Recent posts
2 January 2025, 18:11
Muungano waiomba RUWASA kushughulikia changamoto ya kuharibika kwa miundombinu y…
Hili linajiri baada ya hivi karibuni wakala wa usambazaji maji vijijini RUWASA kuiondoa kamata ya maji kijijini hapo. Na Victor Chigwada.Kuharibika kwa miundombinu ya maji katika kijiji cha muungano wilayani Chamwino umesababisha wananchi kijiji hicho kuomba kwa mamlaka ya maji…
2 January 2025, 17:56
Kidoka waomba serikali kuingilia kati ujenzi wa sekondari
Wakazi wa kijiji hicho wameendelea kuiomba serikali kuingilia kati suala hilo la ujenzi wa sekondari kijijini hapo kwani ni la muda mrefu. Na Mariam Kasawa.Wakazi wa Kijiji cha Pangalua kata ya Kidoka wilayani Chemba walalamikia ucheleweshaji wa ujenzi wa Sekondari…
2 January 2025, 17:39
Jamii yatakiwa kuwa na desturi ya kuwatembelea wagonjwa
Wadau mbalimbali wameombwa kufika katika hospitali mbalimbali ili kujua changamoto zinazowakabili wagonjwa. Na Seleman Kodima.Wito umetolewa kwa jamii kuwa na desturi ya kuwatembelea wagonjwa na kuthamini jumuiya zinazojitolea kuhudumia wagonjwa katika Hospitali mbalimbali hapa nchini. Kauli hiyo imetolewa na Mwakilishi…
30 December 2024, 14:11
Tanzania yaendelea kupiga hatua utekezaji mkakati wa Beijing
Na Mariam Matundu. Katika kuelekea miaka thelathini tangu mkutano wa Beijing kufanyika, waandishi wa habari wametakiwa kutumia kalamu zao kuonesha hatua zilizopigwa hapa nchini katika kutekeleza maazimio ya mkutano huo. Akizungumza katika warsha iliyowakutanisha wandishi wa habari kutoka maeneo mbalimbali…
23 December 2024, 17:36
Wananchi Nala, Chihoni wapatiwa elimu ya kupinga ukatili
Wazazi wanatakiwa kuwa mstari wa mbele katika kuwalea watoto wao kwa kutenga muda wa kuzungumza nao na kuwajengea uwezo wa kuzungumza kipindi wakipata matatizo. Na Annuary Shaban.Wakazi wa Mtaa wa Nala, Segu Juu, Segu Chini na Chihoni, wamewezeshwa elimu ya…
23 December 2024, 17:23
Mradi wa elimu jumuishi watekelezwa katika shule 11 Dodoma
Shule zilizoongezeka katika jiji la Dodoma ni shule ya msingi mlezi,shule ya msingi kisasa,shule ya msingi Chang’ombe na shule ya msingi Chinangali. Na Mariam Matundu.Mradi wa elimu jumuishi unaotekelezwa na kanisa la Free pentecostal church FPCT mkoani Dodoma umefanikiwa kuongeza…
18 December 2024, 15:15
NHIF yarejesha toto afya kadi
Mpango wa Toto Afya Kadi utasaidia familia za wananchi hasa zile zenye watoto wenye changamoto za kiafya. Na Mariam Matundu.Waziri wa Afya Mh. Jenista Mhagama amesema kurejeshwa kwa Toto Afya Kadi kutaleta matumaini mapya na uelekeo thabiti wa Bima ya…
12 December 2024, 17:32
Mwendelezo wa historia ya Kisima cha Nyoka
Hitimisho la historia ya Kisima cha Nyoka katika mtaa wa Mazengo. Na Yussuph Hassan.Mwanandishi wetu Yussuph Hassan bado yupo mtaa wa Mazengo kata ya Chang’ombe na leo anahitimisha historia ya kisima cha nyoka.
12 December 2024, 17:12
Wanaume watakiwa kufunguka wanapofanyiwa ukatili
Kila ifikapo tarehe 10 Desemba ni Siku ya Haki za Binadamu na pia ni kilele cha siku 16 za harakati za kupinga ukatili wa kijinsia . Na Annuary Shaban.Chama Cha Wanasheria Wanawake Tanzania na wadau wengine wamewasisitiza wanaume kujitokeza kutoa…
12 December 2024, 16:55
Kausha damu yatajwa kuumiza familia za wakopaji
Wakopaji wengi hawana elimu juu ya matumizi sahihi ya mikopo hiyo. Na mwandishi wetu.Baadhi ya wananchi Jijini Dodoma wamesema mikopo umiza maarufu kama kausha damu inalenga kusaidia mahitaji muhimu ingawa wakopaji wengi hawana elimu juu ya matumizi sahihi ya mikopo…