Dodoma FM
Dodoma FM
6 November 2024, 16:43
Na Anuary Shabani, Kukasimu jukumu la malezi ua mtoto kwa dada wa kazi imeelezwa kuwa na athari ya mmomonyoko wa maadili katika malezi na makuzi ya mtoto. Wazazi jijini Dodoma wametoa maoni tofauti kuhusian na athari zinazojitokeza kwa mtoto endapo…
5 November 2024, 17:58
Na Fred Cheti. Nevomba 3 ya kila mwaka dunia huadhimisha siku ya kimataifa ya hifadhi hai duniani ambapo kuna hifadhi hai zipatazo 748 huku Tanzania ikiwa na jumla ya hifadhi hai 6. Bwn. Novatusi Moshi ni Afisa Mazingira mwandamizi kutoka…
5 November 2024, 17:57
Na. Anselima Komba Chama cha Akiba na Mikopo cha Wanawake wa Dodoma (Dodoma Women Saccos Limited) kimejizatiti kuwakwamua wanawake kiuchumi kwa kuwapatia elimu ya ujasiriamali. Mhe. Mbonipaye Mpango Mke wa Makamu wa Rais amebainisha hayo wakati wa mkutano mkuu wa…
5 November 2024, 17:57
Na Nazael Mkude. Wajumbe wa Chama Cha Mapinduzi wa Mtaa wa Ndachi Kata ya Mnadani Mkoani Dodoma wamepata na sintofahamu kutokana na suala la hatma ya mgombea baada ya kura za maoni. Wajumbe wamepatwa na sintofahamu hiyo baada ya mgombea…
5 November 2024, 17:57
Na Mariam Kasawa. Wachimbaji wadogo wa madini nchini wametakiwa kuachana na matumizi ya kemikali ya zebaki (Mercury) na kutumia teknolojia mbadala kwenye uchenjuaji wa dhahabu ili kulinda afya ya binadamu na Mazingira. Dkt. Immaculate Sware Semesi Mkurugenzi Mkuu NEMC akiwa…
4 November 2024, 19:35
Na Yusuph Hassan. Kila chifu katika himaya yake alikuwa na sifa za kipekee amabazo zilimtofautisha na chifu mwingine. Chifu Biringi alikuwa na sifa za kipekee kwa jinsi alivyoiongoza jamiiyake kuhakikisha kiwa jamii inakuwa salama Pamoja na kulinda mil ana desturi…
4 November 2024, 19:34
Na Steven Noel. Bwn. Ismail Wabu kwa Afisa Afya wa Wilaya ya Mpwapwa anayeishi Mtaa wa Hazina Mkwatani Wilayani Mpwapwa yupo kitandani kwa zaidi ya miezi mitatu akiwa amepooza kutokana na kupigwa na wananchi akiwa katika majukumu yake ya kikazi.…
4 November 2024, 19:34
Na Mariam Kasawa. Wafanyabiashara wa soko jipya la Maputo Jijini Dodoma wameiomba serikali kuwaboreshea mazingira ya soko hilo. Wafanya biashara hao wamesema licha ya soko hilo kuboreshwa kwa kuwekwa maeneo vizuri tofauti na awali bado wanahitaji huduma ziboreshwe sokoni hapo…
4 November 2024, 19:34
Na Lilian Leopord. Hali za majeruhi 10 ambao wamenusurika katika ajali iliyotokea Novemba 3 katika Kata ya Makulu jijini Dodoma na kupatiwa matibabu katika hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Dodoma imeendelea kuimarika. Afisa Uhusiano na Mawasiliano katika hospitali ya…
1 November 2024, 19:11
Na Nazael Mkude. Sintofahamu imeibuka kwa wajumbe wa CCM wa mtaaa wa Matube Kata ya Nkuhungu jijini Dododma baada ya mgombea kutotangazwa jina lake baada ya mchakato wa kura za maoni kukamilika. Wajumbe wa CCM kutoka mtaa huo wamefika katika…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-