Dodoma FM
Dodoma FM
29 October 2024, 15:59
Na Mariam Matundu. Hospitali ya Benjamini Mkapa imeanzisha mtandao wa kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia vinavyotokea mara nyingi kwa watoto . Hii ni kufuatia kupokea wagonjwa ambao hutibiwa hosptalini hapo na kubainika wamefanyiwa vitendo vya ukatili ama wanapitia…
29 October 2024, 15:59
Na Noel Steven Wanawake wa Kanisa la Pentekoste Tanzania KLPT wilayani Mpwapwa, wamehimizwa kujitokeza siku ya uchaguzi Novemba 27 Ili kuweza kuchagua viongozi bora wa Serikali za mitaa. Akiongea katika siku ya kuhitimisha wiki ya wanawake KLPT Parishi ya Ng’ambo,…
29 October 2024, 15:59
Na Anwary Shabani Watu watatu jijini Dodoma wamenusurika kifo baada ya bajaji waliyokuwa wakiitumia kwa safari za mjini kuwaka moto na kuteketea katika mtaa wa Kitenge Kata ya majengo. Bwn Isaack Gideon ambaye ni dereva wa bajaj hiyo anaeleza jitihada…
27 October 2024, 18:13
Kwa kutambua changamoto katika hatua ya ukuaji wa mwanamke na uhitaji wa huduma za afya, shirika la Marie Stopes Tanzania limezindua kampeni itakayomwezesha mwanamke kuanzia umri wa miaka 16 hadi 50 kupata huduma stahili za afya. Na Hilali A. Ruhundwa,…
25 October 2024, 18:36
Na Nazael Mkude. Viongozi wa dini jijini Dodoma wametoa wito kwa jamii kuacha tabia ya kujitoa uhai kutokana na changamoto za maisha. Wakizunguzma kwa nyakati tofauti, viongozi hao wa dini wamesema ni dhambi mbele za Mungu kuchukua maamuzi ya kujiua.…
25 October 2024, 18:36
Na Yusuph Hassan. Kituo cha mafunzo kwa vijana kwa ajili ujasiriamali na kilimo kimezunduliwa jijini Dodoma. Akizungumza katika uzinduzi huo Bwn. Peter Marc kutoka Young World Feeders amesema kuwa kituo hicho kitatoa fursa kwa wajasiriamali kuongeza thamani zao na kufanya…
25 October 2024, 18:35
Na Anwari Shabani Destruri za zimetajwa kuwa ni miongoni mwa sababu ya kuvunjika kwa ndoa Padri Novatus Bideberi Kanisa Kuu katoliki Parokia ya Mtakatifu Paulo Jijini Dodoma amesema kuwa kuwa kuiga mila na desturi za nje ni miongoni mwa sababu…
25 October 2024, 18:35
Na Mindi Joseph. Jamii imetakiwa kuondokana na dhana potofu kuwa watoto wanaozaliwa wakiwa na vichwa vikubwa na mgongo wazi ni laana au mkosi. Daktari wa upasuaji wa magonjwa ya ubongo na mishipa ya fahamu kutoka Taasisi ya Tiba ya Mifupa…
24 October 2024, 19:49
Na Mariam Matundu. Ugonjwa wa kiharusi unaendelea kushika kasi ambapo watu kadhaa huripotiwa kuwa na ugonjwa huo hapa nchini. Hospitali ya Mkoa wa Dodoma na hospitali ya Benjamini Mkapa zimetajwa kupokea wagonjwa 15 hadi 20 wa ugonjwa wa kiharusi kila…
24 October 2024, 19:49
Na Mindi Joseph. Huduma ya kipimo cha virusi vya ukimwi cha kujipima mwenyewe kwa kutumia mate imeanza kutolewa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma. Dkt Adam Adam Mhudumu wa afya ngazi ya jamii anaelezea namna ya kutumia…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-