Dodoma FM

Recent posts

5 February 2025, 11:52

Serikali kufanya sensa ya uzalishaji viwandani

Amesema lengo la sensa hiyo ni kupata taarifa za kina za kitakwimu zitakazo iwezesha serikali na wadau kufanya maamuzi yenye ushahidi wa kitakwimu katika kuhuisha na kuboresha sera, mipango na program za maendeleo ya sekta ya viwanda na uchumi wa…

3 February 2025, 11:57

RC Manyara acharuka wilayani Kiteto matumizi ya mirungi, bangi

walifanikiwa kuwakamata wahalifu huku wakiwa na ushahidi lakini walikumbana na vitisho dhidi ya oparesheni hiyo. Na Kitana Hamis.Vita thidi ya Dawa za Kulevya Mirungi na Bangi hapa Wilayani Kiteto Mkoani Manyara inatajwa kuwa na Changamoto Kubwa na inaelezwa kuwa kila…

31 January 2025, 18:07

Vijana wenye umri mdogo wajikita kwenye mkumbo wa ulevi Dodoma

Dodoma FM imezungumza na baadhi ya vijana wanaotuhumiwa kutumia pombe hizo nao wanasema. Na Kitana Hamis.Tegemeo Kubwa la Taifa nipamoja na Nguvu Kazi ya Vijana ili kuhakikisha Taifa linazindi kwenda mbeli. Mtaa wa Msejerere kata ya Mtumba Jijini Dodoma nitofauti…

29 January 2025, 14:45

Wakazi wa Nzelenze waililia Serikali matumizi ya maji yasiyo salama

Changamoto hiyo inawaathiri baadhi ya wananchi wa vitongoji hivyo hali inayopelekea hitaji la maji kuwa kubwa zaidi . Na Victor Chigwada.Wananchi wa kitongoji cha Nzelenze Kata ya Itiso Wilaya ya Chamwino wameiomba Serikali kuongeza visima vya maji safi na salama…

29 January 2025, 13:38

RC Kagera azindua mafunzo kwa wanahabari juu ya ugonjwa wa marburg

Upo umhimu mkubwa kwa redio jamii kushikiri kuhamasisha jamii juu ya namna na kukabiliana na ugonjwa. Na Mwandishi wetu.Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Mhe. Hajjat Fatma Abubakari Mwassa, amezindua rasmi semina ya mafunzo ya siku nne kwa waandishi wa habari…

28 January 2025, 18:31

Ukosefu wa taarifa na unyanyapaa vyatajwa makabiliano afya ya akili

Lengo ni kuhakikisha Mapato yatakayopatikana yanachangia upatikanaji wa huduma hiyo. Na Seleman Kodima.Ukosefu wa taarifa sahihi ,unyanyapaa zimetajwa kuwa sababu zinazopeleka jamii kutojitokeza kushiriki afua za kukabiliana na magonywa ya changamoto za afya ya akili. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa…

27 January 2025, 18:23

TRA kuwapunguzia kodi manusura janga la moto

TRA), mkoa wa Dodoma imesema itatumia sheria zilizopo kuwapatia unafuu wa kikodi wafanyabiashara walioathirika. Na Seleman Kodima.Ikiwa siku chache zimepita tangu takribani maduka 14 yaliyopo mtaa wa Kipande katikati ya jiji la Dodoma kuteketea kwa moto, Mamlaka ya Mapato Tanzania…

27 January 2025, 16:00

Ukarabati wa barabara warahisisha mawasiliano Majeleko

Utekelezaji miradi ya kilomita ishirini na tano kwa kiwango cha changarawe imesaidia kuunganisha Vijiji hivyo. Na Victor Chigwada.Ukarabati wa miundombinu ya barabara kutoka wilunze mpaka manzilanzi na Majeleko umesaidia kuleta unafuu wa mawasiliano katika vijiji vya kata ya Majeleko. Hayo…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger