Dodoma FM

Recent posts

23 June 2022, 2:43 pm

Wakazi wa mgodi wa Nholi waomba kupatiwa huduma za kijamii

Na; Victor Chigwada. Kukosekana kwa huduma za kijamii katika maeneo ya migodini kumekuwa kukisababisha changamoto mbalimbali licha ya migodi kuwa chanzo cha mapato kwa serikali. Mkemia mkuu wa mgodi mwa Nholi Bw.Renatusi Lukumila amekiri kuwa mgodi wa Nholi bado miongoni…

23 June 2022, 2:33 pm

Serikali yaombwa kufanyia mabadiliko sheria ya mtandao

Na;Mindi Joseph . Serikali imeombwa kufanya mabadiliko katika sheria ya Mtandao ambayo imetajwa kuwa na mapungufu na kuchangia watu kuchapisha na kutuma taarifa za watu mtandaoni pasipo kuwa na idhini ya wahusika. Taswira ya habari imezungumza na Mwanasheria kutoka Taasisi…

23 June 2022, 2:18 pm

TANESCO yazindua huduma ya NIKONECT

Na; Benard Filbert. Shirika la umeme nchini Tanesco limezindua huduma ya kuwaunganishia umeme wananchi kwa haraka inayofahamika kama NIKONEKT  ambayo inafanyika mtandaoni pasipo kwenda kwenye ofisi za shirika hilo. Hayo yameelezwa na Sarah Libogoma afisa uhusiano na huduma kwa watejaTanesco…

21 June 2022, 2:45 pm

Chimagai waanzisha shule shikizi ili kunusuru elimu ya watoto wao

Na; Victor Chigwada. Umbali wa shule mama katika kata ya kimagai umewalazimu wananchi kuunganisha nguvu na kuanzisha shule shikizi kwaajili ya watoto wasioweza kutembea umbali mrefu Hayo yamethibitishwa na Diwani wa Kata ya Kimagai Bw.Noha Lemto amesema changamoto hiyo ya…

21 June 2022, 2:28 pm

Matumizi ya Teknolojia yatajwa kuwa changamoto kwa watu wenye ulemavu

Na;Mindi Joseph. Watu wenye ulemuvu wametajwa kukabiliwa na changamoto katika matumizi ya Teknolojia ya Mitandao Licha ya kuendelea kufanya jitihada za kuhakikisha wanawasaidia. Akizungumza na Taswira ya Habari Mkurungezi wa Taasisi ya zaina Foundation Zaituni Njovu amesema wanaendelea kuhakikisha kundi…

20 June 2022, 2:34 pm

Hospitali ya Mirembe yafanya utafiti ili kuandaa elimu ya Saikolojia

Na; FRED CHETI.    Katika kuendelea kuboresha utaoji huduma kwa wagonjwa wa akili hospitali ya Taifa ya Magonjwa ya afya ya akili Nchini Mirembe iliyopo jijini Dodoma imesema inafanya utafiti ili kuandaa muongozo mzuri wa elimu ya saikolojia kwa wagonjwa hao…

10 June 2022, 3:56 pm

Sejeli yaiomba serikali kusaidi ujenzi wa vyumba vya madarasa

Na; Victor Chigwada. Wananchi wa kijiji cha Mbande Kata ya Sejeli Wilaya ya Kongwa wameiomba Serikali kuwasaidia ujenzi wa vyumba vya madarasa kutokana na idadi kubwa ya wanafunzi kwa sasa Baadhi ya wananchi hao wakizungumza na Taswira ya habari wamesema…

10 June 2022, 3:40 pm

Taasisi yajiwekea lengo la kutokomeza vitendo vya rushwa kwa asilimia 80

Na; Benard Filbert. Taasisi ya SAUTI YA WAPINGA RUSHWA inayojihusisha na kutoa elimu dhidi ya vitendo vya rushwa nchini imeweka lengo la kutokomeza vitendo hivyo hadi kufika asilimia 80 itakapofika mwaka 2024. Hayo yameelezwa na  Bwana Haruna Kitenge mwenyekiti wa…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger