Recent posts
20 March 2025, 17:50
Vituo vya afya, zahati 51 Dodoma vyapata mgao wa nishati safi
Kampuni ya Puma Energy imetoa mitungi 500 kwa Mheshimiwa mbunge ikielezwa kuwanufaisha mama na baba lishe kutoka vitongoji mbalimbali na vituo vya afya zahanati 51 Dodoma mjini. Na annwary shaban.Waziri wa madini na mbunge wa Dodoma mjini Mh.Antony Mavunde ameendelea…
19 March 2025, 17:51
Mpwapwa wapata mwarobaini malisho ya mifugo
Serikali itaendelea kuwekeza katika sekta ya mifugo ili kuhakikisha wafugaji wanapata mbegu bora za malisho na uhakika wa chakula cha mifugo. Na Mariam Kasawa.Wakati kilio kikubwa cha wafugaji nchini kikiwa ni ukosefu wa malisho unaosababishwa na athari za mabadiliko ya…
19 March 2025, 17:41
Maafisa elimu kata watakiwa kujipambanua
Naye Katibu Tawala Msaidizi Seksheni ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi,Mwalimu Vicent B. Kayombo amewaasa Maafisa hao kufanya kazi zao kwa bidii , akisisitiza kuwa baada ya mafunzo hayo, wote waliokuwa hawafanyi kazi vizuri wakajirekebishe. Na Mariam Kasawa.Maafisa elimu kata…
13 March 2025, 16:50
BMH yafanya upasuaji wa jicho kwa njia ya matundu madogo
“Jambo ambalo tunajivunia ni kuwahudumia wagonjwa wenye matatizo ya macho kwa njia ya upasua(Operation) wa matundu madogo ili kuondoa mtoto wa jicho. Na. mwandishi wetu.Hospitali ya Benjamin Mkapa imekuwa Hospitali ya kwanza katika sekta ya Umma kwa kufanya upasuaji (Operation)…
13 March 2025, 16:31
Wananchi watakiwa kubadili mtindo wa maisha kuepuka magonjwa yasiyoambukiza
Ulaji holela na mtindo wa maisha unatajwa kupelekea wananchi kuugua magonjwa yasio ya kuambukiza. Na Mariam Kasawa.Wananchi wametakiwa kuendelea kuepukana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza kama kisukari kwa kubadili mtindo wa maisha. Katika kuadhimisha miaka 10 ya utoaji huduma Kituo…
13 March 2025, 15:46
Jamii za wafugaji zatakiwa kusomesha watoto bila kubagua jinsia
Laigwanani ni lazima astaafu unapofika umri wa kuustaafu na kubaki kama mshauri kwenye jamii hiyo. Na Kitana Hamis.Jamii imetakiwa kupeleka watoto shule wa jinsia zote bila kubagua. Akizungumza na Dodoma tv wakati wa Kustaafu kwake kiongozi wa jamii ya kimasai…
11 March 2025, 13:15
NHIF yapunguza muda wa kuchakata madai kutoka 120 hadi 45 kwa siku
Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya unawafikia asilimia 8 ya Watanzania huku vituo vya afya vilivyosaijiliwa ambavyo vinalipwa na NHIF ni 10,004 nchi nzima. Na Alfred Bulahya.Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umefanikiwa kupunguza muda wa kuchakata…
11 March 2025, 12:58
Royal tour, amazing Tanzania zaongeza idadi ya watalii nchini
Mapato ya shilingi bilioni 693.959 yamekusanywa na kuingia katika Mfuko Mkuu wa Serikali. Na Alfred Bulahya.Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro(NCAA) imesema takwimu zinazoonesha kuwa juhudi za Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kupitia filamu za Royal Tour na Amaizing Tanzania…
11 March 2025, 12:36
Siku ya wanawake fursa ya kuangazia haki, usawa wa kijinsia
Siku ya wanawake duniani ilianza kuadhimishwa mwaka 1975 baada ya Umoja wa Mataifa kutangaza siku hii kama siku ya kukumbusha dunia kuhusu haki za wanawake. Tangu wakati huo, siku hii imekuwa ikitumiwa kama fursa ya kuhamasisha harakati za usawa wa…
11 March 2025, 11:07
Viongozi watatu Engusero mbaroni kwa kuhujumu uchumi
Hata Hivyo dhamana ya watuhumiwa hao ipo wazi lakini washitakiwa walishidwa Mashariti ambayo yalihitaji kila Mtuhumiwa adhaminiwe na Watu wawili ambao niwatumishi wa Serikali nawawe na sh: Milioni Tano. Na Kitana Hamis.Watumishi Watatu wa Serikali za Vijiji Engusero wapandishwa Kizimbani…