Dodoma FM

Recent posts

18 October 2024, 20:05

NIMR  yatafiti mikakati ya chanjo ya Uviko-19

Na Yussuph Hassan. Taasisi ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii ESRF kwa kushirikiana na taasisi ya utafiti wa magonjwa ya binadamu NIMR zimefanya utafiti wa kutathmini mikakati ya kuongeza upataji chanjo ya Uviko-19 nchini. Akizungumza jijini Dodoma katika kongamano la…

18 October 2024, 20:05

Malima awataka walio jiandikisha kujitokeza kupiga kura Nov. 27 

Na Noel Steven. Mbunge wa Jimbo la Mpwapwa Mhe. George Nathan Malima amewataka wananchi wa jimbo hilo kujitokeza siku ya kupiga kura Nobemba 27.   Mhe. George Nathan Malima Ameyasema hayo  wakati  alipomaliza zoezi la kujiandikisha katika kituo cha Chamnye…

18 October 2024, 20:04

Vitongoji 150 kupata umeme wa REA Dodoma

Na Mariam Matundu. Vitongoji mia moja na hamsini katika mkoa wa Dodoma vinatarajia kufikishiwa umeme wa REA kupitia mpango wa vijiji kumi na tano kila jimbo. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule ameyasema hayo Oct. 18, 2024 wakati wa…

18 October 2024, 20:04

TANZIA: PCMA wamlilia Askofu Mondeya

Na Nazael Mkude. Wachungaji na waamini wa kanisa la PCMA Mkoani Dodoma  wamepokea kwa masikitiko kifo cha Askofu Mkuu  Dr.  Mondea Kabeho Katibu Mkuu wa Kanisa la hilo Patrick Kajila anaelezea jinsi msiba huo ulivyotokea wakati wa ibada ya kuwafariji…

17 October 2024, 20:01

Wananchi wataharuki tukio la mtu kujinyonga Dodoma

Na Nazael Mkude. Wakazi wa Mtaa wa Mathias Kata ya Miyuji Mkoani Dodoma wamepatwa na taharuki baada  ya tukio la mtu mmoja kujingonga katika mtaa huo . Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Balaozi Shina Namba 5 wa Mtaa wa Mathias…

17 October 2024, 20:01

Watu wenye ulemavu ni chachu ya maendeleo jumuishi

Na Mariam Matundu. Katika kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa nov. 27 kundi la watu wenye ulemavu limetajwa kuwa ni kundi muhimu kushiriki katika mchakato huu kwa kupiga kura na kugombea nafasi zilizopo ili kuchochea maendeleo yenye ujumuishi. Afisa maendeleo…

17 October 2024, 20:01

Zijue athari za malezi ya upande mmoja

Na Anwary Shabani                                     Malezi ya upande mmoja yametajwa kuwa ni changamto kwa makuzi ya mtoto. Kwa nyakati tofauti, wananchi Jijini Dodoma  wamesema kuwa zipo changamoto  nyingi zinamkabili mtoto anayepata malezi ya upande mmoja ikiwemo suala la elimu. Aidha wananchi  hao…

17 October 2024, 20:01

Sodo yadhibiti utoro kwa wasichana Vighawe Sekondari

Hali ya utoro kwa wanafunzi wa kike katika shule sekondari Vighawe umepungua kwa kiwango kikubwa baada ya kanzisha maradi wa ushonaji sodo.    Mradi huo unaofadhiliwa na shirika la Haki Elimu umeonesha mafanikio makubwa kwani unawafanya wasichana kuweza kuhudhuria shuleni…

16 October 2024, 19:28

Kibakwe jitokezeni kujiandikisha!

Na Steven Noel. Mbunge wa Jimbo la kibakwe  na waziri  Ofisi ya Rais menejiment  ya utumishi wa umna na utawala bora Mhe. George Simbachawene  amewahimiza wananchi wa Kibakwe kujitokeza kujiandikisha katika daftari la mpiga kura. Mara baada ya kujiandikisha, Waziri…

16 October 2024, 19:28

Darasa tembezi hamasa kujiandikisha daftari la mpigakura Dodoma

Na Mindi Joseph Ubunifu wa matumizi darasa tembenzi katika Mkoa wa Dodoma umehamasiha kwa kiwango kikubwa wananchi kujitokeza kujiandikisha daftari la mppiga kura. Mwenyekiti wa Mtaa wa Nyerere Kata ya Mpunguzi Bwn. Eliaton Shadrack anaelezea juu ya mwitikio wa wananchi…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger