Recent posts
25 February 2025, 18:18
Kambi matibabu ya moyo kwa watoto kufanyika BMH
Magonjwa ya moyo kwa watoto yanaweza kuchangiwa na NCDs, na maambukizi kwa wazazi au mtoto. Imeelezwa kuwa utambuzi mdogo kwa jamii juu ya magonjwa ya moyo kwa watoto, imetajwa kuwa sababu ya watoto wanaosumbuliwa na magonjwa hayo kuchelewa kupata matibabu.…
20 February 2025, 19:45
Wazazi Mbabala watakiwa kuzingatia mahitaji ya watoto
Na Alfred Bulahya.Wazazi katika kata ya Mbabala jijini Dodoma wametakiwa kuhakikisha wanazingatia kutoa mahitaji yote ya msingi kwa watoto wao ili kuepusha tatizo la kukatisha masomo. Wito huo umetolewa na Afisa elimu Kata ya Mbabala Mwalimu Shaban Kijoji wakati akizungumza…
20 February 2025, 18:02
Mtaa wa changanyikeni Miyuji wageuzwa dampo la Taka
Halmashauri ya jiji la Dodoma imeomba kusaidia kutatua kero ya taka katika eneo hili ili wananchi waweze kuepukana na mrudikano wa taka pamoja na hatari ya kupata magonjwa ya mlipuko. Na Mariam Kasawa.Wakazi wa mtaa wa Changanyikeni kata ya Miyuji…
19 February 2025, 18:22
Idadi ya wanawake na wasichana kusoma sayansi bado ni ndogo nchini
Mwandishi wetu Selemani Kodima ametuandalia taarifa ifuatayo kuhusu mwanamke aliyesoma sayansi. Na Mwandishi wetu.Itakumbukwa hivi karibuni Dunia iliadhimisha siku ya wanawake na wasichana katika Sayansi. Kwa mujibu wa takwimu za elimu na ajira duniani zinaonesha kuwa ushiriki wa wanawake na…
19 February 2025, 15:46
Makatibu wa matawi CCM watakiwa kutenda haki
Amewataka Makatibu wa Matawi wa Chama hicho kutenda haki, kutopuuza Katiba na kujiepusha na masuala ya RUSHWA. Na Seleman Kodima.Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt Emanuel Nchimbi amewataka Makatibu wa Matawi wa Chama hicho kutenda haki, kutopuuza…
19 February 2025, 15:32
Akata bomba la Duwasa kwaajili ya kumwagilia Bangi
Kwa mujibu wa taarifa ,Mtuhumiwa huyo anashikiliwa na Jeshi la Polisi huku Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma ikiendelea na kampeni ya usitishaji wa huduma ya maji kwa wateja ambao ni wadaiwa sugu. Mamlaka ya Majisafi na Usafi…
18 February 2025, 19:43
Shule 265 zapokea shilingi 401 milioni mradi wa Kiufunza
Dira ya mpango huu ni kuhakikisha watoto wote nchini Tanzania wanaweza kusoma na kuhesabu kufikia umri wa miaka 10. Na Seleman Kodima.Wakuu wa shule na walimu wa masomo katika shule 265 za msingi katika mikoa 11 hapa nchini wamepokea jumla…
18 February 2025, 19:17
Sekta ya michezo yapiga hatua
Katika hatua Nyingine ameitaja mikakati ya serikali iliyopo katika kuendelea kuikuza sekta ya michezo nchini. Na Alfred Bulahya.Kufuatia Serikali Nchini kuiongezea Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo bajeti ya fedha kutoka shilingi bilioni 35.44 mwaka 2021/2022 hadi shilingi bilioni…
18 February 2025, 18:39
Waziri Pinda aunda tume kuchunguza mgogoro wa ardhi
Miongoni mwa walio Hudhuria Mkutano huo nipamoja na Wananchi wa Vijiji vya Wilaya ya Chemba. Na Kitana Hamis.Naibu waziri wa Ardhi Mh Geofrey Pinda ameunda tume ya kuchunguza mgogoro wa ardhi wilayani Kiteto uliodumu kwa muda mrefu. Awali wenyeviti wa…
17 February 2025, 18:13
Serikali yakamilisha ujenzi wa barabara zenye urefu wa kilomita 1,365.87
Serikali imepanga Kutenga asilimia kumi (10%) ya bajeti ya kila mwaka kwa ajili ya Miradi ya mafunzo kwa vitendo kwa Makandarasi Wazawa. Na Alfred Bulahya.Serikali kupitiwa Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) imekamilisha ujenzi wa barabara zenye urefu wa jumla ya…