Recent posts
6 November 2024, 17:53
Msimu wa kilimo wazinduliwa Singida
Na. Anselima Komba Wakulima Mkoani Singida wametakiwa kujiandikisha katika daftari la ruzuku ya mbolea ili kufaamu kawango cha mbolea kinachohitajika katika msimu huu wa kilimo. Hayo yamejiri wakati Mkuu wa Idara maendeleo ya Jamii Francis Mashallo Akizindua Msimu wa Kilimo…
6 November 2024, 17:53
Utandawazi chanzo cha ufahamu kwa mtoto
Na Lilian Leopold. Mitandao ya kijamii imetajwa kuwa ni moja ya chanzo kikubwa cha ufahamu watoto wa kitanzania kujifunza mambo mbalimbali. Hayo yamebainishwa na baadhi ya wazazi mkoani Dodoma ambapo wamesema kuwa mitandao ya kijamii ikitumiwa vizuri itawasaidia watoto kujifunza…
6 November 2024, 17:53
Wachimbaji wadogo wa madini watakiwa kutotumia zebaki
Na Mariam Kasawa . Wachimaji wadogo wa madini Nchini wameshauriwa kuachana na matumizi ya kemikali aina ya zebaki katika shughuli za uchenjuaji madini . Kwa mujibu wa shirika la Afya Duniani WHO linasema kemikali ya zebaki kwamba ni miongoni mwa…
6 November 2024, 16:43
Zifahamu athari za kukasimu jukumu la malezi ya mtoto kwa dada wa kazi
Na Anuary Shabani, Kukasimu jukumu la malezi ua mtoto kwa dada wa kazi imeelezwa kuwa na athari ya mmomonyoko wa maadili katika malezi na makuzi ya mtoto. Wazazi jijini Dodoma wametoa maoni tofauti kuhusian na athari zinazojitokeza kwa mtoto endapo…
5 November 2024, 17:58
Fahamu faida za hifadhi hai za Tanzania
Na Fred Cheti. Nevomba 3 ya kila mwaka dunia huadhimisha siku ya kimataifa ya hifadhi hai duniani ambapo kuna hifadhi hai zipatazo 748 huku Tanzania ikiwa na jumla ya hifadhi hai 6. Bwn. Novatusi Moshi ni Afisa Mazingira mwandamizi kutoka…
5 November 2024, 17:57
DOWOSA yawaelekeza wanawake ujasiriamali
Na. Anselima Komba Chama cha Akiba na Mikopo cha Wanawake wa Dodoma (Dodoma Women Saccos Limited) kimejizatiti kuwakwamua wanawake kiuchumi kwa kuwapatia elimu ya ujasiriamali. Mhe. Mbonipaye Mpango Mke wa Makamu wa Rais amebainisha hayo wakati wa mkutano mkuu wa…
5 November 2024, 17:57
Wajumbe CCM Ndachi wachachamaa hatma ya mgombea
Na Nazael Mkude. Wajumbe wa Chama Cha Mapinduzi wa Mtaa wa Ndachi Kata ya Mnadani Mkoani Dodoma wamepata na sintofahamu kutokana na suala la hatma ya mgombea baada ya kura za maoni. Wajumbe wamepatwa na sintofahamu hiyo baada ya mgombea…
5 November 2024, 17:57
Wachimbaji wadogo wa madini kuachana na matumizi zebaki
Na Mariam Kasawa. Wachimbaji wadogo wa madini nchini wametakiwa kuachana na matumizi ya kemikali ya zebaki (Mercury) na kutumia teknolojia mbadala kwenye uchenjuaji wa dhahabu ili kulinda afya ya binadamu na Mazingira. Dkt. Immaculate Sware Semesi Mkurugenzi Mkuu NEMC akiwa…
4 November 2024, 19:35
Zifahamu sifa za Chifu Biringi
Na Yusuph Hassan. Kila chifu katika himaya yake alikuwa na sifa za kipekee amabazo zilimtofautisha na chifu mwingine. Chifu Biringi alikuwa na sifa za kipekee kwa jinsi alivyoiongoza jamiiyake kuhakikisha kiwa jamii inakuwa salama Pamoja na kulinda mil ana desturi…
4 November 2024, 19:34
Waliompiga Ismail Wabu wako wapi?
Na Steven Noel. Bwn. Ismail Wabu kwa Afisa Afya wa Wilaya ya Mpwapwa anayeishi Mtaa wa Hazina Mkwatani Wilayani Mpwapwa yupo kitandani kwa zaidi ya miezi mitatu akiwa amepooza kutokana na kupigwa na wananchi akiwa katika majukumu yake ya kikazi.…