Recent posts
14 March 2023, 1:14 pm
Wanafunzi watakao faulu kununuliwa mahitaji yote ya msingi Kongwa
Halmashauri ya wilaya ya Kongwa kujipanga kuwanunulia mahitaji yote ya msingi wanafunzi wenye wazazi wasiojiweza kiuchumi watakaofaulu. Na Alfred Bulahya. Halmashauri ya wilaya ya Kongwa imepanga kuanza kuwanunulia mahitaji yote ya msingi wanafunzi wenye wazazi wasiojiweza kiuchumi watakaofaulu na kuchaguliwa…
14 March 2023, 12:04 pm
Wananchi Wahimizwa kufanya utalii wa ndani Jijini Dodoma
Wananchi Mkoani Dodoma wamehimizwa kuwa na utaratibu wa kufanya utalii wa ndani ukiwemo utalii wa matukio, kwenda maeneo maarufu mkoani hapo, ikiwemo pia na maeneo ya mashamba makubwa yanayolima zao la zabibu. Na Fred Cheti. Katika Kuufanya Mkoa wa Dodoma…
13 March 2023, 5:49 pm
Uhaba wa wachangia Figo waendelea kuwa kikwazo
Mpaka sasa Hospitali ya Benjamin Mkapa imefanikiwa kupandikiza Figo wagonjwa 33 kati ya hao wagonjwa 22 walipandikizwa Figo na wataalamu wazawa. Na Mindi Joseph. Ukosefu wa wachangiaji Figo umetajwa kuendelea kuwa kikwazo kwani Wananchi wengi hawapo tayari kujitolea kuchangia Ndugu…
13 March 2023, 3:43 pm
Wananchi wilayani Bahi wasisitizwa kulima mtama
Mheshimiwa Godwin Gondwe amewaagiza wananchi wilaya ya Bahi kuhakikisha kila kaya inalima ekari mbili za mtama ili kuepuka adha ya kukosa chakula. Na Benard Magawa. Mkuu wa wilaya ya Bahi Mheshimiwa Godwin Gondwe amewaagiza wananchi wilayani humo kuhakikisha kila kaya…
13 March 2023, 3:06 pm
Kamati ya bunge ya utawala yajipanga kuisimamia ofisi ya rais-utumishi
kila mmoja kwa nafasi yake kutimiza wajibu wake ili kuiwezesha kamati yake kutekeleza jukumu la kushauri na kusimamia vema utendaji kazi wa Ofisi ya Rais, Na Mariam Kasawa. Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na…
13 March 2023, 11:37 am
Wamiliki wa kumbi za starehe watakiwa kuzingatia sheria
Hii inajiri kufuatia kuwepo kwa baadhi ya malalamiko ya wanachi ya jijini la dodoma kuhusu baadhi ya kumbi za starehe ambazo nyingi zipo katika makazi ya watu kupiga mziki kwa sauti ya juu na kusasbabisha kero kwa wanachi. Na Fred…
13 March 2023, 8:52 am
TASAC yakanusha madai ya rushwa kwa CMA
Suala hilo ni miongoni malalamiko matatu yaliyoripotiwa kupitia mitandao ya kijamii ambapo pia kupitia mitandao hiyo vijana hao wamelalamikia kuvunjwa kwa mikataba bila ya kufuata utaratibu na kufanya kazi bila ya bima ya afya. Na Mindi Joseph. SHIRIKA la Wakala…
10 March 2023, 5:07 pm
Hizi hapa aina nne za zabibu zinazozalishwa jijini Dodoma
Leo tutaangalia historia ya aina na maumbo mbalimbali ya tunda la zabibu linalozalishwa ndani ya jiji la Dodoma. Na Yusuph Hassani. Darwesh Said ambaye ni mwakilishi wa kikundi cha kutunza mazingira chapakazi anasimulia historia mzima ya kuhusiana na aina ya…
10 March 2023, 4:37 pm
Nzuguni waeleza kunufaika na Barabara
Wakazi hao wameiomba serikali kukamilisha ujenzi wa barabara inayoelekea Nzuguni B sambamba na kutoa elimu ya matumizi ya alama za barabarani. Na Thadei Tesha Baadhi ya wananchi wanaojishughulisha na biashara mbalimbali katika eneo la Nzuguni Boda jijini Dodoma wamesema kukamilika…
10 March 2023, 4:10 pm
Biashara ya matunda na mbongamboga kuwa mkombozi wa kiuchumi
Biashara ya matunda na mbongamboga katika soko la kizota imetajwa kuwa mkombozi wa kiuchumi kwa baadhi ya wakina mama. Na Thadei Tesha. Biashara ya matunda na mbongamboga katika soko la kizota imetajwa kuwa mkombozi wa kiuchumi kwa baadhi ya wakina…