Dodoma FM

Recent posts

7 October 2024, 19:04

Zingatia mpangilio wa lishe kuepuka utapiamlo kwa mtoto

 Na Stephen Noel                                       Mpangilio wa lishe uzipozingatiwa ni chanzo kikubwa cha utapiamlo kwa mtoto hata kama endapo kuna wingi wa vyakula.   Daktari Bingwa wa magonjwa ya watoto Bwn. Joshua Gedion amebainisha hayo wakati akiongea na Dodoma TV, katika kambi…

7 October 2024, 19:03

Babu adaiwa kumlawiti mjukuu wake na kutoweka

Na Mindi Joseph. Babu anayedaiwa kumlawiti mjukuu wake wa miaka 12  katika Mtaa Ipagala jijini Dodoma ametoweka nyumbani kwake na hajulikani  alipo baada ya kufanya tukio hilo mwishoni mwa wiki jana. Mwenyekiti wa mtaa wa Ipagala jijini Dodoma Bw. Elenei…

7 October 2024, 19:01

Kongwa mfano wa kuigwa utekelezaji  miradi ya maendeleo

Na Fred Cheti                                          Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma imekuwa kinara katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary S. Senyamule, amebainisha hayo katika ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo Wilayani Kongwa wakati akiambatana na…

7 October 2024, 18:59

DUWASA waaswa  matumizi ya kauli kwa mteja

Na Fred Cheti                                                    Watendaji wa mamlaka ya maji safi DUWASA wameaswa  kutumia kauli njema katika kuwahudumia wananchi kikamilifu ili kupunguza malalamiko . Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na usafi wa mazingira Dodoma (DUWASA) Mha. Aron Joseph amesema hayo leo…

4 October 2024, 20:09

Bashungwa amnyoshea kidole mkandarasi Dodoma

Na Fredi Cheti Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameonesha kutoridhishwa na kasi ya ujenzi na usimamizi wa barabara ya mzunguko wa nje ya jiji la Dodoma (Dodoma Ring Road ) kwa kiwango cha lami na kumtaka Mkandarasi Kampuni ya AVIC…

4 October 2024, 20:09

Elimu ya uongozi shuleni chachu kwa wasichana kuwania nafasi za uongozi

Na Mindi Joseph. Elimu ya uongozi kwa wanafunzi inawasaidia kujitambua kujiamini na na kuwajengea ari ya kuwa viongozi  kwa siku za baadaye. Mwalimu Winfrida Maliga anasema elimu hiyo inawasaidia wanafunzi kutambua umuhimu wa kuwa viongozi wakiwa shuleni hata wakiwa katika…

4 October 2024, 20:08

“Viongozi watarajiwa mjipange kutekeleza hoja za wananchi”

Na Lilian Leopold    Kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27 mwaka huu, wananchi Mkoani Dodoma wamesema wamepata hamasa  ya kuchagua viongozi sahihi watakaotatua changamoto zao. Wakizungumza na Dodoma TV baadhi ya wananchi hao wamebainisha kuwa wanatamani viongozi watakaochaguliwa watatue…

4 October 2024, 20:08

Mkonze yajiimarisha kiulinzi kudhibiti mauaji na uhalifu

Na Nazaaeli Mkude Kufuatia tukio la mauaji  la mama na binti lililotokea mnamo tarehe 19 Septemba mwaka huu  katika kata ya Mkonze mtaa wa Muungano A, kata ya Mkonze, Jijini Dodoma, hali ya ulinzi imeimarishwa ili kudhibiti uendelevu matukio hayo…

3 October 2024, 20:10

Kongamano la 10 la joto ardhi Afrika laja na fursa za kiuchumi

Na Alfred Bulahya Kongamano la 10 la joto ardhi barani Afrika linatarajia kufanyika mnamo 21-27 Oktoba 2024  katika Kituo cha Mikutano cha JNICC, Dar es Salaam na litaenda sambamba na kaulimbiu isemayo Kuharakisha Maendeleo ya Rasirimali za Joto Ardhi katika…

3 October 2024, 20:10

Matumizi ya mfumo 5s Kaizen waonesha matunda sekta ya afya

Na Mindi Joseph. Utekelezaji wa mfumo wa 5s Kaizen katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma General umechangia utoaji wa huduma bora kwa wananchi. Muuguzi Mfawidhi wa hospitali hiyo Stanley Mahundo anasema kuwa mfumo huo ulianza kutumika mwaka 2015…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger