Dodoma FM
Dodoma FM
10 December 2024, 16:50
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa soko la Sabasaba amesema soko hilo linahudumia zaidi ya wafanyabiashara 10,000, na kila siku zaidi ya watu 15,000 huingia na kutoka sokoni hapo, jambo linaloonesha ukubwa na umuhimu wa soko hili katika uchumi wa jiji…
10 December 2024, 16:29
Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Majeleko wakizungumza na Taswira ya Habari wameelezea hali ilivyo kwa sasa. Na Victor Chigwada.Wakazi wa kijiji cha Majeleko wilayani Chamwino wameshindwa kufanya baadhi ya shughuli kutokana na Mvua zinazo endelea kunyesha na kuharibu miundombinu…
10 December 2024, 16:04
Hii inajiri baada ya mfululizo wa vipindi vya mvua kunyesha bila kumpuzika hususani katika kipindi hiki cha msimu wa mvua. Na Nazael Mkude.Wito umetolewa wakazi wa mtaa wa bwawani kata ya ipagala mkoani Dodoma kuhakikisha kuwa wanachukua tahadhari kwa kipindi…
6 December 2024, 11:50
Soko la machinga lilianza kufanyakazi November 1, 2022, kwa mujibu wa Halmshauri ya Jiji la Dodoma hadi sasa soko hilo linahudumia wajasiriamali zaidi ya 3200 waliosajiliwa, linatoa huduma mbalimbali zikiwemo huduma za vyakula, biashara za nguo, mapambo, huduma za kibenk…
6 December 2024, 11:26
Maandalizi ya utekelezaji wa mradi huu yamegawanywa katika makundi matatu kwa kuzingatia awamu za mgao wa fedha kutoka kwa mfadhili (Benki ya Dunia). Na Annuary Shaban.Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Alhaj Jabir Shekimweli amemtaka mhandishi wa mradi wa tactic kuhakiksha…
4 December 2024, 12:45
Wazazi na walezi wameombwa kutokuwabagua watoto wao katika familia ili kuweka usawa. Na Lilian Leopord. Elimu, jinsia, dini na ulemavu vimetajwa kuwa visababishi vinavyochochea watoto kubaguliwa kwenye familia. Akizungumza na Dodoma Tv Afisa Mradi kutoka Action for Community Care Michael…
4 December 2024, 12:29
Kwa Mujibu wa Ofisi ya Maendeleo ya Jamii mwaka 2024 pekee, kwa kipindi cha kuanzaia mwezi wa kwanza hadi mwezi wa nane matukio ya ukatili yaliyoripotiwa mkoa wa Dodoma ni 2,352, ambapo ukatili kwa watoto ni 629 huku watu wazima…
4 December 2024, 11:16
Wanaume wametakiwa kuacha tabia ya kusubiri wake zao wapime na kujiona wapo salama baada ya majibu. Na Lilian Leopord. Hofu na uoga kwa baadhi ya wanaume imeelezwa kuwa chanzo kikubwa kinachowafanya kushindwa kujitokeza kupima maambukizi ya virusi vya ukimwi. Wakizungumza…
4 December 2024, 10:53
Waziri Silaa amewahakikishia wananchi wa Msolokelo kufikishiwa huduma za mawasiliano katika kipindi kifupi kijacho. Na Mariam Matundu.Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry William Silaa (Mb) ametoa maelekezo kwa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) kushirikiana na…
3 December 2024, 12:08
Kwa mujibu wa Ofisi ya maendeleo ya jamii Mkoani Dodoma kuanzia Januari hadi Agosti mwaka 2024 matukio ya ukatili yaliyoripotiwa mkoani Dodoma ni 2,352, ambapo ukatili kwa watoto ni 629 huku watu wazima ni matukio 1,723 (wanaume 350 na wanawake…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-