Recent posts
23 January 2025, 18:17
Mjumbe wa serikali ya mtaa aanguka ghafla na kufariki dunia
Majirani wameeleza Juu ya Tukio hilo lilivyo Tokea. Na Kitana Hamis.Mjumbe wa Serikali ya Mtaa afariki dunia Kwa Kuanguka Ghafla huku Wananchi wengi wakibaki na Maswali Juu ya ya kifo chake. Tukio Hilo limetokea Mtaa wa Majego Kata ya Mtumba…
23 January 2025, 18:06
Vitongoji vitatu jijini Dodoma vyaililia serikali changamoto ya maji
Wakieleza namna ambavyo kukosekana kwa maji safi na salama kunawaathiri wananchi hao, wameiomba serikali kutatua adha hiyo. Na Victor Chigwada.Wananchi wa vitongoji vya Chidobwe, Kaunda na Liwangama Kolimba wameiomba serikali kushughulikia changamoto ya upatikanaji wa huduma ya maji safi na…
23 January 2025, 17:35
Wakulima watakiwa kuzingatia njia sahihi za kilimo
Katika kuhakikisha wakulima wanazingatia msingi wa kilimo bora, Shirika la Rikolto wameendelea kutoa elimu kwa wakulima kuhusu kilimo bora, lishe na usawa kijinsia pamoja na usalama wa chakula. Na Seleman Kodima.Imeelezwa kuwa ili kuwa jamii yenye afya njema ipo haja…
21 January 2025, 18:04
Moto wateketeza maduka Jijini Dodoma
hakuna madhara ya kifo yaliyotokea katika ajali ya moto huo. Na Mariam KasawaTakribani maduka 10 yaliyopo katika Barabara ya Nane katikati ya Jiji la Dodoma yameteketa kwa moto uliozuka leo Januari 21, 2025 majira ya saa moja asubuhi, na hivyo…
17 January 2025, 17:31
Afisa Misitu mbaroni kwa tuhuma za rushwa
Mahakama isikilize kesi hizo kwa haraka ili Wananchi Wazee kupata Haki zao kwa haraka na kwa usahihi Zaidi kwasababu inavyokuwa inachukuwa zaidi mda Mrefu unakuta mwananchi anapoteza Mda Mwingi pia haki yake inachelewa Kupatikana. Na Kitana Hamis.Afisa misitu wa Suluedo…
16 January 2025, 15:44
Serikali yarejesha tabasamu kwa wakazi wa Mlazo
Pamoja na Kuhamasisha, kulinda na kurejesha Afya na Ustawi wa Jamii kwa kuzingatia na mipango sahihi, ya kufikia maendeleo endelevu ya Afya ya Jamii. Na Victor Chigwada.Tabasamu limerejea kwa wananchi wa kijiji cha Mlazo wilayani chamwino baada ya serikali kuboresha…
16 January 2025, 15:23
TAKUKURU Kiteto waokoa mwanafunzi asiolewe
Dodoma FM imezungumza na mama wa mtoto ambaye anadai kuwa hawezi kumsomesha mtoto huyo. Na Kitana Hamis.Kwa mujibu wa mwanafunzi huyo, ameieleza Dodoma FM kuwa mama yake tayari alipokea mahari ili kumwozesha binti huyo ambapo binti huyo aliamua kuomba msaada…
15 January 2025, 17:09
Tunawezaje kudhibiti ukatili wa kijinsia mahala pa kazi?
Mwandishi wetu Alfred Bulahya ametuandalia kisa kuhusu shujaa aliyemsaidia mhanga wa vitendo vya ukatili wa kijinsia mahala pa kazi. Na Seleman Kodima.Umoja wa Mataifa, unafafanua kuwa ukatili wa kijinsia ni kitendo chochote anachofanyiwa mtu yeyote awe mwanamke, mwanaume au mtoto,…
15 January 2025, 16:45
Wazazi na walezi watakiwa kutimiza wajibu kwa watoto wao
Ajenda ya maendeleo ambayo inalenga kuhakikisha kwamba “hakuna anaebaki nyuma,”ikiwa ni pamoja na ahadi ya kuhakikisha elimu jumuishi na bora kwa wote. Na Seleman Kodima.Imeelezwa kuwa ili kuvishinda vikwazo vinavyomkwamisha mtoto wa kike kusoma na kutimiza malengo yake ni wazazi…
15 January 2025, 16:14
Wananchi Muungano walalamika kufanyishwa usafi katika zahanati
Licha ya ukubwa wa kijiji cha Muungano lakini zahanati hiyo ina watumishi wawili ingawa kwasasa imebaki na mtumishi mmoja kutokana na mtumishi mwingine kuwa likizo. Na Victor Chigwada .Wananchi kijiji cha Muungano wamelalamikia kufanyishwa usafi katika zahanati inayopatikana kijijini hapo…