Dodoma FM

Recent posts

4 April 2023, 3:48 pm

Ufahamu ugonjwa wa P.I.D

Maambukizi kwenye via vya uzazi wa mwanamke yanayosababishwa na bakteria wakati mwingine huweza kupelekea ugumba. Ugonjwa wa maambukizi katika via vya uzazi P.I.D ni moja kati ya magonjwa ya zinaa yanayoweza kusababisha ugumba kwa mwanamke endapo hatapatiwa tiba kwa wakati.

4 April 2023, 3:20 pm

Mteremko mkali tishio kwa maafisa usafirishaji kisima cha nyoka

Kwa mujibu wa wakazi wa eneo hilo wamesema kuwa ni vyema serikali kuendelea kuboresha mazingira ya miundombinu ya barabara kutokana na umuhimu wake katika shughuli mbalimbali za kijaamii pamoja na kiuchumi. Na Thadei Tesha. Baadhi ya vijana wanaojihusisha na biashara…

4 April 2023, 1:03 pm

Vijana 300 kudahiliwa na Chuo cha Veta Bahi Julai 2023

Amewapongeza wasimamizi wa ujenzi wa chuo hicho kwa kutafuta ufumbuzi wa changamoto zilizopelekea chuo hicho kutokukamilika kwa wakati. Na Benard Magawa. Vijana wapoatao 300 wanatarajiwa kuanza kunufaika na elimu ya ufundi stadi veta mara tu chuo cha Veta Bahi kitakapokamilika…

3 April 2023, 6:05 pm

Visima Nzuguni vitaongeza upatikanaji wa maji kwa asilimia 75

kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya 2022 idadi ya watu katika Mkoa wa Dodoma imeongezeka kutoka milioni 2.085 ya mwaka 2012 hadi milioni 3.085, ongezeko hilo limekuja na upungufu wa huduma mbalimbali ikiwemo ya maji. Na Mindi…

3 April 2023, 5:43 pm

Serikali yendelea kuhamasisha utunzaji wa mazingira

Serikali kwa kushirikiana na wadau wengine wa mazingira imekuwa ikiiendeleea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa utunzaji wa mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Na Fred Cheti. Serikali imekuwa ikihamasisha makundi mbalimbali katika jamii kushiriki katika utunzaji wa…

3 April 2023, 5:02 pm

CCM Bahi haijaridhishwa na Ujenzi wa kituo cha mabasi

kamati ya siasa ya chama cha mapinduzi ccm wilayani humo imetembelea na kukagua zaidi ya miradi 26 ya maendeleo ikiwemo miradi ya afya, elimu, maji, na miundombinu ya barabara ili kuona namna ILANI ya ccm inavyotekelezwa. Na Benard Magawa. Chama…

3 April 2023, 2:15 pm

Wajasiriamali wanawake watakiwa kutengeneza bidhaa zenye ushindani wa soko

Wajasiriamali hao wametakiwa kwenda kufanyia kazi mafunzo waliyo patiwa kwa kutengeneza bidhaa bora zenye kuleta ushindani katika soko. Na Alfred Bulahya. Wajasiriamali kutoka taasisi ya wanawake na uchumi wa viwanda WAUVI waliokuwa wakipatiwa mafunzo ya utengenezaji sabuni za maji na…

3 April 2023, 12:24 pm

Jamii yatakiwa kusaidia watoto wenye usonji

Kuna haja ya kuwajumuisha watu wenye ulemavu ikiwemo wenye usonji ili kutimiza azma ya Malengo ya Maendeleo Endelevu SDGs ya kutomuacha yeyote nyuma. Na Seleman Kodima. Jamii imetakiwa kushirikia kikamilifu kusaidia kutatua changamoto zote zinazowakumba watoto wenye usonji bila kutazama…

31 March 2023, 7:07 pm

Madereva bajaji Jamatini B wajivunia mshikamano wao

Na Thadei Tesha Madereva wa bajaji katika kituo cha Jamatini B jijini Dodoma wamesema kufanya kazi kwa umoja kama kikundi kumewasaidia kupata fursa zaidi kupitia biashara yao. Hapa ni katika kituo cha bajaji cha Jamatini b nafika na kuzungumza na…

31 March 2023, 6:50 pm

Tishio la upungufu wa Chakula Dodoma

Upungufu wa mvua umepelekea mazao yaliyopandwa kushindwa kuvunwa kama matarajio ya Mkoa yalivyokuwa. Na Mindi Joseph. Mkoa wa Dodoma unakabiliwa na tishio la kupata upungufu wa chakula kwenye baadhi ya maeneo kutokana na mvua zilizotarajiwa kwa msimu huu kunyesha chini…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger