Recent posts
7 February 2025, 15:58
Wananchi watakiwa kuona fursa kwenye uchumi wa kidigitali
Ikumbukwe kuwa Shindano hili la Masuala ya Usalama Mtandaoni’ yaan CyberChampions 2025 linaratibiwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa lengo la kuibua, kuimarisha na kukuza uwezo kwa vijana kukabili vihatarishi vya usalama mtandaoni na kushiriki kikamilifu kwenye uchumi wa…
7 February 2025, 15:34
Dkt Jafo atangaza ukomo wa msimu wa manunuzi WRRB
Mfumo wa stakabadhi wa Ghala umeendelea kuimarika zaidi kwani Msimu wa 2024/25. Na Mariam Kasawa.Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt Seleman Jafo ametanganza ukoma wa msimu wa manunuzi ya mfumo wa stakabadhi wa Ghala Msimu wa 2024/25 na kuanza kwa…
6 February 2025, 16:58
‘Wanaume washirikishwe mapambano dhidi ya ukatili’
“Wanaume wangeshirikishwa kikamilifu kupinga vitendo vya ukatili ikiwemo ukeketaji vigeisha.” Na Kitana Hamis.Wananchi wilayani Kiteto wameitaka serikali kuwashirikisha wanaume zaidi katika mapambano ya vitendo vya ukatili ili yaweze kupungua. Wakizungumza na Dodoma Tv baadhi ya wananchi wilayani Kiteto mkoani Manyara…
6 February 2025, 15:10
Wananchi wasifia huduma za afya BMH
Prof. Abel Makubi amesema wanatamani sasa hospitali ya Benjamin Mkapa iwe hospitali ya taifa. Na Mariam Kasawa.Wananchi wametakiwa kuendelea kujitokeza na kupata huduma ya matibabu katika hospitali ya Benjamini Mkapa ambayo ni hospitali ya kibingwa . Hayo yamesemwa na Spika…
5 February 2025, 12:57
Wananchi wilayani Kiteto waeleza changamoto zao kilele wiki ya sheria
Mashauri yanayokwenda kwa viongozi na yanashidwa kushughulikiwa mwisho siku yanakaa mda mrefu . Na Kitana Hamis.Hakimu wa Mahakama ya Wilaya ya Kiteto Boniface Lemwita ambaye pia alikuwa Mgeni rasim katika kilele cha Mazimisho ya Sheria wilayani Kiteto anasema Miongoni mwa…
5 February 2025, 12:24
Bodi ya wakurugenzi UCSAF yasisitizwa kukamilisha ujenzi wa minara 758
Waziri Slaa ameitaka bodi kuzingatia miongozo, taratibu na sheria za uendeshaji wa shughuli za Bodi, ili kuhakikisha utekelezaji wa majukumu yao unakuwa wa ufanisi na wenye tija. Na Mariam Matundu.Waziri wa mawasiliano na teknolojia ya habari Mhe Jerry Sillaa ameitaka…
5 February 2025, 11:52
Serikali kufanya sensa ya uzalishaji viwandani
Amesema lengo la sensa hiyo ni kupata taarifa za kina za kitakwimu zitakazo iwezesha serikali na wadau kufanya maamuzi yenye ushahidi wa kitakwimu katika kuhuisha na kuboresha sera, mipango na program za maendeleo ya sekta ya viwanda na uchumi wa…
3 February 2025, 12:58
Wananchi Wilayani Kiteto walia na vitendo vya ukatili waiomba serikali kuingilia…
Kukithiri kwa Vitendo hivi kumeibua ofisi ya Mashitaka nchini Dpp kuazisha Ofisi ndogo Kiteto. Na Kitana Hamis.Suala la ukatili wa kijinsia limeshika kasi katika wilaya ya Kiteto ambapo kwa mujibu wa wenyeji wa wilaya hii wanalalamika kuwa vitendo vya ukatili…
3 February 2025, 11:57
RC Manyara acharuka wilayani Kiteto matumizi ya mirungi, bangi
walifanikiwa kuwakamata wahalifu huku wakiwa na ushahidi lakini walikumbana na vitisho dhidi ya oparesheni hiyo. Na Kitana Hamis.Vita thidi ya Dawa za Kulevya Mirungi na Bangi hapa Wilayani Kiteto Mkoani Manyara inatajwa kuwa na Changamoto Kubwa na inaelezwa kuwa kila…
31 January 2025, 18:07
Vijana wenye umri mdogo wajikita kwenye mkumbo wa ulevi Dodoma
Dodoma FM imezungumza na baadhi ya vijana wanaotuhumiwa kutumia pombe hizo nao wanasema. Na Kitana Hamis.Tegemeo Kubwa la Taifa nipamoja na Nguvu Kazi ya Vijana ili kuhakikisha Taifa linazindi kwenda mbeli. Mtaa wa Msejerere kata ya Mtumba Jijini Dodoma nitofauti…