Recent posts
14 November 2024, 20:06
Uelewa matumizi ya mfumo yanyima makundi maalumu 30%
Na Mariam Kasawa. Jamii ya kundi maalumu imetajwa kukabiliwa na changamoto ya uelewa jinsi ya kutumia mfumo wa Serikali wa NEST ili kupata taarifa za kiuchumi Bi .Felister Mdemu Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsi, Wanawake na…
14 November 2024, 20:06
Paranga Chemba walilia zahanati
Na Yussuph Hassan, Wakazi wa kijiji cha Paranga Wilayani Chemba Mkoani Dodoma wapo tayari kuchangia nguvu zao ili kufanikisha ujenzi wa zahanati ili kuondokana na changamoto ya wanawake kujifungulia njiani. Hatua hii inajiri baada ya kufikiwa na mradi wa ninawajibika…
14 November 2024, 20:05
Badili mtindo wa maisha kuepuka magonjwa yasiyoambukiza!
Na Mariam Ma Mtindo wa maisha umetajwa kuchaingia kwa kuchangia uwezekano wa jamii kuathiriwa na magonjwa yasiyoambukiza. Gaudensia Kalalu ni mtaalamu wa saikolojia kutoka hospitali ya taifa afya akili mirembe anazungumzia zaidi aina ya magonjwa yasiyoambukiza pamoja na sababu zinazopellekea…
13 November 2024, 17:24
Changamoto katika usafiri wa umma zageuka kero sekta ya usafirishaji
Na Lilian Leopold Wananchi wanaotumia usafiri wa umma wanakabiliwa na changamoto ambazo zimegeuka kuwa kero katika sekta ya usafirishaji. Wakazi wa jijini Dodoma wanabainisha changaomoto hizo katika usafiri wa umma ikiwa ni pamoja na muda mrefu wanatumia kukaa kwenye chombo…
13 November 2024, 17:24
Matumizi ya nishati safi yashika kasi sehemu za umma
Na Mariam Kasawa. Hivi karibuni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa alizitaka taasisi zinazo pika chakukula kwa watu zaidi ya 100 kuacha matumizi ya kuni na mkaa na kuhamia kwenye nishati safi hadi hadi kufikia…
13 November 2024, 17:23
Wananchi wapongeza Serikali ujenzi wa daraja Mpwapwa
Na Noel Steven. Kuanza kwa ujenzi wa daraja katika bonde la Talili na Lita kutaondosha adha na changamoto inayowakabili wakazi wa maeneo hayo hasa nyakati za mvua. Kaimu Meneja wa TARURA Wilaya ya Mpwapwa Mwandisi Christopher Maligana amelezea gharana na…
12 November 2024, 17:27
Zifahamu fursa na changamoto za msichana kielimu
Na Fred Cheti. Idadi ya wanafunzi wasichana wanaomaliza kidato cha nne imetajwa kuongezeka licha ya vikwazo vingi vinavyowakabili katika safari ya kielimu. Hii imebainika katika mtihani wa kuhitimu kidato cha nne uliofanyika Novemba 11, 2024 ambapo idadi ya wasichana…
12 November 2024, 17:26
Matumizi ya simu kwa mwanafunzi chanzo cha vishawishi
Na Anwary Shabani . Matumizi ya simu yametajwa kuwa chanzo kwa baadhi ya wanafunzi kushindwa kuepukana na vishawishi . Baadhi ya wazazi mkoani Dodoma wamesema kuwa matumizi ya simu kwa wanafunzi yanasababisha baadhi ya wanafunzi wasitimize ndoto zao kutokana na…
12 November 2024, 17:26
Chuo cha ualimu Mpwapwa chatumia nishati mbadala kwa mapishi
Na Noel Steven. Chuo cha ualimu Mpwapwa kimetekekeza agizo la Ofisi ya makamu wa Rais muungano na mazingira ya kutumia nishati rafiki ili kupunguza atathari za mazingira. Mkuu wa Chuo hicho Bwn. Gerald Richard amesema kuwa kwa sasa wanatumia kuni…
12 November 2024, 10:23
Zuia magonjwa yasiyoambukiza kwa kuchangia damu
Na Anwary Shabani. Wananchi wametakiwa kujenga utamaduni wa kujitokeza kuchangia damu ili kusaidia kuzuia magonjwa yasiyoamabukiza. Mratibu wa damu salama katika jiji la Dodoma Jerome Felician ameyasema hayo wakati wa kampeni ya uchangiaji damu inayojulikana kama “ Zuia Magonjwa Yasiyo…