashauri Nchini kutenga maeneo maalum kwa ajili ya shughuli za kukuza bunifu zinazofanywa na wabunifu mbalimbali. Wito huo umetolewa na makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philip Mpango katika kilele cha…