Dodoma FM

Recent posts

2 December 2024, 11:47

Serikali kutoa mikopo kwa vikundi 22 Mpwapwa

Akifungua uzinduzi huo Mkuu wa wilaya ya Mpwapwa Dkt Sophia Kizigo amesema Na Steven Noel.Miongoni mwa maadui watatu wa TAIFA hili tangu tupate uhuru ni ujinga ,umaskini na maradhi Ili kuhakikisha maadui hawa wanatoweka serikali imeweka mipango mbali mbali Ili…

2 December 2024, 11:22

FAWE yaja na mkakati wa masomo ya sayansi kwa watoto

Mpango huo, wenye kauli mbiu “Kuwezesha Kila Mwanafunzi Kuziba Mapengo ili Kujenga Siku Zijazo,” unahimiza ushirikiano wa jamii, Serikali na wadau mbalimbali wa elimu. Na Mariam Kasawa.Shirika la Wanawake Waelimishaji Afrika (Fawe) limezindua mpango mkakati wa miaka mitano (2024-2028), unaolenga…

2 December 2024, 10:44

Polisi kuadhimisha ya siku 16 za kupinga ukatili Tarime, Rorya

Msemaji wa Jeshi hilo pia amesema kuwa Jeshi la Polisi linatoa rai kwa wananchi wote kutumia maadhimisho hayo kushirikiana kwa dhati ili kutokomeza vitendo vyote vya ukatili wa kijinsia. Na Mindi Joseph.Jeshi la Polisi nchini limesema katika kushiriki maadhimisho ya…

2 December 2024, 09:43

Shule zatakiwa kuajiri mtaalam wa mazingira

Hayo yamejiri wakati wa mahafali ya 2 ya shule ya msingi na Awali ya English medium Bahi ambapo Wanafunzi 37 wamehitimu darasa la Awali na kutunukiwa vyeti Wavulana 16 na wasichana 21. Na Anselima KombaMkurugenzi Mtendaji Halimashauri ya Bahi Zaina…

1 December 2024, 14:14

Dodoma yaendelea kuwavutia wawekezaji

Jiji la Dodoma linaendelea kuwataka wawekezaji wengine kuja kuweza Dodoma. Na Mariam Kasawa.Jiji la Dodoma limetajwa kuwa mahali sahihi pa uwekezaji hivyo wawekezaji mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi wametakiwa kuja kuwekeza katika mkoa huu. Serikali imeendelea kuweka mazingira…

22 November 2024, 13:04

Wananchi watakiwa kuhudhuria kampeni za wagombea kusikiliza sera zao

Ikumbukwe kuwa jumla ya vijiji 12,280, mitaa 4,264 na vitongoji 63,886 ndivyovitakavyoshiriki uchaguzi huo unaotarajiwa kufanyika Novemba 27 . Na Fred Cheti. Wananchi wa jijini Dodoma wametakiwa kujitokeza kuhudhuria kampeni za wagombea wa vyama vyote 14  vinavyofanya kampeni katika maeneo…

22 November 2024, 12:33

Mradi wa taka rejeshi kuwanufaisha wakazi kata ya Chamwino

Wananchi wamepaswa kutambua kuwa chupa za plastiki ni mali hivyo si vema kuzitupa ovyo na kuharibu mazingira. Na Fred Cheti. Majaribio ya Mradi wa uchakataji chupa za plastiki umetajwa kuwanufaisha wananchi wa kata ya Chamwino amabao wengi wamepata ajira kupitia…

22 November 2024, 12:08

Watu wenye ualbino waomba kipaumbele mikopo ya 2%

Mikopo hiyo itawasaidia kazi katika mazingira rafiki na kujikinga  na ugonjwa wa saratani ya ngozi .Picha na Steven Noel. Na Steven Noel. Watu wenye ualbino wilayani Mpwapwa wameiomba halmashauri ya wilaya hiyo kuwapa kipaumbele Katika mikopo ya asilimia 2  ili…

22 November 2024, 11:37

Wakulima watahadharishwa uchomaji taka kwenye mashamba

Wakulima wametakiwa kuandaa mashamba bila kuathiri mazingira. Na Anselima Komba. Wakulima wametahadharishwa kuacha tabia ya kuchoma taka kwenye mashamba yao msimu wa kilimo . Afisa kilimo wa Halmashauri ya Bahi Lucy Kitwange amesema hayo wakati akizungumza na mwandishi wetu ofisini…

15 November 2024, 19:41

Senyemule mgeni rasmi Dodoma Jogging Club Day

Na Leonarld Mwacha. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule anatarajiwa kuwa mgeni rasmi Dodoma Jogging Club Day katika viwanja Sheli Complex jijini  Dodoma. Koplo Innosensia Maaswawe amesema kuwa ofisi ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma imeandaa mbio…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger