Dodoma FM
Dodoma FM
1 November 2024, 18:51
Na Mariam Kasawa. Serikali imejidhatiti kutatua changamoto zinazowakumba vijana balehe kwa kuweka mazingira salama na rafiki kwa vijana kupitia afua mbalimbali zinazowawezesha vijana kufikia malengo yao na utimilifu wao kwa ujumla. Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera ,Bunge na Uratibu…
1 November 2024, 18:50
Na Fredi Cheti. Wananchi wengi wamekuwa hawana uelewa wa jinsi ya upatikana wa dawa mara wanapokuwa katika mchakato wa matibab. Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Kongwa Dkt. Omari Nkulo anaelezea jinsi ya upaatikanaji wa dawa katika huduma za afya. Aidha…
1 November 2024, 18:50
Na Mindi Joseph Matumizi ya nishati ya umeme jua katika shughuli za Kilimo inatajwa kuwa Mkombozi kwa wakulima kutokana na kuokoa gharama mbalimbali pamoja na kuwezesha uzalishaji wenye tija kwa msimu mzima. Bwana Ngalya mkulima mkazi wa Kata cha Matungulu…
30 October 2024, 18:30
Na. Anselima Komba. Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imewataka vijana waliofikisha umri wa miaka 18 kujiandikisha ili kupata kitambulusho cha Taifa ili kukabiliana na fursa za kiuchumi . Afisa usajili Wilaya ya Bahi NIDA Bwn. Ombeni Ngowo ametoa wito…
30 October 2024, 18:29
Mariam Matundu. Imeelezwa kuwa ni muhimu Jamii inatakiwa kufahamu na kuelewa utaratibu wa kuripoti matukio ya ukatili wa kijinsia ili kuwezesha kuripotiwa kwa kesi hizo na kufanyika ufuatiliaji. Akizungumza katika mdahalo wa kupinga ukatili wa kijinsia kwa wanawake na wasichana…
30 October 2024, 18:29
Na Fred Cheti Katika kuadhimisha Siku ya Lishe Duniani Halmashauri ya Jiji la Dodoma kupitia Idara ya Afya na Lishe Imetoa Elimu ya Upimaji wa Hali ya Lishe na Makundi ya Vyakula kwa wanafunzi na walimu wa shule ya Sekondari…
29 October 2024, 20:05
Na Leonard Mwacha. Suala la umiliki wa mali binafsi katika ndoa limekuwa na sintofahamu kutokana na kukosekana kwa elimu ya umiliki wa mali kwa wanandoa. Hali hiyo huweza kuleta changamoto za mahusiano baina ya wanandoa haswa pindi ambapo mali hizo…
29 October 2024, 20:05
Na Mariam Matundu. Lishe bora kwa vijana balehe ni muhimu ili kuendana na kasi ya mabadiliko ya mwili wa kijana. Imeelezwa kuwa kuna umuhimu mkubwa wa kuzingatia lishe bora kwa kundi la vijana balehe wa miaka 10 hadi 19 ili…
29 October 2024, 20:04
Na Anwary Shabani. Soko la Machinga Jijini Dodoma litafanyiwa maboresho ya uwekaji wa vigae vya chini ili kuondoa vumbi ambalo limekuwa kero kwa wafanyabiashara sokoni hapo. Maboresho hayo yanafuatia baada ya malalamiko toka kwa wafanyabiashara wadogo wadogo katika risala iliyosomwa na…
29 October 2024, 16:00
Na Selemani Kodima. Mamlaka ya majisafi na usafi wa mazingira Dodoma DUWASA imekamilisha uchimbaji wa kisima cha maji kitakachowahudumia wananchi wapatao Elfu 28 jijini Dodoma katika maeneo ya Kisasa, Mwagaza na Nyumba Mia Tatu na utatekelezwa kwa kipindi cha…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-