Recent posts
10 December 2024, 16:04
Wananchi watakiwa kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya mvua
Hii inajiri baada ya mfululizo wa vipindi vya mvua kunyesha bila kumpuzika hususani katika kipindi hiki cha msimu wa mvua. Na Nazael Mkude.Wito umetolewa wakazi wa mtaa wa bwawani kata ya ipagala mkoani Dodoma kuhakikisha kuwa wanachukua tahadhari kwa kipindi…
6 December 2024, 11:50
Serikali yaendelea na ukarabati miundombinu ya maji soko la Machinga
Soko la machinga lilianza kufanyakazi November 1, 2022, kwa mujibu wa Halmshauri ya Jiji la Dodoma hadi sasa soko hilo linahudumia wajasiriamali zaidi ya 3200 waliosajiliwa, linatoa huduma mbalimbali zikiwemo huduma za vyakula, biashara za nguo, mapambo, huduma za kibenk…
6 December 2024, 11:26
Mhandisi mradi wa Tactic atakiwa kukamilisha kazi kwa wakati
Maandalizi ya utekelezaji wa mradi huu yamegawanywa katika makundi matatu kwa kuzingatia awamu za mgao wa fedha kutoka kwa mfadhili (Benki ya Dunia). Na Annuary Shaban.Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Alhaj Jabir Shekimweli amemtaka mhandishi wa mradi wa tactic kuhakiksha…
4 December 2024, 12:45
Elimu, dini jinsia na ulemavu visababishi ubaguzi katika familia
Wazazi na walezi wameombwa kutokuwabagua watoto wao katika familia ili kuweka usawa. Na Lilian Leopord. Elimu, jinsia, dini na ulemavu vimetajwa kuwa visababishi vinavyochochea watoto kubaguliwa kwenye familia. Akizungumza na Dodoma Tv Afisa Mradi kutoka Action for Community Care Michael…
4 December 2024, 12:29
Imani za kishirikina zatajwa kuchangia ukatili dhidi ya Watoto
Kwa Mujibu wa Ofisi ya Maendeleo ya Jamii mwaka 2024 pekee, kwa kipindi cha kuanzaia mwezi wa kwanza hadi mwezi wa nane matukio ya ukatili yaliyoripotiwa mkoa wa Dodoma ni 2,352, ambapo ukatili kwa watoto ni 629 huku watu wazima…
4 December 2024, 11:16
Wanaume watakiwa kujitokeza kupima VVU
Wanaume wametakiwa kuacha tabia ya kusubiri wake zao wapime na kujiona wapo salama baada ya majibu. Na Lilian Leopord. Hofu na uoga kwa baadhi ya wanaume imeelezwa kuwa chanzo kikubwa kinachowafanya kushindwa kujitokeza kupima maambukizi ya virusi vya ukimwi. Wakizungumza…
4 December 2024, 10:53
Mnara wa Mawasiliano kujengwa kijiji cha Msolokelo Morogoro
Waziri Silaa amewahakikishia wananchi wa Msolokelo kufikishiwa huduma za mawasiliano katika kipindi kifupi kijacho. Na Mariam Matundu.Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry William Silaa (Mb) ametoa maelekezo kwa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) kushirikiana na…
3 December 2024, 12:08
Viongozi wa dini watakiwa kupinga vitendo vya ukatili
Kwa mujibu wa Ofisi ya maendeleo ya jamii Mkoani Dodoma kuanzia Januari hadi Agosti mwaka 2024 matukio ya ukatili yaliyoripotiwa mkoani Dodoma ni 2,352, ambapo ukatili kwa watoto ni 629 huku watu wazima ni matukio 1,723 (wanaume 350 na wanawake…
3 December 2024, 11:56
Wakazi wa Bahi road walalamika kero ya maji taka
Hali hiyo inahatarisha usalama wa afya za wananchi katika eneo hilo. Na Waandishi wetu. Wananchi wa Mtaa wa Bahi Road Jijini Dodoma wamepaza sauti zao juu mitaro inayotiririsha majitaka na chemba katika maeneo yao. Wakizungumza na taswira ya habari wamesema…
3 December 2024, 11:43
Serikali kuendeleza ushirikiano na wajariamali wa Zabibu
Serikali imeendelea kuwataka wawekezaji wengi kuja kuwekeza katika Mkoa wa Dodoma. Na Fred Cheti.Serikali imeahidi kuendelea kutoa ushirikiano kwa wajasirimali wadogo,wakati na wakubwa wa zao la zabibu ili kuzidi kukuza biashara hiyo pamoja uchumi wa nchi kwa ujumla. Naibu Waziri…