Dodoma FM

Recent posts

15 April 2025, 15:40

Waislamu Mtakuja waomba wadau kuwashika mkono ujenzi wa madrasa

Kwa mawasiliano zaidi unaweza kuwasiliana na ustadhi Yazidu Kirazi kupitia namba hii 068877 5701 Na Kitana Hamis.Waumini wa Dini ya Kislmu waomba Serikali na Wadau wa maendeleo kuwashika Mkono katika Ujezi wa Madrasa shauri moyo iliopo Kijiji cha Mtakuja mta…

14 April 2025, 18:14

Mila, desturi zatajwa kuwa kikwazo kwa wanawake katika uchaguzi

Lengo la kuandaa warsha hiyo ni pamoja na kujadili fursa na chanagamoto za wanawake ili kukuza na kuendeleza ushirika. Na Lilian Leopord.Mila na desturi na majukumu ya kifamilia vimekuwa ni vikwazo kwa wanawake kugombea nafasi za uongozi katika vyama vya…

14 April 2025, 17:54

Mwili wa aliyekuwa mkuu wa chuo cha ualimu Mpwapwa waagwa leo

Aliye kuwa mkuu wa chuo cha ualimu Mpwapwa alifariki dunia kwa ajari ya gari Mkuu wa wilaya ya Mpwapwa ameongoza waombelezaji kuuga mwili wa aliyekuwa Mkuu wa chuo cha ualimu Mpwapwa aliyefariki kwa ajali April 10, 2025 Mji wa serikali…

14 April 2025, 17:36

Polisi Dodoma kushirikiana na wauzaji, mafundi simu kuzuia uhalifu

Aidha Kamanda wa Jeshi la Polisi amewataka wananchi kuacha tabia ya kupokea mali za wizi na iwapo watangundua tukio lolote la uhalifu watoe taarifa katika mamlaka husika. Na Lilian Leopord.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, George Katabazi amesema kuwa matukio…

10 April 2025, 17:57

‘Jamii ibadili mitazamo ukatili wa kijinsia’

Utekelezaji wa Programu ya mabadiliko na Kupinga Ukatili wa kijinsia (GTAP) iliyoanza mwaka 2022/2023 unatarajia kukamilika 2025/2026. Na Mariam Matundu.Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. John Jingu ameitaka jamii kubadilika na kuachana…

10 April 2025, 17:46

Tuimarishe ushirikiano kuzuia mtoto kuishi na kufanya kazi mtaani

Kilele cha Maadhimisho haya yatafanyika katika ukumbi wa VETA mkoani Mtwara, yakihusisha viongozi wa Serikali, wadau wa maendeleo na wananchi Aprili 12, 2025. Na Mariam Matundu.Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ameitaka…

8 April 2025, 18:18

‘Kaulimbiu maadhimisho ya siku ya afya inaaksi yaliyofanyika’

Lengo la kilele cha maadhimisho ya wiki ya afya ni kuimarisha uelewa wa afya, kuangazia maendeleo yaliyopatikana katika sekta ya afya, na kujadli changamoto zinazoikabili sekta hiyo. Na kauli mbiu ya mwaka huu ni “ Tulipotoka, Tulipo na Tunapolekea Tunajenga…

8 April 2025, 17:58

Mwenyekiti wa kitongoji adaiwa kumshambulia mwananchi

Huku chanzo ikidaiwa kuwa niutani ulipelekea kiongozi huyo na vijana wengine wawili kumshumbulia na kumsababishia majeraha sehemu ya kichwani na mikononi. Na Kitana Hamis.Kijana aliyefamika kwa Jina la Abdalla Omary Said, Mwenye Umri wa miaka 30, mkazi wa Magugu,Wilayani Babati…

7 April 2025, 17:42

Wananchi kata ya Chamwino washiriki zoezi la usafi usafi

Zoezi hilo ni enedelevu katika kata hiyo ambapo kila Jumamosi wananchi hujitokeza kwa ajili ya kufanya usafi katika maeneo mbalimbali ya kata hiyo. Na Lilian Leopord.Wananchi wa kata ya Chamwino jijini Dodoma wameshiriki katika zoezi la usafi wa mazingira katika…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger