Recent posts
6 February 2023, 3:50 pm
Viongozi wa dini na waumini wapigwa msasa
Rai imetolewa kwa viongozi wote wa dini katika sehemu za Ibada kukemea utoro wa wanafunzi, ukatili pamoja na matumizi ya dawa za kulevya ili kuwa na kizazi chenye maadili na hofu ya Mungu. Na Benard Magawa Jeshi la Polisi wilaya…
6 February 2023, 2:06 pm
Mkandarasi ahimizwa kuharakisha ujenzi wa bwawa Membe
Mradi huo wa Bwawa la umwagiliaji unagharimu shilingi Bilioni 12 na litakapokamilika litachukua eneo lenye ukubwa wa ekari 388 na linatarajiwa kumwagilia mashamba yenye eneo la ukubwa wa ekari 8,000. Na Fred Cheti. Ujenzi wa Mradi wa bwawa kubwa la…
6 February 2023, 1:39 pm
Sakata la kufutiwa matokeo wazazi wazua gumzo
Wazazi wameandamana baada ya matokeo ya watoto wao kufutwa. Na Mariam Kasawa. Wazazi wameandamana baada ya matokeo ya watoto wao kufutwa walia na serikali wakiomba wizara ya elimu iwasaidie kupata majibu ya watoto wao kwani wamewasomesha kwa shida sana. Kwahabari…
4 February 2023, 5:53 pm
Wito watolewa kwa vijana wa vyuo vikuu
Wito umetolewa kwa jamii hasa vijana wa vyuo kujijengea uwezo wa kusaidia kutoa huduma ya kwanza pindi yanapotokea majanga ili kuokoa maisha ya wahanga waliopata matatizo mbalimbali ikiwemo ajali Na Fred Cheti. Wito huo umetolewa na Gofrey Mutasilwa Mratibu wa…
3 February 2023, 4:36 pm
Tunashindwa kuelewa juu ya mfumo wa Bima ulivyo
Imeelezwa kuwa licha ya mikakati mbalimbali ya uboreshwaji wa huduma za afya bado wananchi wameendelea kulalamika huduma ya bima ya CHF iliyoboreshwa. Na Victor Chigwada Wananchi wa Kata ya Mlowa Barabarani wamesema kuwa wanashindwa kuelewa mfumo wa bima ulivyo ,kutokana…
3 February 2023, 12:35 pm
Vijana jijini Dodoma watakiwa kushiriki katika fursa
Vijana jijini dodoma wametakiwa kushiriki katika fursa mbalimbali zinazowazunguka na kuacha kuona aibu kufanya shughuli hizo ili waweze kupata kipato na kurahisisha shughuli za maisha. Na Thadei Tesha Hayo yamesemwa na baadhi ya Vijana ambao wanajishughulisha na shughuli ya kukaanga…
3 February 2023, 11:39 am
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Ataka Ujenzi ukamilike
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Rosemary Senyamule amewataka wasimamizi wa ujenzi wa kituo cha Afya cha Itiso kilichopo wilayani Chamwino kuharakisha ukamilishaji wa ujenzi wa kituo hicho ili kianze kutoa huduma kwa wananchi. Na Fred Cheti Mkuu huyo wa…
3 February 2023, 9:47 am
Simulizi Ya Utawala wa Kitemi katika Kabila La Kigogo
Simulizi hii inatuonyesha maswala mazima ya utawala na vitu mbalimbali ambavyo alikuwa akitumia Mtemi wa kabila la Kigogo. Na Yussuph Hassan Chifu Razaro Masuma Chihoma kutoka katika kata ya Iyumbu Imaya ya Bwibwi jijini Dodoma asimulia simulizi yote hiyo ya…
2 February 2023, 4:35 pm
Wadau Ihumwa waishukuru Dodoma fm
Wakiwa kwenye mahojiano leo Leornad Mwacha na Mdau kutokea Ihumwa ndugu Julius Chedego wamezungumza na mdau huyo kutoa shukrani zake juu ya radio hiyo. Na Martha Mgaya Mmoja wa wadau wa Dodoma fm Bwana Julius Chedego leo katika kipindi cha…
2 February 2023, 4:07 pm
Wilaya ya Bahi yapanga kuongeza kiwango cha ufaulu
Wilaya ya Bahi yapanga kuongeza kiwango cha ufaulu kutoka nafasi ya kumi hadi ya tano kitaifa kwa mwaka 2023/2024. Na Benard Magawa . Halmashauri ya wilaya ya Bahi imeanza mikakati ya kuhakikisha wanapandisha zaidi ufaulu kwa mwaka 2023 lengo likiwa…