Dodoma FM

Recent posts

21 October 2022, 10:42 am

Ukosefu wa wahudumu wa Afya katika Zahanati ya Chunyu wapelekea huduma hafifu

Na;Mindi Joseph. Ukosefu wa Wahudumu wa afya katika zahanati ya Chunyu wilayani Mpwapwa imetajwa kuwa changamoto  inayowakabilia  wananchi  pindi waendapo kupata huduma nyakati za Usiku Akizungumza na Taswira ya habari Mwenyekiti wa Kijiji hicho Bw Abineli Masila amesema zahanati hiyo…

21 October 2022, 10:18 am

Wakazi jijini Dododma wafurahishwa na msamaha wa riba ya kodi ya Pango

Na; Mariam Matundu. Kufuatia Rais Samia Suluhu Hassan kutoa msamaha wa riba ya kodi ya pango la ardhi uliotolewa kuanzia mwezi julai hadi Desemba mwaka huu ,wananchi jijini Dodoma wameoneshwa kufurahishwa na hatua hiyo. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi…

21 October 2022, 9:57 am

Wakazi wa Chenene waiomba serikali iwafikishie huduma ya umeme

Na; Benard Filbert. Wakazi wa kijiji Cha Chenene wilaya ya Chamwino wameiomba serikali kuwafikishia huduma ya  nishati ya umeme ili kusaidia uchumi wa kijiji hicho kukua zaidi. Hayo yamesemwa na wakazi wa kijiji hicho wakati wakizungumza na taswira ya habari…

20 October 2022, 12:20 pm

Wakazi wa Chenene walia na uhaba wa maji

Na; Benard Filbert. Kusuasua kwa upatikanaji wa huduma ya maji katika kijiji Cha Chenene wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma imetajwa kuwa kero kwa wakazi wa eneo . Taswira ya habari imefika katika kijiji cha Chenene nakujionea hali halisi ya upatikanaji…

20 October 2022, 11:59 am

Bilioni 27 zatarajiwa kutumika ujenzi wa bwawa Chunyu

Na;Mindi Joseph. Bilioni 27 zinatarajiwa kutumika katika ujenzi wa bwawa la umwagiliaji katika kijiji cha chunyu wilayani mpwawa ili kutatua changamoto ya uzalishaji hafifu wa Chakula. Hivi karibuni wanachi wa kijiji hicho wameelezea kuwa ukosefu wa Bwawa na Skimu za…

19 October 2022, 9:29 am

Wakazi wa Njoge waishukuru serikali kwa kuboresha sekta ya elimu

Na ;Victor Chigwada.   Wananchi wa Kata ya Lenjulu Wilaya ya Kongwa wametoa shukrani zao kwa Serikali ya awamu ya sita kwa jitihada za kuendelea kuboresha sekta ya elimu nchini Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wananchi hao wamepongeza jitihada…

19 October 2022, 8:57 am

Serikali yaahidi kutatua changamoto ya maji Chunyu

Na;Mindi Josph . Serikali imeahidi kuchimba visima vya maji ili kutatua changamoto ya maji inayowakabili wananchi  wa kijiji cha chunyu wilayani Mpwapwa. Wakizungumza na Taswira ya habari baadhi ya wananchi wa Kijiji hicho wamesema hadi sasa wanatumia maji chumvi ambayo…

18 October 2022, 6:55 am

Uhaba wa skimu za umwagiliaji watajwa kuchangia maisha duni

Na;Mindi Joseph . Ukosefu wa Skimu za umwagiliaji katika baadhi ya maeneo Mkoani Dodoma umetajwa kuchangia Maisha Duni kwa wananchi kutokana na uzalishaji hafifu wa Chakula. Taswira ya Habari imezungumza na Baadhi ya wanachi wa Kijiji cha Chunyu Wilayani mpwapwa…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger