Recent posts
2 August 2024, 17:09
Muuguzi anayependwa na wananchi wake
Harambee hiyo imefanyika wiki hii kijijini hapo ambapo wananchi hao wameweza kuchanga fedha zaidi ya shilingi milioni nne kwa ajili ya kumnunulia kiwanja muuguzi huyo ili aweze kujenga na kuishi kijijini hapo hata atakapostaafu kazini. Na Bernadetha Mwakilabi.Wananchi wa kijiji…
1 August 2024, 17:33
Tusiwachukie, tuwape watu vitu
Kanisa la Moraviani Ushirika wa Kongwa limeanzishwa mwaka 2008, ni moja ya makanisa madogo wilayani Kongwa. Na Bernadetha Mwakilabi. Imeelezwa kuwa kuishi katika jamii isiyokuwa na upendo ni sababu kubwa inayopelekea dunia kuwa na matukio ya kikatili na mauaji kwa…
1 August 2024, 16:38
Bado tunautazama Mtaa wa Swaswa
Tuna vijana ambao wamepewa mafunzo na inspekta wa kituo cha polisi hapa mtaani hii inasaidia sana kuhakikisha usalama na ulinzi wa hapa. Na Yussuph Hassan.Na leo tena katika kipindi chetu tunaendelea kuangalia ni kwa jinsi gani mtaa huo umebarikiwa mandhari…
1 August 2024, 16:25
Wananchi wapo tayari kujiandika daftari la kudumu la wapiga kura
Uandikishaji wa daftari la Wapiga kura kwa Mkoa wa Dodoma unatarajiwa kufanyia tarehe 11 hadi 17 Desemba mwaka huu. Na Pius Jayunga.Baadhi ya Wakazi wa Dodoma wameeleza kuwatayari kushiriki katika zoezi la kujiandikisha katika daftari la kudumu la Wapiga ambalo…
1 August 2024, 16:03
Mifuko ya plastiki tishio kwa Afya za walaji
Dkt. Harrison anaeleza kuwa kwa Afrika, plastiki zinazozalishwa au kuingizwa barani, zikipata joto zinatoa vipande vidogo vya plastiki vyenye sumu. Na Mariam Kasawa.Mifuko ya plastiki inathibitika kisayansi ni hatari kwa mazingira na afya ya binadamu na viumbe wengine. Baadhi ya…
1 August 2024, 15:00
Ufunguzi wa barabara za ndani Miganga kuwainua wananchi
Na Mindi Joseph.Ufunguzi wa Barabara za ndani zenye urefu wa Mita 8, 10 na 15 katika Mtaa wa Miganga umetajwa kuwa nyezo muhimu ya kuwainua wakazi wa eneo hilo kiuchumi. Barabara hizi zinawasaidia wananchi katika usafiri na usafirishaji wa bidhaa…
31 July 2024, 19:30
Wakazi Dodoma wajawa shauku maonesho ya nanenane
Maonesho hayo huanza tarehe 01 hadi 08 ya mwezi Agosti. Maonesho hayo huambatana na uhamasishaji wa matumizi ya teknolojia bora za kilimo, ufugaji na uvuvi. Na Fred Cheti.Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo na Ufugaji (Nanenane) yanatarajia kuanza rasmi siku ya…
31 July 2024, 19:17
Wananchi wahitaji elimu zaidi ugonjwa wa homa ya ini
Kwa mujibu wa wataalam wa afya wanabainisha njia za maambukizi ya homa ya Ini zinashabihiana sana na zile za maambikizi ya Virusi Vya Ukimwi. Na Witness. Ikiwa kila ifikapo Julai 28 dunia huadhimisha Siku ya Homa ya Ini Duniani, takwimu…
31 July 2024, 18:52
Vumbi lahatarisha afya za wakazi Miganga
Eneo hili la Miganga lipo mita 600 tu kutoka stesheni ya SGR, je, serikali haioni changamoto hii na kuwasaidia wananchi hawa ambao wanaona wametelekezwa?. Na Mindi Joseph. Wakazi mtaa wa Miganga wamelalamika kuathirika kiafya kutokana na adha ya vumbi inayosabishwa…
31 July 2024, 18:22
Kampeni za usafi zawahamasisha wananchi kusafisha mazingira Dodoma
Wananchi wametakiwa kutii sheria bila shuruti kwa sababu sheria ndogo ya usafi katika Jiji la Dodoma inasema mtu asipojitokeza kwenye usafi, asipofanya usafi kwenye eneo lake la makazi, taasisi na biashara, faini yake ni kati ya shilingi 50,000-200,000 au kifungo…