Dodoma FM

Recent posts

15 March 2023, 3:23 pm

Wananchi watarajia kuondokana na tatizo la kukosekana kwa daraja Bahi

Wananchi wanatarajia kuondokana na tatizo la kukosekana kwa daraja la Mto Nkogwa kutokana na daraja lililokuwepo hapo awali kusombwa na maji mwisho mwa mwaka jana. Na Bernad Magawa. Wananchi wa kijiji cha Bahi sokoni wilaya ya Bahi Wanatarajia kuondokana na…

15 March 2023, 11:42 am

DUWASA wapongezwa utekelezaji wa mradi wa visima vya maji Nzuguni

Kamati ya kudumu ya Bunge ya uwekezaji wa mitaji ya Umma leo imetembelea mradi wa maji wa uchimbaji wa Visima Virefu unaoendelea kutekelezwa na Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dodoma, (Duwasa) katika eneo la Nzuguni Jijini Dodoma.…

14 March 2023, 4:44 pm

Uwepo wa wanyamapori kwaleta changamoto ya wanafunzi kuto udhuria masomo

Uwepo wa wanyamapori na umbali wa shule ni changamoto inayosababisha wanafunzi wanaojiunga na masomo ya sekondari katika kata ya Ngh’ambaku Wilayani Chamwino kushindwa kuhudhuria masomo kwa wakati. Na Victor Chigwada. Umbali wa zaidi ya kilomita arobaini na usalama hafifu kutokana…

14 March 2023, 2:34 pm

Wananchi Bahi waahidiwa kutatuliwa kero zinazowakabili

Kufuatia malalamiko ya muda mrefu kutoka kwa wananchi wa wilaya ya Bahi kutokana na kero zinazowakuta mheshimiwa Godwin Gondwe ameahidi kuyapeleka malalamiko hayo kwenye vikao vya uongozi ili yaweze kupatiwa ufumbuzi. Na Benard Magawa. Kufuatia malalamiko ya muda mrefu kutoka…

14 March 2023, 1:14 pm

Wanafunzi watakao faulu kununuliwa mahitaji yote ya msingi Kongwa

Halmashauri ya wilaya ya Kongwa kujipanga kuwanunulia mahitaji yote ya msingi wanafunzi wenye wazazi wasiojiweza kiuchumi watakaofaulu. Na Alfred Bulahya. Halmashauri ya wilaya ya Kongwa imepanga kuanza kuwanunulia mahitaji yote ya msingi wanafunzi wenye wazazi wasiojiweza kiuchumi watakaofaulu na kuchaguliwa…

14 March 2023, 12:04 pm

Wananchi Wahimizwa kufanya utalii wa ndani Jijini Dodoma

Wananchi Mkoani Dodoma wamehimizwa kuwa na utaratibu wa kufanya utalii wa ndani ukiwemo utalii wa matukio, kwenda maeneo maarufu mkoani hapo, ikiwemo pia na maeneo ya mashamba makubwa yanayolima zao la zabibu. Na Fred Cheti. Katika Kuufanya Mkoa wa Dodoma…

13 March 2023, 5:49 pm

Uhaba wa wachangia Figo waendelea kuwa kikwazo

Mpaka sasa Hospitali ya Benjamin Mkapa imefanikiwa kupandikiza Figo  wagonjwa 33 kati ya hao wagonjwa 22 walipandikizwa Figo na wataalamu wazawa. Na Mindi Joseph. Ukosefu wa wachangiaji  Figo  umetajwa kuendelea kuwa kikwazo kwani Wananchi wengi hawapo tayari kujitolea kuchangia Ndugu…

13 March 2023, 3:43 pm

Wananchi wilayani Bahi wasisitizwa kulima mtama

Mheshimiwa Godwin Gondwe amewaagiza wananchi wilaya ya Bahi kuhakikisha kila kaya inalima ekari mbili za mtama ili kuepuka adha ya kukosa chakula. Na Benard Magawa. Mkuu wa wilaya ya Bahi Mheshimiwa Godwin Gondwe amewaagiza wananchi wilayani humo kuhakikisha kila kaya…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger