Dodoma FM

Recent posts

31 July 2024, 17:48

Mpangilio wa maendeleo katika mtaa wa Swaswa

Wataalamu wamekwisha kuwasili kwaajili ya kuanza maboresho mara moja. Na Yussuph Hassan.Na leo moja kwa moja katika kipindi chetu cha FAHARI YA DODOMA tumeangazia moja ya mtaa maarufu unaopatikana jijini Dodoma unaojulikana kwa jina la Swaswa ambao tumekwisha kuona asili…

30 July 2024, 19:46

Rais Samia kuzindua rasmi SGR Dodoma

Ikumbukwe kuwa tangu Treni ianze safari zake Kutoka Dar es Salaam kuja Dodoma zaidi ya wananchi 900 hadi 1000 wananufaika na usafiri huo.  Na Fred Cheti. RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassani anatarajia kuzindua Rasmi…

30 July 2024, 18:46

RC Senyamule: Maonesho ya nanenane Dodoma yatakuwa ya kipekee

Mkuu wa Mkoa ametumia nafasi hiyo kuwaalika watu kutoka maeneo mbalimbali ndani na nje ya nchi kushuhudia upekee wa maonesho hayo. Na Seleman Kodima. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule amewahakikisha wakazi wa Dodoma kuwa maonesho ya Nanenane kitaifa…

30 July 2024, 18:26

NIRC yatarajia kuchimba visima 60,000 nchini

Mpango huu unalenga kuwa na visima vyenye uwezo wa kuhudumia wakulima na umelenga kuinua sekta ya Kilimo cha Umwagiliaji na kuchochea ukuaji wa uchumi nchini. Na Mindi Joseph. Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) kupitia Wizara ya Kilimo inatarajia  kuchimba…

29 July 2024, 20:07

Jamii yaomba elimu zaidi ugonjwa wa homa ya ini-Makala

Jamii imetakiwa kuchukua tahadhari na kupata vipimo au chanjo. Na Steven Noel.Jamii imeombwa kuendelea kuelimishwa juu ya ugonjwa wa homa ya ini ili iendelee kuchukua tahadhari na kupata vipimo au chanjo. Akiongea na Dodoma FM daktari bingwa na mbobezi wa…

29 July 2024, 19:53

Umeme wa REA waimarisha huduma za afya Hombolo Bwawani

Mikoa mingine inayotekelezwa na mradi huo ni Mwanza, Kagera, Simiyu, Arusha, Pwani, Lindi na Mtwara. Na Mindi Joseph.Baadhi ya Wananchi kutoka katika Mitaa ya Kolimba na Hombolo Bwawani Kata ya Hombolo Jijini Dodoma wamesema uwepo wa huduma ya Umeme wa…

29 July 2024, 19:18

Jamii yatakiwa kudumisha kampeni ya mtu ni afya

Ikumbukwe kuwa kampeni ya Mtu ni Afya yenye kaulimbiu inayosema Fanya kweli, Usibaki nyuma ilizinduliwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango tarehe 9 Mei, 2024 . Na Mariam Kasawa.Wananchi wametakiwa kuendelea…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger