Recent posts
10 March 2023, 3:45 pm
Watumishi watakiwa kuimarisha ufanisi katika utendaji
Dkt. Jim Yonazi, amewataka watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu kuimarisha ufanisi katika utendaji kazi wa kila siku ili kufanikiwa katika kufikia malengo ya Serikali. Na Alfred Bulahya. Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge…
10 March 2023, 3:39 pm
Mitandao yachangia ukatili wa kijinsia kwa vijana balehe
Profesa huyo ameiomba serikali kusimamia utekelezaji wa sheria hiyo huku akipendekeza kutungwa kwa kanuni zenye mlengo wa kijinsia zitakazotoa ulinzi maalum kwa watoto wa kike na wanawake dhidi ya ukatili wa mtandaoni. Na Zania Miraji. Takwimu zinaonyesha kuwa asilimia 4…
9 March 2023, 5:29 pm
Wanawake watakiwa kutetea haki za watoto
Mkuu wa Mkoa amewataka wanawake kusimama imara katika jamii kupinga ukatili wa kijinsia pamoja na kutetea haki za watu wenye ulemavu. Na Mariam Kasawa. Wanawake wametakiwa kusimama imara kutetea haki za watoto pamoja na haki za watu wenye ulemavu Nchini.…
9 March 2023, 4:35 pm
Uongozi wa kata ya Itiso yatoa pongezi kwa jitihada za ujenzi wa madarasa
Uongozi umetoa pongezi kwa wananchi wa kata ya Itiso wilayani Chamwino kwa juhudi kubwa wanayoifanya ya ujenzi wa Vyumba vya madarasa . Na Victor Chigwada. Uongozi wa Kata ya Itiso wilayani Chamwino umetoa pongezi kwa wananchi wa kata hiyo kwa…
9 March 2023, 3:46 pm
Madereva wa Bodaboda wahamasisha vijana kujiajiri
Madereva wa Bodaboda wilayani Bahi Mkoani Dodoma wamesema kazi wanayoifanya ni kazi rasmi na kuwahamasisha vijana wasio na ajira kuacha kukaa vijiweni bali watafute hata kazi ya bodaboda ili wajikimu kimaisha. Na Benard Magawa. Madereva wa Bodaboda wilayani Bahi Mkoani…
9 March 2023, 3:28 pm
Kituo kidogo cha daladala chatajwa kutoa fursa mbalimbali
Kituo kidogo cha daladala katika eneo la swaswa mnarani jijini dodoma imetajwa kuwa na fursa kubwa kwa baadhi ya wakazi wa eneo hilo kujipatia kipato. Na Thadei Tesha. Uwepo wa kituo kidogo cha daladala katika eneo la swaswa mnarani jijini…
9 March 2023, 12:39 pm
Mkuu wa mkoa wa Dodoma atatua mgogoro wa wakulima na wafugaji
Mh. Rosemary Senyamule ametatua mgogoro wa wakulima na wafugaji wa vijiji vya Izava na Chitego vilivyopo katika wilaya za Kongwa na Chamwino. Na Alfred Bulahya. Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mh. Rosemary Senyamule ametatua mgogoro wa wakulima na wafugaji wa…
9 March 2023, 12:00 pm
TPF Net kuendeleza kudhibiti na kutokomeza vitendo vya ukatili
TPF Net limesema limejipanga kushirikiana na wadau mbalimbali katika kudhibiti na kutokomeza vitendo vya ukatili wa kijinsia. Na Fredi Cheti. Jeshi la Polisi nchini kupitia Mtandao wa polisi wanawake nchini TPF Net limesema limejipanga kushirikiana na wadau mbalimbali katika kudhibiti…
8 March 2023, 5:01 pm
UWT yaweka wazi wanawake wanavyo ogopa kuwania nafasi za uongozi
Wanawake wa kata ya Bahi wilayani Bahi wamezungumzia ushiriki mdogo wa wanawake katika nafasi mbalimbali za uongozi. Na Benard Magawa. Katika kusherehekea maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani ambayo hufanyika machi 8 ya kila mwaka, wanawake wa kata ya Bahi…
8 March 2023, 4:04 pm
Wanawake watakiwa kusimama imara kupinga ukatili
Wanawake wametakiwa kuwa mstari wa mbele katika kukemea na kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia vinavyo endelea katika jamii. Na Mariam Kasawa. Wanawake wametakiwa kuwa mstari wa mbele katika kukemea na kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia vinavyo endelea katika…