Recent posts
8 August 2024, 16:22
Akina mama wanaonyonyesha watoto watakiwa kuheshimu muda
Afisa Lishe wa Halmashauri ya jiji la Dodoma Bi. Seminieva Juma akizungumzia juu umuhimu wa kunyonyesha. Na Seleman Kodima.Ikiwa jana ni kilele cha maadhimisho ya wiki ya unyonyeshaji duniani yalioanza tangu Agosti mosi, akina mama wanaonyonyesha watoto wametakiwa kuheshimu muda…
7 August 2024, 19:10
Vijana na wanawake watakiwa kuigeukia fursa ya ufugaji na uvuvi
Nini kinachowakwamisha vijana kujikita katika Sekta ya Ufugaji? Na Fred Cheti.Vijana na Wanawake wametakiwa kuzigeukia fursa za Ufugaji na Uvuvi kupitia mitaji wanayopata badala ya Biashara pekee ili waweze kujikwamua kiuchumi wao na Taifa kwa ujumla. Hayo yameelezwa na Mkuu…
7 August 2024, 18:47
Maandalizi ya Ngoma ya mambala
Ngoma hii haiwezi kuchezwa kama mwanamke bado hajapata ujauzito. Na Yussuph Hassan. Yussuph amezungumza na mzee wa eneo hili la Kingale na hapa anaeleza maandalizi ya ngoma hii ya mambala inayochezwa na kabila la warangi hususani mama anapokuwa mjamzito na…
7 August 2024, 18:36
TBA wafanikisha ujenzi wa Vihenge na maghala ya kisasa Nchini
Mnamo July 16 2024 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu alizindua mradi wa vihenge vya kisasa na maghala ya kuhifadhia chakula ambapo aliagiza kuongezwa kwa vihenge vingine. Na Mariam Kasawa.Serikali imeendelea kuwajali wakulima kwa kuhakikisha inajenga…
7 August 2024, 18:19
Ardhi iliyo rasimishwa inasaidia kuleta maendeleo
Wizara imeanzisha Kampeni maalumu kwa ajili ya kumsaidia Mwanamke katika umiliki wa Ardhi. Na Fred Cheti.Inaelezwa kuwa Ardhi iliyopangwa, kurasimishwa na kupimwa vizuri inasaidia kwa kiwango kikubwa kuleta maendeleo kwa Wananchi kutokana na kuruhusu shughuli za kiuchumi ndani ya Miji…
7 August 2024, 18:00
Toam yaanzisha mkakati wa kilimo ikolojia hai
Shirika la Kilimo Hai Tanzania Toam lenye makao yake makuu Jijini Dare s salaam limefanikiwa kufungua matawi yake katika maeneo mbalimbali Nchini ikiwemo Mkoa wa Dodoma. Na Shangwe.Shirika la Kilimo Hai Tanzania Toam limeanzisha mkakati wa Kilimo ikolojia Hai Tanzania…
6 August 2024, 18:32
Wananchi Mpamaa wakumbwa na taharuki jiji kugawa ardhi yao
Miongoni mwa maeneo hayo ni pamoja na yale ambayo yametengwa kwa ajili ya shughuli za Kijamii, kama Shule na huduma nyinginezo ikiwemo Soko. Na Mindi Joseph.Wananchi wa Mtaa wa Mpamaa Mkoani Dodoma wameshagazwa kwa kitendo cha Mamlaka ya Jiji kugawa…
6 August 2024, 18:13
DUWASA kuendelea kushirikiana na mamlaka za serikali kufanikisha upatikanaji wa…
Itaendelea kushirikiana na mamlaka za serikali za mitaa katika kuhakikisha wanafanikisha upatikanaji wa maendeleo kwa wananchi. Na Seleman Kodima.Katika kuhakikisha wanatekeleza kauli mbiu ya Mwaka huu ya Maonesho ya wakulima na wafugaji Nane nane 2024,Mamlaka ya Maji safi na usafi…
6 August 2024, 17:50
Miradi ya serikali iwanufaishe wananchi wa kawaida
Kikao hicho kimefanyika leo katika ukumbi wa halmashauri ya jiji ambapo kilikuwa kikao cha taarifa cha mwaka na kuhudhuliwa na madiwani kutoka kata za jiji la Dodoma. Na Mariam Kasawa.Viongozi wametakiwa kuhakikisha miradi inayo anzishwa na serikali inawapatia fursa na…
6 August 2024, 17:30
Ifahamu ngoma aina ya Mambala inayochezwa na Warangi
Tunayo ngoma kwaajili ya wanawake ambao hawajaweza kupata watoto walichezewa ngoma ya mambala. Na Yussuph Hassan.Yapo mafanikio ambayo watu wa kata ya Kingale wanayafurahia lakini bado hawasahau mila na tamaduni zao ambazo wanazienzi japokuwa kuna maendeleo mengi ya kisayansi na…