Dodoma FM
Dodoma FM
22 November 2024, 12:33
Wananchi wamepaswa kutambua kuwa chupa za plastiki ni mali hivyo si vema kuzitupa ovyo na kuharibu mazingira. Na Fred Cheti. Majaribio ya Mradi wa uchakataji chupa za plastiki umetajwa kuwanufaisha wananchi wa kata ya Chamwino amabao wengi wamepata ajira kupitia…
22 November 2024, 12:08
Mikopo hiyo itawasaidia kazi katika mazingira rafiki na kujikinga na ugonjwa wa saratani ya ngozi .Picha na Steven Noel. Na Steven Noel. Watu wenye ualbino wilayani Mpwapwa wameiomba halmashauri ya wilaya hiyo kuwapa kipaumbele Katika mikopo ya asilimia 2 ili…
22 November 2024, 11:37
Wakulima wametakiwa kuandaa mashamba bila kuathiri mazingira. Na Anselima Komba. Wakulima wametahadharishwa kuacha tabia ya kuchoma taka kwenye mashamba yao msimu wa kilimo . Afisa kilimo wa Halmashauri ya Bahi Lucy Kitwange amesema hayo wakati akizungumza na mwandishi wetu ofisini…
15 November 2024, 19:41
Na Leonarld Mwacha. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule anatarajiwa kuwa mgeni rasmi Dodoma Jogging Club Day katika viwanja Sheli Complex jijini Dodoma. Koplo Innosensia Maaswawe amesema kuwa ofisi ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma imeandaa mbio…
15 November 2024, 19:40
Na Noel Steven. Mtindo wa maisha umetajwa kuwa ni moja ya chanzo kwa magonjwa yasiyoamabukiza kwa jamii. Dkt John Simon mtaalamu wa magonjwa anaeleza jinsi mtindo wa maisha ulivyokuwa na athari za kiafya kwa jamii pamoja na Eliwasa Ndau Afisa…
15 November 2024, 19:40
Na. Anselima Komba. Wananchi Wilayani Bahi Wameiomba Serikali kutimiza ahadi ya kutatuliwa kwa kero ya maji chumvi kwa kuwaunganishai maji baridi kutoka katika kata ya Ibihwa. Baadhi ya wanachi wanasema Serikali kupitia wizara ya maji iliwaahidi kutatua adha ya maji…
15 November 2024, 19:40
Na Lilian Leopold Jamii inakabiliwa na tatizo la uelewa kufahamu vitendo vya ukatili ambavyo mtoto hapaswi kufanyiwa. Hidaya Kaonga, Wakili na Mratibu wa Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu Mkoani Dodoma amebainisha mambo ambavyo yananyima haki ya msingi kwa…
14 November 2024, 20:06
Na Anselima Komba Maadhimisho ya wiki ya magonjwa yasiyoambukiza yameanza rasmi Novemba 9/11/2024 na yatahitimishwa Novemba 16/11/2024 huku yakibeba kauli mbiu isemayo muda ni sasa zuia magonjwa yasiyoambukiza mahali pa kazi Dkt Rhoda Rameck ambaye pia ni Mratibu wa magonjwa…
14 November 2024, 20:06
Na Mariam Kasawa. Jamii ya kundi maalumu imetajwa kukabiliwa na changamoto ya uelewa jinsi ya kutumia mfumo wa Serikali wa NEST ili kupata taarifa za kiuchumi Bi .Felister Mdemu Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsi, Wanawake na…
14 November 2024, 20:06
Na Yussuph Hassan, Wakazi wa kijiji cha Paranga Wilayani Chemba Mkoani Dodoma wapo tayari kuchangia nguvu zao ili kufanikisha ujenzi wa zahanati ili kuondokana na changamoto ya wanawake kujifungulia njiani. Hatua hii inajiri baada ya kufikiwa na mradi wa ninawajibika…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-