Dodoma FM

Recent posts

11 October 2024, 19:25

Bonanza Kuhamasisha uandikishaji lafana Mpwapwa

Na Steven Noel. Wananchi Wilayani Mpwapwa  wamehamasika kwa kiwango kikubwa kuitikia wito  kujiandiksha daftari la mpiga kura. Akishiriki bonanza maalumu la uhamasishaji zoezi la uandikishaji daftari la mpiga kura, Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Dkt Sophia Mfaume Kizigo ameambatana na…

11 October 2024, 19:25

Wanafunzi chachu ya mabadiliko katika jamii

Wanafunzi zaidi ya 900 kutoka shule 10 za sekondari Mkoani Dodoma wameshiriki Mdahalo wa kuwajengea uwezo wa kupambana na Rushwa,matumizi ya dawa za Kulevya na kijikinga na Maambukizi ya VVU. Mdahalo huo umeandaliwa na Takukuru Mkoa kwa  kushirikiana na Tume…

11 October 2024, 19:24

Wafanyakazi  wahanga magonjwa ya afya ya akili sehemu za kazi

Wanyakazi wanatajwa kuwa hatarini kupata  magonjwa ya afya ya akili kutokana na mazingira ya kazi au shughuli wanazofanya. Katibu Mkuu Msaidizi Chama Wataalamu wa Saikolojia  (TAPA) Bwn. Albano Michael  pamoja Mwenyekiti Kanda ya Kati Magharibi  Bwn. Shabani Waziri wamebainisha hayo…

10 October 2024, 22:10

Siku ya Mtoto wa Kike Duniani, wazazi waaswa kuzingatia malezi

Dunia inaadhimisha Siku ya Mtoto wa Kike huku changamoto zinazomkwamisha mtoto wa kike kufikia ndoto zake hasa katika uongozi zikitafutiwa ufumbuzi kupitia kampeni ya ‘Msichana Shika Hatamu’. Na Hilali A. Ruhundwa Wazazi na walezi wameaswa kuhakikisha wanatekeleza jukumu la msingi…

10 October 2024, 19:01

DCEA yawaandaa wanafunzi kupambana na dawa za kulevya

Na Mindi Joseph. Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) inawaandaa wanafunzi kupambana dhidi ya dawa za kulevya. Akizungumza katika mdahalo uliowakutanisha wanafunzi na wadau wengine Oktoba 10…

10 October 2024, 19:00

Fahamu chanzo cha migogoro ya ndoa katika jamii

Na Steven Noel . Migogoro imetajwa kuwa ni chanzo kikuu cha kuvunjika kwa mahusiano ya ndoa  katika jamii kwa sasa. Bi. Ruth Udamo Afisa Ustawi anayeshughulikia masuala ya usuluhishi wa migogoro ya ndoa Wilaya ya Mpwpwa anabainisha sababu kadhaa zinazopelekea…

10 October 2024, 19:00

EFL Dodoma yachagiza kaulimbiu Dodoma ya kijani kwa kupanda miti

Na Mariam Kasawa. Kampuni ya mikopo ya Enterprice Financial Limited EFL imechagiza kauli mbiu ya Dodoma ya Kijani kwa kupanda miti  katika maeneo ya Kndege Shule ya Msingi iliyopo jijini Dodoma. Meneja wa ampuni hiyo ya EFL tawi la Dodoma…

10 October 2024, 15:28

Utumaji wa nyaraka, usafirishaji vifurushi posta ni salama zaidi

Na Anwary Shabani                                                              Utumaji wa nyaraka na usafirishaji wa vivurushi kupitia Shirika la Posta ni salama zaidi kulinganisha na njia zingine. Wadau na watumiaji wa huduma za Posta wamebainisha hayo wakati wa hafla ya kukabidhi zawadi kwa watumiaji bora wa…

9 October 2024, 18:26

Ulinzi na usalama waimarika Mkonze kudhibiti uhalifu, mauaji

Hali ya ulinzi na usalama imeimarika katika kata ya Mkonze kufuatia matukio kadhaa ya mauaji yaliyotokea katika kata hiyo kwa nyakati tofauti miiezi ya hivi karibuni. Akiongea na Dodoma TV, Mwenyekiti wa Mtaa wa Bwawani  katika kata hiyo Bwn. Sospeter Abel …

9 October 2024, 18:25

Fahamu madhara ya vidonge vya P2

Na Lilian Leopord. Matumizi ya vidonge vya P2 mara kwa mara kama mpango wa dharula wa kuzuia mimba imelelezwa kuwa na madhara makubwa katika suala zima la lafya  ya uzazi. Akiongea na Dodoma TV, Daktari Fransis Mbwilu kutoka katika kituo cha…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger