Dodoma FM
Dodoma FM
24 October 2024, 19:48
Na Mariam Matundu Vyama mbalimbali vya siasa vinaendelea na mchakato wa upigaji wa kura za maoni kuwapata wagombea watakaowakilisha vyama vyao katika uchaguzi wa serikali za mitaa. Mchakato huu unategemea na kanuni zilizopo kwenye chama husika ambapo wanachama wenye sifa…
24 October 2024, 19:48
Na Anwary Shabani Hali ya umaskini imeendelea kutajwa kuwa moja ya chanzo cha mimba na ndoa za utotoni katika maeneo mbalimbali nchini. Bwn. Michael Laurent Mavunde kutoka Shirika la Afya Community Care lilipo jijini Dodoma anaeleza sababu mbalimbali zinazotajwa kama…
23 October 2024, 19:00
Na Mindi Joseph. Wasimamizi wa miradi ya maendeleo hususan Shule, wametakiwa kusimamia na kukamilisha miradi kwa wakati kwa kutumia mfumo wa manunuzi Serikalini (NeST). Wito huo umetolewa na Mhe. Rosemary Senyamule Mkuu wa Mkoa wa Dodoma katika ziara ya ukaguzi…
23 October 2024, 18:59
Na Steven Noel. Vijana ambao ni nguvu kazi ya taifa wanakabiliwa na changamoto ya afya ya akili kutkana na sababu mbalimbali likiwemo suala la mahusiano. Julieth Mageje muuguzi kitengo cha afya ya akili wilayani mpwawa anabainisha chanzo la tatizo…
23 October 2024, 18:59
Na Mindi Joseph. Madereva wa stend ya mnada mpya Jijini Dodoma wamakabiliwa na changamoto ya faini za mara kwa mara kutokana na kuegesha magari maeneo yasiyo rasmi kutokana na changamoto ya miundombinu. Madereva hao wanaeleza jinsi hali alisi ya stendi…
23 October 2024, 18:58
Na Mariam Kasawa. Betri chakavu za magari zimetajwa kuwa na athari kubwa kwa viumbe na mazingira endapo hazitateketezwa katika utaratibu mzuri. Akizingumza katika wiki ya kujiondosha na kuepukana na kemikali zinazotokana na betri chakavu Bi. Dora Swai katibu mtendaji kutoka…
23 October 2024, 00:55
Na Mariam Kasawa. Taka za betri chakavu zinatajwa kuwa na athari kimazingira na kiafya kwa binadamu hivyo umakini unahitajila katika kuziteketeza au kurejelezwa. Akizingumza katika wiki ya kujiondosha na kuepukana na taka za As lead zinazotokana na betri chakavu, Bwn…
23 October 2024, 00:55
Na Noel Steven. Shule ya msingi Idilo imeafaidika na kwa kupata msaada wa madawati 30 kutokana na miradi ya uwekezaji katika kijiji hicho. Zaidi ya Wanafunzi 90 waliokuwa wakisoma huku wamekaa chini Katika shule ya Msingi Idilo wameondokana na adha…
23 October 2024, 00:55
Nas Mindi Joseph. Serikali imeipandisha hadhi shule ya msingi Mandawa ili kuweza kutoa elimu ya ya kidato cha tano na sita. Akizungumza kwa niaba ya wanafunzi wenzake, Kaka Mkuu wa shule ya sekondari Mandawa, Saidi Mohammed Mkowola ameishukuru Serikali kwa…
23 October 2024, 00:54
Na Mariam Matundu. Jamii imetakiwa kuwamini watu wenye ulemavu wanaojitokeza kugombea katika uchaguzi wa serikali za mitaa ili kuchochea maendeleo. Daudi Mlewa ambaye ni mtu mwenye ulemavu ni mwenyekiti anayemaliza muda wake wa oungozi katika mtaa wa Karume anatueleza uthubutu…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-