Recent posts
16 October 2024, 19:27
Wateknolojia Dawa nguzo muhimu katika huduma za afya nchini
Na Yusuph Hassan. Siku ya Wateknolojia Dawa Kitaifa Iimefanyika Jijini Dodoma Ikiwa na kauli mbiu Isemayo “Wateknolojia Dawa nguzo muhimu katika huduma za afya nchini tuwajibike pamoja”. Katika kuadhimisha siku wa Wateknolojia Dawa Duniani ambayo hufanyika Oktoba 16 kila mwaka,…
15 October 2024, 19:29
MPWUWSA yakutana na wananchi kujadili kero za maji
Na Noel Steven Mamlaka ya maji safi Mpwapwa (MPWUWSA) imekutana na wananchi wa Wilaya ya Mpwapwa katika wiki ya huduma kwa mteja kujadili kero za maji zinzoawakabili wananchi kwa sasa. Katika kikao hicho , wananchi wameishauri mamlaka hiyo kufanya ukarabati…
15 October 2024, 19:29
Miundombinu ni kikwazo elimu jumuishi
Na Noel Steven. Utekelezaji wa elimu jumuishi hapa nchini unakabiliwa na changamoto ya miundombinu thabiti inayowezesha wanafunzi mwenye mahitaji maalumu kuchangamana katika kupata elimu. Wadau wa utekelezaji wa mpango wa Elimu jumuishi wamesema kuwa kuna ulazima vikwazo vya kisera,…
15 October 2024, 19:29
Mfumo dume bado ni changamoto kwa mwanamke kijijini
Na Léonard Mwacha Ukosefu wa usawa wa kijinsia unaosababishwa na mila na desturi unadhoofisha uwezo kamili wa wanawake wa vijijini kujikwamua kiuchumi. Ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya mwanamke anayeishi kijijini na kutambua mchango wake katika uzalishaji wa chakula…
15 October 2024, 19:28
Nawa mikono uwe salama kiafya
Na Anwary Shabani. Kunawa mikono mara kwa mara ni moja ya kanuni ya afya inayosaidia jamii kuepuka magonjwa yatokanayo na bakteria. Ikiwa leo ni Oktoba 15, siku ya kunawa mikono duniani, wananchi jijini Dodoma wanaeleza umuhimu wa kunawa mikono mara…
14 October 2024, 19:58
Mwalimu atiwa mbaroni kwa tuhuma za ubakaji
Na Mindi Joseph. Jeshi la Polisi mkoani Dodoma limefanikiwa kumtia nguvuni mwalimu ambaye ni mtuhumiwa wa ubakaji na amefikishwa mahakamani kujibu tuhumu zinazomkabili. Tukio hilo la ubakaji limetokea katika kijiji cha Nhinhi kilichopo umbali wa Km 50 kutoka ndani ya…
14 October 2024, 19:57
PM Majaliwa awataka vijana kuchangamkia fursa za teknolojia
Na Mindi Joseph. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka vijana wachangamkie fursa zinazotokana na maendeleo ya teknolojia katika kujipatia kipato na kushiriki kukuza Uchumi wa Taifa . Amesema hayo Octoba 11 wakati wa uzinduzi wa Maadhimisho ya Wiki ya Vijana Kitaifa…
14 October 2024, 19:57
Ulishaji mifugo holela ni adui wa mazingira
Na Mariam Kasawa. Wakazi jijini Dodoma wametakiwa kuachana na ufugaji holela ambao umekuwa ukichangia kwa kiasi kikubwa kuangamiza miti inayo pandwa. Bwn. Innocent Makomba Afisa mazingira amesema hayo katika mahojiano maalum baada ya zoezi la upandaji miti katika shule ya…
14 October 2024, 19:56
Bahi kuongeza pato ujenzi vibanda vya biashara
Na Leonard Mwacha. Wilaya ya Bahi inatarajiwa kuongeza pato lake la ndani kutokana na ushuru wa vibanda vya biashara pamoja na ushuru wa bishara ndogo ndogo. Bwn. Jeremia Maximilian mjumbe ngazi ya ustawi wa jamii Bahi sokoni amesema eneo ambalo…
11 October 2024, 19:25
Uwiano kazi za nyumbani wahitajika mtoto wa kike kufanikiwa kielimu
Mgawanyo sawa wa kazi za nyumbahi wahahitajika mtoto wa kike kufanikiwa kielimu Majukumu mengi ya kazi za nyumbani kwa mtoto wa kike imetajwa kuwa sababu inayorudisha nyuma maendeleo ya elimu. Afisa Miradi kutoka Action For community care Fatma Kibasa amesema…