Recent posts
12 August 2024, 15:51
Taka za kielektroniki ni fursa na ajira
Shirika la Kazi Duniani, ILO linasema licha ya uzalishaji mkubwa wa taka hizo za kielektroniki ni asilimia 20 tu ya tani hizo za kielektroniki ndio hurejelezwa katika mazingira rasmi. Na Mariam Kasawa.Inaelezwa kuwa taka za kieletroniki zinazo zalishwa na kutupwa…
12 August 2024, 15:37
Kofia zinazotengenezwa kwa mkono na wakazi wa Kondoa
Mzee Rofati anasema kazi hii ya utengenezaji wa kofia aliirithi kutoka kwa wake walio kuwa wanatengeneza hapo zamani. Na Yussuph Hassan.Leo katika kipindi cha Fahari ya Dodoma tunazungumzia umaarufu wa kofia zinazotengenezwa kwa mkono tangu miaka ya 50, kofia hizi…
8 August 2024, 17:37
Jiji la Dodoma lavunja rekodi ukusanyaji wa mapato ya ndani
Wakazi wa Dodoma wameipongeza halmashauri kwa hatua hiyo. Na Fred Cheti.Halamshauri ya jiji la Dodoma imeweza kuvuka lengo la ukusanyaji mapato ya ndani kwa mwaka ulioisha kwa asilimia 103 ambapo ilipanga kukusanya na kunitumia shilingi 123.8 badala yake imeweza kukusanya…
8 August 2024, 17:22
Asili ya chakula cha kabila la warangi
Ni aina gani ya nafaka hutumiwa zaidi na wakazi wa eneo hili katika chakula na wanapotengeneza pombe za kienyeji? Na Yussuph Hassan.Bado tupo katika kata ya Kingale na leo mwenyeji wetu anatueleza chakula cha asili kinachotumiwa na kabila hili la…
8 August 2024, 17:01
Mazingira rafiki ya elimu yanavyopunguza mimba za utotoni
Mariam Matundu ametembelea katika kata ya Mbabala na kuzungumza na Lilian Masunga mwanafunzi wa kidato cha nne katika shule ya Sekondari Mbabala. Na Mariam Matundu.Leo tunaangazia namna ambavyo mazingira rafiki ya wasichana kupata elimu yanasaidia kupunguza mimba za utotoni .…
8 August 2024, 16:43
Kijanisha kunufaisha wakulima milioni 350
Shirika la Justdiggit ambalo kwa Tanzania linashirikiana na Lead Foundation limeanzisha Application hiyo lengo likiwa kutoa elimu bure ili kuwanufaisha wakulima wadogowadogo takribani milioni 350 katika ukanda wa kusini mwa Jangwa la Sahara. Na Selemani Kodima. Takriban wakulima wadogo milioni…
8 August 2024, 16:22
Akina mama wanaonyonyesha watoto watakiwa kuheshimu muda
Afisa Lishe wa Halmashauri ya jiji la Dodoma Bi. Seminieva Juma akizungumzia juu umuhimu wa kunyonyesha. Na Seleman Kodima.Ikiwa jana ni kilele cha maadhimisho ya wiki ya unyonyeshaji duniani yalioanza tangu Agosti mosi, akina mama wanaonyonyesha watoto wametakiwa kuheshimu muda…
7 August 2024, 19:10
Vijana na wanawake watakiwa kuigeukia fursa ya ufugaji na uvuvi
Nini kinachowakwamisha vijana kujikita katika Sekta ya Ufugaji? Na Fred Cheti.Vijana na Wanawake wametakiwa kuzigeukia fursa za Ufugaji na Uvuvi kupitia mitaji wanayopata badala ya Biashara pekee ili waweze kujikwamua kiuchumi wao na Taifa kwa ujumla. Hayo yameelezwa na Mkuu…
7 August 2024, 18:47
Maandalizi ya Ngoma ya mambala
Ngoma hii haiwezi kuchezwa kama mwanamke bado hajapata ujauzito. Na Yussuph Hassan. Yussuph amezungumza na mzee wa eneo hili la Kingale na hapa anaeleza maandalizi ya ngoma hii ya mambala inayochezwa na kabila la warangi hususani mama anapokuwa mjamzito na…
7 August 2024, 18:36
TBA wafanikisha ujenzi wa Vihenge na maghala ya kisasa Nchini
Mnamo July 16 2024 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu alizindua mradi wa vihenge vya kisasa na maghala ya kuhifadhia chakula ambapo aliagiza kuongezwa kwa vihenge vingine. Na Mariam Kasawa.Serikali imeendelea kuwajali wakulima kwa kuhakikisha inajenga…