Dodoma FM

Recent posts

1 December 2022, 8:11 am

Wakazi wa Silwa walalamika kukosa huduma ya Umeme

Na; Victor Chigwada .  Pamoja na jitihada za kusambaza umeme zinazo endelea nchini katika maeneo yaliyopo nje ya miji lakini bado baadhi ya maeneo yameendelea kuwa na kilio cha huduma hiyo. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wananchi wa…

1 December 2022, 7:49 am

Mila na desturi kandamizi bado ni hatari kwa jamii

Na; Lucy Lister. Wakati Tanzania ikiungana na mataifa mengine Duniani kuadhimisha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia wananchi jijini Dodoma wameeleza kuwa,bado kuna mila na desturi zinazokandamiza ustawi wa mtoto wa kike na mwanamke ikiwemo ukeketaji,kurithi wajane na kutopewa…

1 December 2022, 7:29 am

Serikali yasaini mkataba wa uzalishaji na ugawanaji mapato

Na; Mariam Kasawa. Baada ya miaka 12 Serikali ya Tanzania imesaini mkataba wa uzalishaji na ugawanaji mapato (PSA) kitalu cha RUVUMA – MTWARA. Mkataba huu unaweka utaratibu wa serikali kupata zaidi. Kwa mara ya kwanza Serikali inapata kwenye Mapato ghafi…

1 December 2022, 7:16 am

Bahi sokoni waiomba serikali kuongeza madara

Na; Benard Filbert. Wananchi wa wilaya ya Bahi Kata ya Bahi Sokoni wameiomba serikali kuongeza madarasa shule ya Msingi Bahi Sokoni ili kukidhi idadi ya wanafunzi waliopo katika shule hiyo. Wakizungumza na taswira yahabari wamesema ni vyema serikali ika ongeza…

23 November 2022, 1:45 pm

Wananchi watakiwa kujitokeza kupata elimu ya utalii.

Na; Benard Filbert. Wakazi wa Mkoa wa Dodoma wameombwa kujitokeza  kwenye tamasha la utalii katika eneo la Nyerere square  tarehe 26 mwezi huu kwa  lengo la kupata elimu ya utalii. Hayo yameelezwa na Dorothea Masawe  kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa…

16 November 2022, 12:36 pm

Wanafunzi watakiwa kuepuka hofu

Na; Lucy Lister. Hofu inayowakumba baadhi wanafunzi kipindi cha mitihani imetajwa kuwa ni moja ya sababu inayofanya wanafunzi wengi kufeli na wengine kukatisha masomo yao. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya walimu mkoani Dodoma wamesema kuwa hofu inaweza kumsababishia…

16 November 2022, 12:28 pm

Zaidi ya billioni 474 zinatumika kuagiza mafuta nje ya Nchi

Na; Mariam Matundu. Imeelezwa kuwa iwapo mkakati wa kukuza na kuongeza uzalishaji katika zao la alizeti ukifanikiwa,serikali itafanikiwa kuokoa fedha nyingi ambazo zinatumika kuagiza mafuta ya kula nje ya Nchi . Akizungumza katika mahojiano maalumu na Dodoma fm naibu waziri…

16 November 2022, 12:19 pm

Ukubwa wa riba kikwazo kwa wakopaji mikopo

Na; Eva Enock. Imeelezwa kuwa ukubwa wa riba pamoja na elimu juu ya matumizi sahihi ya fedha za mikopo ni miongoni mwa sababu zinazopelekea baadhi ya watu kushindwa kurejesha mikopo. Hayo yameelezwa na baadhi ya wananchi jijini Dodoma wakati wakizungumza…

27 October 2022, 10:35 am

Wakazi wa Gulwe wakosa mawasiliano ya simu

Na; Victor Chigwada. Changamoto ya mawasiliano katika Kijiji Cha Gulwe imeendelea kuwaathiri wananchi kutokana na uhaba wa minara ya mitandao ya simu. Wananchi hao wa Gurwe wamesema kuwa wamekuwa wakipata wakati mgumu wanapo hitaji kufanya mawasiliano kwa njia ya simu…

27 October 2022, 10:21 am

Wakulima Kongwa watakiwa kulima kilimo chenye tija

Na; Benard Filbert. Wakulima  wilaya ya Kongwa wamehimizwa kutumia teknolojia ya kisasa yakuvuna maji na kutunza udongo ili kufanya kilimo chenye tija. Hayo yameelezwa na mkuu wa idara ya kilimo na mifugo wilaya ya Kongwa Bw. wakati akizungumza na taswira…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger