Dodoma FM
Dodoma FM
3 January 2025, 15:48
Miti ina faida nyingi katika mazingira na maisha ya binadamu. Na Yussuph Hassan.Mwandishi wetu Yussuph Hassan anatufahamisha kuhusu bustani inayosimamiwa na halmashauri ya jiji la Dodoma inayopatikana eneo la Wajenzi jijini Hapa.
3 January 2025, 15:24
Kijiji cha Chikopelo ni miongoni mwa kijiji kinachopatikana katika Kata ya Chali, ambapo ni miongoni mwa vijiji vilivyotengwa mwaka 1972 kuwa miongoni mwa Kijiji cha Ujamaa. Asili ya wananchi wa Kijiji hicho ni Wagogo. Na Lilian Leopord.Wananchi wa Kijiji cha…
3 January 2025, 14:33
Moja ya mafanikio ni ujenzi wa shule nane za sekondari mpya na kuweka miundombinu mipya katika sekondari zote za zamani. Na Seleman Kodima.Mbunge wa Kisarawe ambaye ni Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo ameelezea mafanikio mbalimbali yaliyopatikana…
3 January 2025, 14:13
Na Seleman Kodima.Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya NHIF ofisi ya Dodoma umesema kipengele kipya cha toto afya kadi kitalenga hata mtoto asiyesoma shule hali itakayomwezesha kusajiliwa katika mfumo. Hayo yamesemwa na Meneja wa NHIF Dodoma Fidelis Shauritanga wakati…
2 January 2025, 18:11
Hili linajiri baada ya hivi karibuni wakala wa usambazaji maji vijijini RUWASA kuiondoa kamata ya maji kijijini hapo. Na Victor Chigwada.Kuharibika kwa miundombinu ya maji katika kijiji cha muungano wilayani Chamwino umesababisha wananchi kijiji hicho kuomba kwa mamlaka ya maji…
2 January 2025, 17:56
Wakazi wa kijiji hicho wameendelea kuiomba serikali kuingilia kati suala hilo la ujenzi wa sekondari kijijini hapo kwani ni la muda mrefu. Na Mariam Kasawa.Wakazi wa Kijiji cha Pangalua kata ya Kidoka wilayani Chemba walalamikia ucheleweshaji wa ujenzi wa Sekondari…
2 January 2025, 17:39
Wadau mbalimbali wameombwa kufika katika hospitali mbalimbali ili kujua changamoto zinazowakabili wagonjwa. Na Seleman Kodima.Wito umetolewa kwa jamii kuwa na desturi ya kuwatembelea wagonjwa na kuthamini jumuiya zinazojitolea kuhudumia wagonjwa katika Hospitali mbalimbali hapa nchini. Kauli hiyo imetolewa na Mwakilishi…
30 December 2024, 14:11
Na Mariam Matundu. Katika kuelekea miaka thelathini tangu mkutano wa Beijing kufanyika, waandishi wa habari wametakiwa kutumia kalamu zao kuonesha hatua zilizopigwa hapa nchini katika kutekeleza maazimio ya mkutano huo. Akizungumza katika warsha iliyowakutanisha wandishi wa habari kutoka maeneo mbalimbali…
23 December 2024, 17:36
Wazazi wanatakiwa kuwa mstari wa mbele katika kuwalea watoto wao kwa kutenga muda wa kuzungumza nao na kuwajengea uwezo wa kuzungumza kipindi wakipata matatizo. Na Annuary Shaban.Wakazi wa Mtaa wa Nala, Segu Juu, Segu Chini na Chihoni, wamewezeshwa elimu ya…
23 December 2024, 17:23
Shule zilizoongezeka katika jiji la Dodoma ni shule ya msingi mlezi,shule ya msingi kisasa,shule ya msingi Chang’ombe na shule ya msingi Chinangali. Na Mariam Matundu.Mradi wa elimu jumuishi unaotekelezwa na kanisa la Free pentecostal church FPCT mkoani Dodoma umefanikiwa kuongeza…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-