Dodoma FM
Dodoma FM
3 October 2024, 20:10
Na Lilian Leopold Tatizo la mimba za utotoni limekuwa ni suala endelevu katika jamii nyingi nchini Tanzania. Mkaguzi Msaidizi wa Jeshi la Polisi Dodoma kutoka Dawati la Kijinsia Bwn. Michael Nkinda amebainisha sababu mbalilmbali zinazopelekea kuwepo kwa tatizo hilo miongoni mwa…
2 October 2024, 20:58
Na Yussuph Hassan. Imeelezwa kuwa vijana nchini Tanzania wapo katika hatari ya kupata magojwa ya moyo kutokana na mtindo wa maisha. Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Benjamin Mkapa Prof. Abel Makubi alithibitisha hilo mapema wiki hii katika mkutano uliowakutanisha waandishi…
2 October 2024, 20:57
Wafasiri na wakalimani kukuza lugha ya kiswahili ndani na nje ya nchi Na Mariam Matundu. Wafasiri na wakalimani wana mchango mkubwa katika kukuza lugha ya Kiswahili ndani na nje ya nchi ya Tanzania. Itakumbukwa kuwa Shirika la Umoja wa Mataifa…
2 October 2024, 20:57
Na Nazael Mkude. Wakazi wa mkoa wa Dodoma wametoa maoni yao kuhusu njia za kupunguza migogoro ya ardhi katika jiji la Dodoma. Wakizungumza na Dodoma TV, Wakazi hao wamesema kuwa ili kupunguza migogoro ya ardhi inapaswa viongozi na wananchi kushirikiana…
2 October 2024, 20:57
Na Mindi Joseph Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Dotto Biteko amepogeza jinsi tehama ilivyorahisisha utoaji wa huduma za afya kwa jamii. Ameyasema hayo leo jijini Dodoma katika Kongamano la 37 la kisayansi la wataalamu wa Maabara wa…
1 October 2024, 19:54
Na Mariam Matundu Kuelekea katika uchaguzi wa serikali za mitaa kundi la viziwi bado linatajwa kuachwa nyuma katika kushiriki mchakato huo kutokana na changamoto ya mawasiliano. Hii ni kutokana na uhaba wa wakalimani wa lugha ya alama katika mchakato huo…
1 October 2024, 19:53
Vijana kwa sasa wamekuwa waathirika wakubwa wa magonjwa ya moyo Nchini Tanzania ukilinganisha na maeneo mengine Duniani. Mkurugenzi Mtendaji wa Hospital wa Benjamin Mkapa Prof Abel Makubi amebainisha hilo wakati akizungumza na waandishi wa Habari kuelekea kambi maalumu ya magonjwa…
1 October 2024, 19:53
Na Mindi Joseph. Ujenzi wa eneo la mapumziko katika Bwawa la Swaswa Jijini Dodoma unatarajiwa kuwanufaisha wananchi kiuchumi. Bwn. Isaack Daniel ambaye ni mjumbe na pia msimamizi wa ulinzi na usalama katika mtaa wa Swaswa amezitaja fursa za kiuchumi zinazotokana…
1 October 2024, 19:52
Na Nazael Mkude. Kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji Nchini wito umetolewa kwa jamii kuacha tabia ya kuhusisha imani za kishirikiana katika mafanikio ya kisiasa. Mwenyekiti wa Chama cha Watu wenye Ualbino Mkoa wa Dodoma Bwn. Lodovick…
30 September 2024, 19:11
Na Nazael Mkude. Watu wanne wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za matukio ya mauaji yaliyofanyika kwa nyakati na muda tofauti ndani ya Jiji la Dodoma. Akiongea na waandishi wa habari jijini Dodoma, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma George Katabaz…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-