Recent posts
23 June 2022, 2:43 pm
Wakazi wa mgodi wa Nholi waomba kupatiwa huduma za kijamii
Na; Victor Chigwada. Kukosekana kwa huduma za kijamii katika maeneo ya migodini kumekuwa kukisababisha changamoto mbalimbali licha ya migodi kuwa chanzo cha mapato kwa serikali. Mkemia mkuu wa mgodi mwa Nholi Bw.Renatusi Lukumila amekiri kuwa mgodi wa Nholi bado miongoni…
23 June 2022, 2:33 pm
Serikali yaombwa kufanyia mabadiliko sheria ya mtandao
Na;Mindi Joseph . Serikali imeombwa kufanya mabadiliko katika sheria ya Mtandao ambayo imetajwa kuwa na mapungufu na kuchangia watu kuchapisha na kutuma taarifa za watu mtandaoni pasipo kuwa na idhini ya wahusika. Taswira ya habari imezungumza na Mwanasheria kutoka Taasisi…
23 June 2022, 2:18 pm
TANESCO yazindua huduma ya NIKONECT
Na; Benard Filbert. Shirika la umeme nchini Tanesco limezindua huduma ya kuwaunganishia umeme wananchi kwa haraka inayofahamika kama NIKONEKT ambayo inafanyika mtandaoni pasipo kwenda kwenye ofisi za shirika hilo. Hayo yameelezwa na Sarah Libogoma afisa uhusiano na huduma kwa watejaTanesco…
21 June 2022, 2:45 pm
Chimagai waanzisha shule shikizi ili kunusuru elimu ya watoto wao
Na; Victor Chigwada. Umbali wa shule mama katika kata ya kimagai umewalazimu wananchi kuunganisha nguvu na kuanzisha shule shikizi kwaajili ya watoto wasioweza kutembea umbali mrefu Hayo yamethibitishwa na Diwani wa Kata ya Kimagai Bw.Noha Lemto amesema changamoto hiyo ya…
21 June 2022, 2:28 pm
Matumizi ya Teknolojia yatajwa kuwa changamoto kwa watu wenye ulemavu
Na;Mindi Joseph. Watu wenye ulemuvu wametajwa kukabiliwa na changamoto katika matumizi ya Teknolojia ya Mitandao Licha ya kuendelea kufanya jitihada za kuhakikisha wanawasaidia. Akizungumza na Taswira ya Habari Mkurungezi wa Taasisi ya zaina Foundation Zaituni Njovu amesema wanaendelea kuhakikisha kundi…
20 June 2022, 2:34 pm
Hospitali ya Mirembe yafanya utafiti ili kuandaa elimu ya Saikolojia
Na; FRED CHETI. Katika kuendelea kuboresha utaoji huduma kwa wagonjwa wa akili hospitali ya Taifa ya Magonjwa ya afya ya akili Nchini Mirembe iliyopo jijini Dodoma imesema inafanya utafiti ili kuandaa muongozo mzuri wa elimu ya saikolojia kwa wagonjwa hao…
20 June 2022, 2:03 pm
Makulu waishukuru serikali kwa kutenga fedha kwaajili ya ujenzi wa barabara
Na; Alfred Bulahya. Uongozi wa kata ya Dodoma makulu jijini Dodoma umeishukuru Serikali kwa kuwapatia bilioni 10 na milioni 300, kwa ajili ya ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami, inayounganisha eneo la Chaduru, Njendegwa mashariki, Njedengwa magharibi, Medeli, Mwangaza…
10 June 2022, 3:56 pm
Sejeli yaiomba serikali kusaidi ujenzi wa vyumba vya madarasa
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa kijiji cha Mbande Kata ya Sejeli Wilaya ya Kongwa wameiomba Serikali kuwasaidia ujenzi wa vyumba vya madarasa kutokana na idadi kubwa ya wanafunzi kwa sasa Baadhi ya wananchi hao wakizungumza na Taswira ya habari wamesema…
10 June 2022, 3:40 pm
Taasisi yajiwekea lengo la kutokomeza vitendo vya rushwa kwa asilimia 80
Na; Benard Filbert. Taasisi ya SAUTI YA WAPINGA RUSHWA inayojihusisha na kutoa elimu dhidi ya vitendo vya rushwa nchini imeweka lengo la kutokomeza vitendo hivyo hadi kufika asilimia 80 itakapofika mwaka 2024. Hayo yameelezwa na Bwana Haruna Kitenge mwenyekiti wa…
10 June 2022, 2:31 pm
Taasisi za Serikali na binafsi zatakiwa kuwatumia vijana wanao zalishwa vyuoni
Na;Mindi Joseph . Waziri Ofisi ya Makamu wa Raisi,Muungano na Mazingira Mhe. Selemani Jafo amezitaka taasisi za serikali na binafsi kufungua milango na kuwatumia vijana wanaozalishwa vyuoni ili kujenga umahiri kwa Vijana Nchini Akizungumza leo katika ufunguzi wa Maonesho ya…