Dodoma FM

Recent posts

20 October 2022, 11:59 am

Bilioni 27 zatarajiwa kutumika ujenzi wa bwawa Chunyu

Na;Mindi Joseph. Bilioni 27 zinatarajiwa kutumika katika ujenzi wa bwawa la umwagiliaji katika kijiji cha chunyu wilayani mpwawa ili kutatua changamoto ya uzalishaji hafifu wa Chakula. Hivi karibuni wanachi wa kijiji hicho wameelezea kuwa ukosefu wa Bwawa na Skimu za…

19 October 2022, 9:29 am

Wakazi wa Njoge waishukuru serikali kwa kuboresha sekta ya elimu

Na ;Victor Chigwada.   Wananchi wa Kata ya Lenjulu Wilaya ya Kongwa wametoa shukrani zao kwa Serikali ya awamu ya sita kwa jitihada za kuendelea kuboresha sekta ya elimu nchini Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wananchi hao wamepongeza jitihada…

19 October 2022, 8:57 am

Serikali yaahidi kutatua changamoto ya maji Chunyu

Na;Mindi Josph . Serikali imeahidi kuchimba visima vya maji ili kutatua changamoto ya maji inayowakabili wananchi  wa kijiji cha chunyu wilayani Mpwapwa. Wakizungumza na Taswira ya habari baadhi ya wananchi wa Kijiji hicho wamesema hadi sasa wanatumia maji chumvi ambayo…

18 October 2022, 6:55 am

Uhaba wa skimu za umwagiliaji watajwa kuchangia maisha duni

Na;Mindi Joseph . Ukosefu wa Skimu za umwagiliaji katika baadhi ya maeneo Mkoani Dodoma umetajwa kuchangia Maisha Duni kwa wananchi kutokana na uzalishaji hafifu wa Chakula. Taswira ya Habari imezungumza na Baadhi ya wanachi wa Kijiji cha Chunyu Wilayani mpwapwa…

18 October 2022, 6:44 am

Wakazi jijini Dodoma waomba kupunguziwa gharama za usafirishaji

Na; Mariam Matundu.  Wananchi jijini  Dodoma wameomba kuboreshewa usafirishaji ili kupunguza gharama za usafiri zinachochangia kupanda kwa gharama za maisha siku hadi siku. Denis mandia ni mkazi wa dodoma yeye amesema kuwa suala la kupanda kwa gharama za usafirishaji zinachochea…

18 October 2022, 6:10 am

Wakazi wa Miganga waiomba serikali kuendelea kusambaza umeme

Na; Benard Filbert. Wakazi wa kijiji cha Miganga Kata ya Idifu wilaya ya Chamwino wameiomba serikal kuendelea kusambaza nishati ya umeme katika kijiji hicho hali itakayosaidia kukua kwa uchumi. Ombi hilo wamelitoa wakati wakizungumza na Taswira ya habari kuhusu uwepo…

12 October 2022, 12:43 pm

Uhaba wa madarasa Miganga wawanyima uhuru wanafunzi

Na; Benard Filbert. Uhaba wa madarasa katika shule ya msingi Miganga kata ya Idifu wilaya ya Chamwino imetajwa kuwa kikwazo cha wanafunzi kujifunza kwa uhuru. Hayo yameelezwa na wazazi wa wanafunzi katika kijiji cha Miganga wakati wakizungumza na Taswira ya…

12 October 2022, 12:17 pm

Wakazi wa Makutupa wakabiliwa na uhaba wa maji safi na salama

Na; Na ;Victor Chigwada. Wakazi wa kijiji cha Makutupa wilayani kongwa wameendelea kutumia maji yasiyo safi na salama licha ya uwepo wa juhudi za  uongozi wa kata ya ngomai kukabiliana na changamoto hiyo. Hali hiyo imesababisha uwepo  matumizi ya maji…

12 October 2022, 11:59 am

Wasichana wataka usawa katika ugawaji wa majukumu

Na; Mariam Matundu. Usawa katika  ugawaji wa majukumu ya nyumbani kwa wasichana ni mzigo ambao umekuwa ukiwalemewa . Siku ya mtoto wakike Duniani yenye kaulimbiu isemayo Haki zetu ni hatma yetu ,wakati ni sasa ,Baadhi ya wasichana wamesema suala la…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger