Recent posts
11 December 2024, 16:57
Ubovu wa barabara za mtaa wakwamisha shughuli za maendeleo Msangalalee
Mtaa wa Msangalalee wenye wakazi wapatao 20,378, kwa sasa hauna mawasiliano ya baadhi ya barabara kutokana na mvua kuharibu madaraja manne, hali inayosababisha changamoto kubwa kwa wananchi wa eneo hilo. Wananchi wa Mtaa Msangalalee kata ya Dodoma Makulu, Jijini Dodoma…
10 December 2024, 17:19
Ifahamu historia ya ‘Kisima cha Nyoka’
Je kwanini kisima hiki kiliita jina hilo hapa wazee wa eneo hilo wanaeleza. Leo Yussuph Hassan yupo kata ya Chang’ombe mtaa wa Mazengo akiangazia historia ya Kisima cha Nyoka kinachopatika katika eneo hili.
10 December 2024, 17:08
Wenye ulemavu watakiwa kutambua afya ya akili
Miongoni mwa msaada uliotolewa na taasisi ya Tfed ni pamoja na majiko ya gesi, fimbo nyeupe, cherehani, kiti mwendo na mafuta kwa watu wenye ualbino. Na Yussuph Hassan.Imeelezwa kuwa kuna umuhimu mkubwa kwa kundi la watu wenye ulemavu kutambua afya…
10 December 2024, 16:50
Wafanyabiashara Sabasaba walalamikia uwepo wa dampo katikati ya soko
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa soko la Sabasaba amesema soko hilo linahudumia zaidi ya wafanyabiashara 10,000, na kila siku zaidi ya watu 15,000 huingia na kutoka sokoni hapo, jambo linaloonesha ukubwa na umuhimu wa soko hili katika uchumi wa jiji…
10 December 2024, 16:29
Mvua yakwamisha baadhi ya shughuli Majeleko
Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Majeleko wakizungumza na Taswira ya Habari wameelezea hali ilivyo kwa sasa. Na Victor Chigwada.Wakazi wa kijiji cha Majeleko wilayani Chamwino wameshindwa kufanya baadhi ya shughuli kutokana na Mvua zinazo endelea kunyesha na kuharibu miundombinu…
10 December 2024, 16:04
Wananchi watakiwa kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya mvua
Hii inajiri baada ya mfululizo wa vipindi vya mvua kunyesha bila kumpuzika hususani katika kipindi hiki cha msimu wa mvua. Na Nazael Mkude.Wito umetolewa wakazi wa mtaa wa bwawani kata ya ipagala mkoani Dodoma kuhakikisha kuwa wanachukua tahadhari kwa kipindi…
6 December 2024, 11:50
Serikali yaendelea na ukarabati miundombinu ya maji soko la Machinga
Soko la machinga lilianza kufanyakazi November 1, 2022, kwa mujibu wa Halmshauri ya Jiji la Dodoma hadi sasa soko hilo linahudumia wajasiriamali zaidi ya 3200 waliosajiliwa, linatoa huduma mbalimbali zikiwemo huduma za vyakula, biashara za nguo, mapambo, huduma za kibenk…
6 December 2024, 11:26
Mhandisi mradi wa Tactic atakiwa kukamilisha kazi kwa wakati
Maandalizi ya utekelezaji wa mradi huu yamegawanywa katika makundi matatu kwa kuzingatia awamu za mgao wa fedha kutoka kwa mfadhili (Benki ya Dunia). Na Annuary Shaban.Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Alhaj Jabir Shekimweli amemtaka mhandishi wa mradi wa tactic kuhakiksha…
4 December 2024, 12:45
Elimu, dini jinsia na ulemavu visababishi ubaguzi katika familia
Wazazi na walezi wameombwa kutokuwabagua watoto wao katika familia ili kuweka usawa. Na Lilian Leopord. Elimu, jinsia, dini na ulemavu vimetajwa kuwa visababishi vinavyochochea watoto kubaguliwa kwenye familia. Akizungumza na Dodoma Tv Afisa Mradi kutoka Action for Community Care Michael…
4 December 2024, 12:29
Imani za kishirikina zatajwa kuchangia ukatili dhidi ya Watoto
Kwa Mujibu wa Ofisi ya Maendeleo ya Jamii mwaka 2024 pekee, kwa kipindi cha kuanzaia mwezi wa kwanza hadi mwezi wa nane matukio ya ukatili yaliyoripotiwa mkoa wa Dodoma ni 2,352, ambapo ukatili kwa watoto ni 629 huku watu wazima…