Dodoma FM
Dodoma FM
25 September 2024, 20:27
Na Fred Cheti Wananchi jijini Dodoma wameomba kupatiwa elimu zadi juu ya utambuzi wa noti bandia ili kuepukana na changamoto za noti hizo katika mzunguko wa shilingi. Jamii kwa sasa imekumbwa na changamoto ya uwepo wa noti bandia kunakofanywa na…
25 September 2024, 20:27
Na Yussuph Hassan Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Jumanne Sagini amepongeza waandishi wa habari kwa kutumia kalamu zao kujenga nchi ,kukosoa pamoja na kuelimisha wakati akifungua semina ya wanahabari ya kusherekea miaka 70 ya Misaada ya Japan. Shirika…
25 September 2024, 20:27
Na Leonald Mwacha. Wengi wetu tumeshuhudia ndugu wa wakirithi mali za marehemu baada ya utaratibu wa mirathi kufanyika. Je uliwahi kujiuliza ni nani anaweza kurithi mali za marehemu ikiwa hana ndugu? Fuatilia mahojiano baina ya Leonard Mwacha na Lydia Mnete…
25 September 2024, 20:26
Na Lilian Leopold Licha ya kampeni za kupinga ukatili kufanyika hususani kwa wanawake, watoto na watu wenye ulemavu lakini wanaume wamekuwa wakisahaulika. Mkaguzi Msaidizi wa Polisi mkoa wa Dodoma, Michael Nkinda amesema kuwa wanaume wengi wamekuwa wakifanyiwa ukatili wa kijinsia unaopelekea…
24 September 2024, 20:31
Na Mindi Joseph Udokozi na wizi wa vifaa vya ujenzi wa uwanja wa ndege wa Kimataifa Msalato Jijini Dodoma umesababisha hasara kwa mkandarasi. Mkuu wa wilaya ya Dodoma Mhe. Jabiri Shekimweri anasema serikali haitafumbia macho wizi wa vifaa vya ujenzi…
24 September 2024, 20:31
Na Fredi Cheti. Wananchi jijini Dodoma wametakiwa kujiandikisha pamoja kuboresha taarifa zao katika daftari la kudumu la Mpiga kura ili wapate haki yao ya Msingi na ya kikatiba ya kuchagua viongozi. Zoezi la uandikishaji katika daftari la kupiga kura katika…
24 September 2024, 20:31
Na Leonald Mwacha Afisa Dawati la Jinsia Mkoa wa Dodoma Michael Sabuni ameitaka jamii kujiepusha na tabia ya kuchukua au kurekodi picha za utupu za faragha ili kuepuka changamoto zinazoweza kujitokeza na kitendo hicho. Fuatilia mazungumzo haya na Leonard Mwacha…
24 September 2024, 20:31
Yussuph Hassan. Wananchi mkoani Dodoma wamehimizwa kushiriki katika kujiandikisha na kuboresha taarifa zao katika daftari la kudumu la wapiga kura kuanzia Septemba 25 hadi Oktoba 1. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amesema kuwa baada ya muda uliotolewa…
23 September 2024, 20:43
Ujio wa Madaktari Bingwa mkoani Dodoma unatajwa kuwasaidia wananchi kupata huduma za kiafya . Wananchi takribani 100,000 wanatarajia kupata huduma za afya kutoka kwa Madaktari Bingwa kwenye Halmashauri 184 kote nchini. Na Mindi Joseph. Jumla ya Madaktari Bingwa na Bobezi…
23 September 2024, 20:43
Watalamu wa Afya wanashauri muda muafaka wa kuanza kliniki ya afya ya uzazi kwa mama mjamzito ni pale tu anapogundua kuwa ni mjamzito. Na Yusuph Hassan. Jamii inashauriwa kuhakikisha kuwa inapata elimu ya afya ya uzazi kabla ya kubeba ujauzito…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-