Recent posts
31 March 2023, 6:21 pm
Halmashauri ya jiji la Dodoma yahitimisha maadhimisho ya siku ya Afya na Lishe.…
Maadhimisho hayo yalianza Mwezi januari na kuhitimishwa leo Machi 31 katika hospitali ya Makole iliyopo hapa jijini Dodoma. Na Fred Cheti. Halmashauri ya Jiji la Dodoma imehitimisha maadhimisho ya siku ya afya na Lishe ya mtoto ambayo ilianza kuadhimishwa katika…
31 March 2023, 4:09 pm
CCM yaagiza serikali kutekeleza miradi yote Wilayani Bahi
Hii inafuatia kuhakikisha ilani ya chama hicho inatekelezwa kikamilifu na kuwaletea maendeleo wananchi. Na Bernad Magawa. Kamati ya siasa ya Chama cha Mapinduzi CCM wilaya ya Bahi imeiagiza Serikali wilayani humo kuhakikisha miradi yote inayotekelezwa wilayani humo inaendana sawa na…
30 March 2023, 7:23 pm
Halmashauri zatakiwa kuhakikisha watoto wanapatiwa chanjo
Amewataka wataalamu wa afya kila wanapo kwenda kufanya huduma za mkoba lazima na huduma ya utoaji chanjo iwepo . Na Alfred Bulahya Serikali kupitia Wizara ya Afya imewataka Waganga wakuu wa Mikoa na Halmashauri nchini kuhakikisha watoto wote chini ya…
30 March 2023, 6:52 pm
Zaidi ya wananchi 2249 wapatiwa elimu ya kujikinga na MARBURG
Wizara ya Afya kwa kushirikiana na wadau mbalimbali imefanikiwa kufikia makundi mbalimbali ya watu ikiwemo wahudumu wa afya ngazi jamii na Wahudumu wa Afya Vituoni. Na Mindi Joseph. Elimu ya kujikinga na ugonjwa wa Marburg imeendelea kutolewa kwa kila mtanzania…
30 March 2023, 6:14 pm
Vijana wazungumzia changamoto za mikopo halmashauri
Vijana hao wamesema kuwa kumekuwa na changamoto na usumbufu mkubwa kwani wanatumia muda mwingi kufuatilia fedha hizo. Na Victor Chigwada . Baadhi ya vijana wa kutoka Wilaya ya Chamwino wamezungumzia changamoto wanazozipata katika Halmashauri pindi wanapoenda kuchukua mikopo inayotengwa na serikali…
30 March 2023, 5:34 pm
Katibu mkuu aridhishwa na maendeleo ya miradi ya ujenzi
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi ameridhishwa na maendeleo ya miradi ya ujenzi inayosimamiwa na Ofisi hiyo. Na Seleman Kodima. Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi ameridhishwa na…
29 March 2023, 5:56 pm
Hivi ndivyo hali ilivyo katika eneo la kimbinyiko
Madereva pamoja na wajasiriamali katika eneo la kimbinyiko jijini Dodoma wameiomba serikali kutenga eneo maalum kwa ajili ya kupakia abiria kutokana na eneo hilo. Na Thadei Tesha. Baadhi ya madereva pamoja na wajasiriamali katika eneo la kimbinyiko jijini Dodoma wameiomba…
29 March 2023, 5:38 pm
Serikali yaanza kudhibiti ndege waharibibu Bahi
Na Fred Cheti. Serikali wilaya Bahi imesema tayari imeshaanza kuchukua hatua ili kuwaangamiza ndege hao. Ndege hao aina ya Kwerea Kwerea wanaoharibu mazao katika vijiji vya Lukali,Mundemu ,Mayamaya na Zanka vilivyopo wilayani Bahi. Hayo yameelezwa na Mkuu wa wilaya ya…
29 March 2023, 2:11 pm
Wananchi Ndogowe walalamika kuuziwa mahindi bei ghali
Mfumo huu wa usambazaji wa mahindi ya Bei nafuu unalenga kukabiliana na janga la njaa ambalo pia huchangia kupanda kwa bei ya vyakula. Na Victor Chigwada. Imeelezwa kuwa pamoja na jithada za Serikali kusambaza msaada wa mahindi ya Bei…
28 March 2023, 5:32 pm
Ilindi inatekeleza kilimo cha mtama ili kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi
Kilimo cha mtama mweupe ambao umekuwa ukihamasishwa na viongozi mbalimbali wilayani Bahi kwa lengo la kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi. Na Bernad Magawa Wakulima wa kijiji cha Ilindi wialayani Bahi wameanza kutekeleza kwa vitendo suala la kilimo chamtama mweupe…