Recent posts
27 February 2025, 13:07
TEA yatenga shilingi bilioni 3.0 kuimarisha miundombinu mafunzo ya amali
Shule 20 zitanufaika na mpango huo zikiwemo shule za Sekondari zinazotoa mafunzo ya ubunifu na ufundi stadi. Na Alfred Bulahya.Mamlaka ya Elimu Tanzania(TEA) imetenga fedha kiasi cha bilioni 3.0 kwajili ya kuimarisha miundombinu ya utoaji wa mafunzo ya amali ili…
26 February 2025, 17:30
Uandikishaji wa watoto wengi waleta changamoto shule ya msingi Dabalo
Kutokana na idadi kubwa ya wanafunzi imepelekea wanafunzi kukaa Kwa kubanana kwani baadhi Yao wanalazimika kukaa zaidi ya wanafunzi sabini katika chumba kimoja. Na Victor Chigwada.Imeelezwa kuwa Pomoja na kufanikiwa kuandikisha watoto wengi wa darasa la kwanza lakini mafanikio hayo…
25 February 2025, 18:26
Ashikiliwa na jeshi la polisi kwa kujifanya daktari
Hata hivyo Jeshi hilo linaomba rai kwa Wananchi walio tapeliwa kufika ili kuweza kutambua simu zao zilizo ibiwa. Na Kitana Hamis.Jeshi la Polisi Mkoani Manyara linamshikilia Mtu Mmoja aliye julikana kwa Jina la Victor Onesmo Mwenyewe umri wa Miaka Thelathini…
25 February 2025, 18:18
Kambi matibabu ya moyo kwa watoto kufanyika BMH
Magonjwa ya moyo kwa watoto yanaweza kuchangiwa na NCDs, na maambukizi kwa wazazi au mtoto. Imeelezwa kuwa utambuzi mdogo kwa jamii juu ya magonjwa ya moyo kwa watoto, imetajwa kuwa sababu ya watoto wanaosumbuliwa na magonjwa hayo kuchelewa kupata matibabu.…
20 February 2025, 19:45
Wazazi Mbabala watakiwa kuzingatia mahitaji ya watoto
Na Alfred Bulahya.Wazazi katika kata ya Mbabala jijini Dodoma wametakiwa kuhakikisha wanazingatia kutoa mahitaji yote ya msingi kwa watoto wao ili kuepusha tatizo la kukatisha masomo. Wito huo umetolewa na Afisa elimu Kata ya Mbabala Mwalimu Shaban Kijoji wakati akizungumza…
20 February 2025, 18:02
Mtaa wa changanyikeni Miyuji wageuzwa dampo la Taka
Halmashauri ya jiji la Dodoma imeomba kusaidia kutatua kero ya taka katika eneo hili ili wananchi waweze kuepukana na mrudikano wa taka pamoja na hatari ya kupata magonjwa ya mlipuko. Na Mariam Kasawa.Wakazi wa mtaa wa Changanyikeni kata ya Miyuji…
19 February 2025, 18:22
Idadi ya wanawake na wasichana kusoma sayansi bado ni ndogo nchini
Mwandishi wetu Selemani Kodima ametuandalia taarifa ifuatayo kuhusu mwanamke aliyesoma sayansi. Na Mwandishi wetu.Itakumbukwa hivi karibuni Dunia iliadhimisha siku ya wanawake na wasichana katika Sayansi. Kwa mujibu wa takwimu za elimu na ajira duniani zinaonesha kuwa ushiriki wa wanawake na…
19 February 2025, 15:46
Makatibu wa matawi CCM watakiwa kutenda haki
Amewataka Makatibu wa Matawi wa Chama hicho kutenda haki, kutopuuza Katiba na kujiepusha na masuala ya RUSHWA. Na Seleman Kodima.Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt Emanuel Nchimbi amewataka Makatibu wa Matawi wa Chama hicho kutenda haki, kutopuuza…
19 February 2025, 15:32
Akata bomba la Duwasa kwaajili ya kumwagilia Bangi
Kwa mujibu wa taarifa ,Mtuhumiwa huyo anashikiliwa na Jeshi la Polisi huku Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma ikiendelea na kampeni ya usitishaji wa huduma ya maji kwa wateja ambao ni wadaiwa sugu. Mamlaka ya Majisafi na Usafi…
18 February 2025, 19:43
Shule 265 zapokea shilingi 401 milioni mradi wa Kiufunza
Dira ya mpango huu ni kuhakikisha watoto wote nchini Tanzania wanaweza kusoma na kuhesabu kufikia umri wa miaka 10. Na Seleman Kodima.Wakuu wa shule na walimu wa masomo katika shule 265 za msingi katika mikoa 11 hapa nchini wamepokea jumla…