Dodoma FM
Dodoma FM
10 October 2024, 19:00
Na Mariam Kasawa. Kampuni ya mikopo ya Enterprice Financial Limited EFL imechagiza kauli mbiu ya Dodoma ya Kijani kwa kupanda miti katika maeneo ya Kndege Shule ya Msingi iliyopo jijini Dodoma. Meneja wa ampuni hiyo ya EFL tawi la Dodoma…
10 October 2024, 15:28
Na Anwary Shabani Utumaji wa nyaraka na usafirishaji wa vivurushi kupitia Shirika la Posta ni salama zaidi kulinganisha na njia zingine. Wadau na watumiaji wa huduma za Posta wamebainisha hayo wakati wa hafla ya kukabidhi zawadi kwa watumiaji bora wa…
9 October 2024, 18:26
Hali ya ulinzi na usalama imeimarika katika kata ya Mkonze kufuatia matukio kadhaa ya mauaji yaliyotokea katika kata hiyo kwa nyakati tofauti miiezi ya hivi karibuni. Akiongea na Dodoma TV, Mwenyekiti wa Mtaa wa Bwawani katika kata hiyo Bwn. Sospeter Abel …
9 October 2024, 18:25
Na Lilian Leopord. Matumizi ya vidonge vya P2 mara kwa mara kama mpango wa dharula wa kuzuia mimba imelelezwa kuwa na madhara makubwa katika suala zima la lafya ya uzazi. Akiongea na Dodoma TV, Daktari Fransis Mbwilu kutoka katika kituo cha…
9 October 2024, 18:24
Na Niza Mafita. Kituo cha kulelea watoto yatima cha Bicha ni moja ya vituo kinavyokabiliwa na changamoto ya mahitaji ya chakula pamoja na malazi. Mwalimu wa kituo hicho Bwn. Mikidadi Ally amebainisha hayo wakati akipokea msaada wa vitu mbalimbali kutoka…
9 October 2024, 18:22
Na Mariam Kasawa. Balaza la Uhifadhi na Usimaizi wa Mazngira NEMC limetoa mwezi mmoja kwa viwanda kufanya tathmini za athari kwa mazingira ili kuepuka uchafuzi wa mazingira unaosababisha na shughuli za viwanda. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mkuu NEMC Dkt. Immaculate…
8 October 2024, 18:40
Na Mariam Kasawa. Wananchi wametakiwa kuzitambua sheria mbalimbali za usimamizi wa mazingira pamoja adhabu zake endapo sheria hizo zitakiukwa ili kuepuka kuvunja sheria . Bwn. Onesmo Nzinga mwanasheria kutoka baraza la uhifadhi na usimamizi wa mazingira NEMC amesma hayo wakati…
8 October 2024, 18:40
Na Yussufu Hassan. Chifu Chihoma ni mfano wa kuingwa katika jamii kwa kufundisha na uhifadhi wa amali za tamaduni ya kigogo kwa vizazi vijavyo. Akiongea na Dodoma TV, Chifu Chimoma ameeleza juu ya vitu vya kitamaduni ambavyo amevihifadhi katika himaya…
8 October 2024, 18:39
Na Mariam Matundu. Wasichana jijini Dodoma wapo hatarini kupata magojwa ya afya ya akili kutokana na matumizi makubwa ya dawa za kulevya aina ya ‘skanka’. Akiwa katika mahojiano na Mariam Matundu mtangazaji wa Dodoma TV, Mkurugenzi wa taasisi ya Recovery…
8 October 2024, 18:35
Na Mariam Kasawa. Mkoa wa Dodoma umepokea tuzo ya TNBC kutokana na kufanikiwa kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji. Akiongea wakati wa kupokea tuzo hiyo Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amesema tuzo hii ni heshima kubwa kwa…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-