Dodoma FM

Recent posts

31 March 2023, 4:09 pm

CCM yaagiza serikali kutekeleza miradi yote Wilayani Bahi

Hii inafuatia kuhakikisha ilani ya chama hicho inatekelezwa kikamilifu na kuwaletea maendeleo wananchi. Na Bernad Magawa. Kamati ya siasa ya Chama cha Mapinduzi CCM wilaya ya Bahi imeiagiza Serikali wilayani humo kuhakikisha miradi yote inayotekelezwa wilayani humo inaendana sawa na…

30 March 2023, 7:23 pm

Halmashauri zatakiwa kuhakikisha watoto wanapatiwa chanjo

Amewataka wataalamu wa afya kila wanapo kwenda kufanya huduma za mkoba lazima na huduma ya utoaji chanjo iwepo . Na Alfred Bulahya Serikali kupitia Wizara ya Afya imewataka Waganga wakuu wa Mikoa na Halmashauri nchini kuhakikisha watoto wote chini ya…

30 March 2023, 6:52 pm

Zaidi ya wananchi 2249 wapatiwa elimu ya kujikinga na MARBURG

Wizara ya Afya kwa kushirikiana na wadau mbalimbali imefanikiwa kufikia makundi mbalimbali ya watu ikiwemo  wahudumu wa afya  ngazi jamii  na Wahudumu wa Afya Vituoni. Na Mindi Joseph. Elimu ya kujikinga na ugonjwa wa Marburg imeendelea kutolewa kwa  kila mtanzania…

30 March 2023, 6:14 pm

Vijana wazungumzia changamoto za mikopo halmashauri

Vijana hao wamesema kuwa kumekuwa na changamoto na usumbufu mkubwa kwani wanatumia muda mwingi kufuatilia fedha hizo. Na Victor Chigwada .    Baadhi  ya vijana wa  kutoka Wilaya ya Chamwino wamezungumzia changamoto wanazozipata katika Halmashauri  pindi wanapoenda kuchukua mikopo inayotengwa na serikali…

30 March 2023, 5:34 pm

Katibu mkuu aridhishwa na maendeleo ya miradi ya ujenzi

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi ameridhishwa na maendeleo ya miradi ya ujenzi inayosimamiwa na Ofisi hiyo. Na Seleman Kodima. Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi ameridhishwa na…

29 March 2023, 5:56 pm

Hivi ndivyo hali ilivyo katika eneo la kimbinyiko

Madereva pamoja na wajasiriamali katika eneo la kimbinyiko jijini Dodoma wameiomba serikali kutenga eneo maalum kwa ajili ya kupakia abiria kutokana na eneo hilo. Na Thadei Tesha. Baadhi ya madereva pamoja na wajasiriamali katika eneo la kimbinyiko jijini Dodoma wameiomba…

29 March 2023, 5:38 pm

Serikali yaanza kudhibiti ndege waharibibu Bahi

Na Fred Cheti. Serikali wilaya Bahi imesema tayari imeshaanza kuchukua hatua ili kuwaangamiza ndege hao. Ndege hao aina ya Kwerea Kwerea wanaoharibu mazao katika vijiji vya Lukali,Mundemu ,Mayamaya na Zanka vilivyopo wilayani Bahi. Hayo yameelezwa na Mkuu wa wilaya ya…

29 March 2023, 2:11 pm

Wananchi Ndogowe walalamika kuuziwa mahindi bei ghali

Mfumo huu wa usambazaji wa mahindi ya Bei nafuu unalenga kukabiliana na janga la njaa ambalo pia huchangia kupanda kwa bei ya vyakula. Na Victor Chigwada.                                                       Imeelezwa kuwa pamoja na jithada za Serikali kusambaza msaada wa mahindi ya Bei…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger