Dodoma FM

Recent posts

14 March 2023, 1:14 pm

Wanafunzi watakao faulu kununuliwa mahitaji yote ya msingi Kongwa

Halmashauri ya wilaya ya Kongwa kujipanga kuwanunulia mahitaji yote ya msingi wanafunzi wenye wazazi wasiojiweza kiuchumi watakaofaulu. Na Alfred Bulahya. Halmashauri ya wilaya ya Kongwa imepanga kuanza kuwanunulia mahitaji yote ya msingi wanafunzi wenye wazazi wasiojiweza kiuchumi watakaofaulu na kuchaguliwa…

14 March 2023, 12:04 pm

Wananchi Wahimizwa kufanya utalii wa ndani Jijini Dodoma

Wananchi Mkoani Dodoma wamehimizwa kuwa na utaratibu wa kufanya utalii wa ndani ukiwemo utalii wa matukio, kwenda maeneo maarufu mkoani hapo, ikiwemo pia na maeneo ya mashamba makubwa yanayolima zao la zabibu. Na Fred Cheti. Katika Kuufanya Mkoa wa Dodoma…

13 March 2023, 5:49 pm

Uhaba wa wachangia Figo waendelea kuwa kikwazo

Mpaka sasa Hospitali ya Benjamin Mkapa imefanikiwa kupandikiza Figo  wagonjwa 33 kati ya hao wagonjwa 22 walipandikizwa Figo na wataalamu wazawa. Na Mindi Joseph. Ukosefu wa wachangiaji  Figo  umetajwa kuendelea kuwa kikwazo kwani Wananchi wengi hawapo tayari kujitolea kuchangia Ndugu…

13 March 2023, 3:43 pm

Wananchi wilayani Bahi wasisitizwa kulima mtama

Mheshimiwa Godwin Gondwe amewaagiza wananchi wilaya ya Bahi kuhakikisha kila kaya inalima ekari mbili za mtama ili kuepuka adha ya kukosa chakula. Na Benard Magawa. Mkuu wa wilaya ya Bahi Mheshimiwa Godwin Gondwe amewaagiza wananchi wilayani humo kuhakikisha kila kaya…

13 March 2023, 11:37 am

Wamiliki wa kumbi za starehe watakiwa kuzingatia sheria

Hii inajiri kufuatia kuwepo kwa baadhi ya malalamiko ya wanachi ya jijini la dodoma kuhusu baadhi ya kumbi za starehe ambazo nyingi zipo katika makazi ya watu kupiga mziki kwa sauti ya juu na kusasbabisha kero kwa wanachi. Na Fred…

13 March 2023, 8:52 am

TASAC yakanusha madai ya rushwa kwa CMA

Suala hilo ni miongoni malalamiko matatu yaliyoripotiwa kupitia mitandao ya kijamii ambapo pia kupitia mitandao hiyo vijana hao wamelalamikia kuvunjwa kwa mikataba bila ya kufuata utaratibu na kufanya kazi bila ya bima ya afya. Na Mindi Joseph. SHIRIKA la Wakala…

10 March 2023, 5:07 pm

Hizi hapa aina nne za zabibu zinazozalishwa jijini Dodoma

Leo tutaangalia historia ya aina na maumbo mbalimbali ya tunda la zabibu linalozalishwa ndani ya jiji la Dodoma. Na Yusuph Hassani. Darwesh Said ambaye ni mwakilishi wa kikundi cha kutunza mazingira chapakazi anasimulia historia mzima ya kuhusiana na aina ya…

10 March 2023, 4:37 pm

Nzuguni waeleza kunufaika na Barabara

Wakazi hao wameiomba serikali kukamilisha ujenzi wa barabara inayoelekea Nzuguni B sambamba na kutoa elimu ya matumizi ya alama za barabarani. Na Thadei Tesha Baadhi ya wananchi wanaojishughulisha na biashara mbalimbali katika eneo la Nzuguni Boda jijini Dodoma wamesema kukamilika…

10 March 2023, 4:10 pm

Biashara ya matunda na mbongamboga kuwa mkombozi wa kiuchumi

Biashara ya matunda na mbongamboga katika soko la kizota imetajwa kuwa mkombozi wa kiuchumi kwa baadhi ya wakina mama. Na Thadei Tesha. Biashara ya matunda na mbongamboga katika soko la kizota imetajwa kuwa mkombozi wa kiuchumi kwa baadhi ya wakina…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger