Recent posts
25 October 2024, 18:36
Viongozi wa dini watahadharisha jamii uamuzi wa kujiua
Na Nazael Mkude. Viongozi wa dini jijini Dodoma wametoa wito kwa jamii kuacha tabia ya kujitoa uhai kutokana na changamoto za maisha. Wakizunguzma kwa nyakati tofauti, viongozi hao wa dini wamesema ni dhambi mbele za Mungu kuchukua maamuzi ya kujiua.…
25 October 2024, 18:36
Young World Feeders yazindua kituo cha mafunzo kilimo biashara Dodoma
Na Yusuph Hassan. Kituo cha mafunzo kwa vijana kwa ajili ujasiriamali na kilimo kimezunduliwa jijini Dodoma. Akizungumza katika uzinduzi huo Bwn. Peter Marc kutoka Young World Feeders amesema kuwa kituo hicho kitatoa fursa kwa wajasiriamali kuongeza thamani zao na kufanya…
25 October 2024, 18:35
Desturi za kigeni miongoni mwa sababu ndoa kuvunjika
Na Anwari Shabani Destruri za zimetajwa kuwa ni miongoni mwa sababu ya kuvunjika kwa ndoa Padri Novatus Bideberi Kanisa Kuu katoliki Parokia ya Mtakatifu Paulo Jijini Dodoma amesema kuwa kuwa kuiga mila na desturi za nje ni miongoni mwa sababu…
25 October 2024, 18:35
‘Kuzaliwa kichwa kikubwa siyo laana’
Na Mindi Joseph. Jamii imetakiwa kuondokana na dhana potofu kuwa watoto wanaozaliwa wakiwa na vichwa vikubwa na mgongo wazi ni laana au mkosi. Daktari wa upasuaji wa magonjwa ya ubongo na mishipa ya fahamu kutoka Taasisi ya Tiba ya Mifupa…
24 October 2024, 19:49
Fahamu njia za kujikinga dhidi ya ugonjwa wa kiharusi
Na Mariam Matundu. Ugonjwa wa kiharusi unaendelea kushika kasi ambapo watu kadhaa huripotiwa kuwa na ugonjwa huo hapa nchini. Hospitali ya Mkoa wa Dodoma na hospitali ya Benjamini Mkapa zimetajwa kupokea wagonjwa 15 hadi 20 wa ugonjwa wa kiharusi kila…
24 October 2024, 19:49
Jipime mwenyewe VVU kwa mate yako
Na Mindi Joseph. Huduma ya kipimo cha virusi vya ukimwi cha kujipima mwenyewe kwa kutumia mate imeanza kutolewa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma. Dkt Adam Adam Mhudumu wa afya ngazi ya jamii anaelezea namna ya kutumia…
24 October 2024, 19:48
Wajumbe wachekecha wagombea wenye sifa serikali za mitaa
Na Mariam Matundu Vyama mbalimbali vya siasa vinaendelea na mchakato wa upigaji wa kura za maoni kuwapata wagombea watakaowakilisha vyama vyao katika uchaguzi wa serikali za mitaa. Mchakato huu unategemea na kanuni zilizopo kwenye chama husika ambapo wanachama wenye sifa…
24 October 2024, 19:48
Je nini husababisha mimba na ndoa za utotoni ?
Na Anwary Shabani Hali ya umaskini imeendelea kutajwa kuwa moja ya chanzo cha mimba na ndoa za utotoni katika maeneo mbalimbali nchini. Bwn. Michael Laurent Mavunde kutoka Shirika la Afya Community Care lilipo jijini Dodoma anaeleza sababu mbalimbali zinazotajwa kama…
23 October 2024, 19:00
Senyamule aagiza mkandarasi kukamilisha miradi
Na Mindi Joseph. Wasimamizi wa miradi ya maendeleo hususan Shule, wametakiwa kusimamia na kukamilisha miradi kwa wakati kwa kutumia mfumo wa manunuzi Serikalini (NeST). Wito huo umetolewa na Mhe. Rosemary Senyamule Mkuu wa Mkoa wa Dodoma katika ziara ya ukaguzi…
23 October 2024, 18:59
Afya ya akili ni changamoto kwa vijana
Na Steven Noel. Vijana ambao ni nguvu kazi ya taifa wanakabiliwa na changamoto ya afya ya akili kutkana na sababu mbalimbali likiwemo suala la mahusiano. Julieth Mageje muuguzi kitengo cha afya ya akili wilayani mpwawa anabainisha chanzo la tatizo…