Dodoma FM

Recent posts

8 January 2025, 15:34

Wazazi watakiwa kuwaandaa wanafunzi kurudi shule

Shule za msingi na sekondari zinatarajiwa kufunguliwa Januari 13 mwaka huu, ambapo Watoto wenye umri wa kuanza shule wanatakiwa kuandikishwa. Na Lilian Leopold .Wito umetolewa kwa wazazi na walezi kuhakikisha wafanya maandalizi ya kutosha kwa wanafunzi wanaotarajiwa kujiunga na shule…

8 January 2025, 14:44

Wanaume jamii ya Masai watuhumiwa kuuza nyanda za malisho

Maeneo ya malisho yanayodaiwa kuuzwa niyale yaliyo Tengwa kwa shughuli za Ufungaji. Na Kitana Hamis.Wanaume jamii ya Kifungaji masai Kiteto Watuhumiwa Kuuza Nyanda za MlishoWakizungumza kwa hisia kali Baadhi ya Wanawake wa Jamii ya Kifungaji Masai wanasema Migogoro mingi ya…

8 January 2025, 14:09

Wanawake Olboloti walia na janga la ubakaji

Wanaohisiwa kufanya vitendo hivyo baadhi yao saba wamekamatwa na mmoja kuchomwa moto na wananchi wenye hasira kali. Na Kitana Hamis.Wananchi wa kijiji cha Olboloti wilayani Chemba mkoani Dodoma wakiongea kwa jazba huku huzuni iliyojaa maumivu kueleza changamoto zinazowakabili hapo kijijini,…

7 January 2025, 17:16

Utenganishaji wa taka unavyorahisisha uchakataji wa taka za plastiki

Kama Halmashauri zitatambua aina na kiasi cha taka kinachozalishwa katika eneo lake ni rahisi kutenganisha taka hizo kwa kuyapa rangi tofauti tofauti mapipa au vizimba vinavyokusanya aina tofauti ya taka hizo. Na Mariam Kasawa.Vikundi vya ukusanyaji taka katika maeneo mbalimbali…

7 January 2025, 16:48

Wananchi Ihumwa watakiwa kutoa ushirikiano kwa jeshi la polisi

Na Victor Chigwada.Kamanda wa polisi mkoa wa Dodoma Kamishina msaidizi mwandamizi George Katabazi ametoa wito kwa wananchi wa Kata ya Ihumwa kuonyesha ushrikiano kwa jeshi la polisi kwa kutoa taarifa za wahalifuWito huo ameutoa wakati akizungumza na wananchi wa Kata…

7 January 2025, 16:15

Ujenzi wa miundombinu Kiteto kufungua uchumi wa wilaya hiyo

Elimu ya mara kwa mara kwa wananchi wa Kiteto ili kuitunza miundombinu hiyo ambayo Serikali imetoa fedha nyingi kuijenga ili iweze kudumu kwa manufaa yao. Na Selelman Kodima.Wananchi Wilayani Kiteto mkoani Manyara wameishukuru Serikali kwa kuwapelekea mradi wa ujenzi wa…

6 January 2025, 13:30

Wananchi wanajikingaje na ajali za barabarani?

Ajali za barabarani kuanzia Januari hadi Desemba mwaka 2024 zilikuwa 1,735, huku ajali 1,198 zilisababisha vifo vya watu 1,715. Na Lilian Leopord.Kuzingatia alama za Barababani na uendeshaji salama ni miongoni mwa tahadhari zinazochukuliwa na baadhi ya madereva wa vyombo vya…

3 January 2025, 15:48

Fahamu umuhimu wa miti katika mazingira

Miti ina faida nyingi katika mazingira na maisha ya binadamu. Na Yussuph Hassan.Mwandishi wetu Yussuph Hassan anatufahamisha kuhusu bustani inayosimamiwa na halmashauri ya jiji la Dodoma inayopatikana eneo la Wajenzi jijini Hapa.

3 January 2025, 15:24

Chikopelo watakiwa kutumia mvua za masika kuzalisha mazao mbalimbali

Kijiji cha Chikopelo ni miongoni mwa kijiji kinachopatikana katika Kata ya Chali, ambapo ni miongoni mwa vijiji vilivyotengwa mwaka 1972 kuwa miongoni mwa Kijiji cha Ujamaa. Asili ya wananchi wa Kijiji hicho ni Wagogo. Na Lilian Leopord.Wananchi wa Kijiji cha…

3 January 2025, 14:33

Jafo aanika mafanikio ya Kisarawe

Moja ya mafanikio ni ujenzi wa shule nane za sekondari mpya na kuweka miundombinu mipya katika sekondari zote za zamani. Na Seleman Kodima.Mbunge wa Kisarawe ambaye ni Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo ameelezea mafanikio mbalimbali yaliyopatikana…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger