Recent posts
23 September 2024, 20:43
Mikopo asilimia 10 ni salama kwa wajasiriamali
Na Steven Noel. Wajasiriamali Wilayani Mpwapwa wameshauriwa kuwa makini wakati wa kutafuta na kuomba huduma za mikopo kutoka katika taasisi mbalimbali ili kuepukana na chamgamoto za marejesho zinazoweza kujitokeza kuhusiana na masharti ya mikopo hiyo. Aidha baadhi ya wakazi wilayani…
20 September 2024, 19:51
Mavunde aweka alama ya kudumu Dodoma
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma ambayo ina umr iwa miaka 104 inauwezo wa kuhudumia wagonjwa zaidi ya 1,500 kwa siku moja imekuwa na changamoto ya kuwa na miundombiny ya jengo la kusubiria wangonjwa kwa wananchi. Na Mindi Joseph…
20 September 2024, 19:51
Changamkia siku 5 za huduma ya macho bure
Na Leonald Mwacha Halmashauri ya jiji la Dodoma kwa kushirikiana na Sightsavers ambao ni wadau afya ya macho wanatarajia kutoa huduma ya afya ya macho kata ya Hombolo kwa siku tano kuanzia Jumatatu ya tarehe 23/09/2024 mpaka 27 /09/2024. Fuatilia…
20 September 2024, 19:50
Utaratibu wa daftari la makazi kinga dhidi ya mauaji Dodoma
Na Nazael Mkude Wakazi jijini Dodoma wametoa maoni yao kuhusu utaratibu wa kujiandikisha katika daftari la makazi ili kuweza kupunguza vitendo vya uvunjifu wa sheria. Kufuatia mwendelezo wa matukio ya kihalifu ya mara kwa mara yanayotokea katika jiji la Dodoma,…
20 September 2024, 19:50
Vijana jiepusheni na rushwa chaguzi zijazo
Na Fred Cheti, Kuelekea katika chaguzi zijazo vijana wametakiwa kuwa makini na kujiepusha na masuala ya rushwa katika chaguzi hizo ili kuwapata viongozi wataokaopatikana kwa haki na kuwaletea maendeleo. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imekuwa ikitoa elimu…
19 September 2024, 19:52
Serikali yahimiza klabu za maadili shuleni
Kuwalea watoto katika malezi mema imetajwa kujenga kizazi bora na chenye maadili ambacho kitafuata mila na desturi la taifa letu. Na Mindi Joseph Moja ya jukumu la Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma ni kukuza maadili kwa watoto jukumu…
19 September 2024, 19:51
Maelezo na taarifa ya ugonjwa ni wajibu na haki ya mgonjwa
Uelewa wa baadhi ya watu kufahamu haki zao za msingi wanapokuwa katika vituo vya afya na hospitali bado ni mdogo. Hali hii ni kutokana na uhaba wa elimu juu ya suala hilo pamoja na baadhi yao kutokuwa na utamaduni wa…
19 September 2024, 19:51
Namba hairidhishi wanawake nafasi za uongozi
Hali ya mfumo dume , itikadi za kidini na imani ndogo ya jamii kwa mwanamke imepelekea idadi ya wanawake katika nyadhifa mbalimbali kuwa ndogo tofauti na wanaume hapa nchini. Na Mariam Kasawa Kupitia utafiti uliofanywa na mtandao wa jinsia tanzania…
19 September 2024, 19:51
Uhakiki nembo ya ubora katika bidhaa ni salama kwa afya ya mlaji
Na Fred Cheti. Jamii imeaswa kuwa na utamaduni wakuhakiki ubora wa bidhaa sambamba na kuangalia ukomo wa matumizi kabla ya kufanya manunuzi. Shirika la Viwango Tanzania TBS limekuwa likifanya ukaguzi wa mara kwa mara katika maduka ya wauzaji wa…
18 September 2024, 19:42
Migahawa Hombolo yavutia kwa usafi
Wanafunzi kutoka Chuo cha Serikali za Mtaa Hombolo wanasema hali ya usafi kwa baadhi ya watoa huduma ya chakula imeimarika. Na Mindi Joseph. Suala la usafi jambo ni muhimu katika kujikinga dhidi magonjwa yasababishwayo na uchafu. Hivyo ni jambo la…