Dodoma FM
Dodoma FM
7 October 2024, 19:04
Na Stephen Noel Mpangilio wa lishe uzipozingatiwa ni chanzo kikubwa cha utapiamlo kwa mtoto hata kama endapo kuna wingi wa vyakula. Daktari Bingwa wa magonjwa ya watoto Bwn. Joshua Gedion amebainisha hayo wakati akiongea na Dodoma TV, katika kambi…
7 October 2024, 19:03
Na Mindi Joseph. Babu anayedaiwa kumlawiti mjukuu wake wa miaka 12 katika Mtaa Ipagala jijini Dodoma ametoweka nyumbani kwake na hajulikani alipo baada ya kufanya tukio hilo mwishoni mwa wiki jana. Mwenyekiti wa mtaa wa Ipagala jijini Dodoma Bw. Elenei…
7 October 2024, 19:01
Na Fred Cheti Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma imekuwa kinara katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary S. Senyamule, amebainisha hayo katika ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo Wilayani Kongwa wakati akiambatana na…
7 October 2024, 18:59
Na Fred Cheti Watendaji wa mamlaka ya maji safi DUWASA wameaswa kutumia kauli njema katika kuwahudumia wananchi kikamilifu ili kupunguza malalamiko . Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na usafi wa mazingira Dodoma (DUWASA) Mha. Aron Joseph amesema hayo leo…
4 October 2024, 20:09
Na Fredi Cheti Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameonesha kutoridhishwa na kasi ya ujenzi na usimamizi wa barabara ya mzunguko wa nje ya jiji la Dodoma (Dodoma Ring Road ) kwa kiwango cha lami na kumtaka Mkandarasi Kampuni ya AVIC…
4 October 2024, 20:09
Na Mindi Joseph. Elimu ya uongozi kwa wanafunzi inawasaidia kujitambua kujiamini na na kuwajengea ari ya kuwa viongozi kwa siku za baadaye. Mwalimu Winfrida Maliga anasema elimu hiyo inawasaidia wanafunzi kutambua umuhimu wa kuwa viongozi wakiwa shuleni hata wakiwa katika…
4 October 2024, 20:08
Na Lilian Leopold Kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27 mwaka huu, wananchi Mkoani Dodoma wamesema wamepata hamasa ya kuchagua viongozi sahihi watakaotatua changamoto zao. Wakizungumza na Dodoma TV baadhi ya wananchi hao wamebainisha kuwa wanatamani viongozi watakaochaguliwa watatue…
4 October 2024, 20:08
Na Nazaaeli Mkude Kufuatia tukio la mauaji la mama na binti lililotokea mnamo tarehe 19 Septemba mwaka huu katika kata ya Mkonze mtaa wa Muungano A, kata ya Mkonze, Jijini Dodoma, hali ya ulinzi imeimarishwa ili kudhibiti uendelevu matukio hayo…
3 October 2024, 20:10
Na Alfred Bulahya Kongamano la 10 la joto ardhi barani Afrika linatarajia kufanyika mnamo 21-27 Oktoba 2024 katika Kituo cha Mikutano cha JNICC, Dar es Salaam na litaenda sambamba na kaulimbiu isemayo Kuharakisha Maendeleo ya Rasirimali za Joto Ardhi katika…
3 October 2024, 20:10
Na Mindi Joseph. Utekelezaji wa mfumo wa 5s Kaizen katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma General umechangia utoaji wa huduma bora kwa wananchi. Muuguzi Mfawidhi wa hospitali hiyo Stanley Mahundo anasema kuwa mfumo huo ulianza kutumika mwaka 2015…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-