Dodoma FM

Recent posts

19 July 2024, 16:20

Mila, desturi kikwazo wanawake kuwania nafasi za uongozi

Takwimu zinaonesha bado hakuna uwakilishi wa kutosha wa wanawake katika nafasi za uongozi, za kuchaguliwa au kuteuliwa katika ngazi mbalimbali za uongozi na hata hivyo ukilinganisha na tulipotoka, kuna mabadiliko chanya katika ushiriki wa wanawake na uongozi. Na Alfred BulahyaKuelekea…

18 July 2024, 16:39

Utawala wa mnyama simba-Kipindi

Leo katika Fahari tunaangazia maisha ya mnyama simba katika utawala na mawindo . Na Yussuph Hassan.Je, unafahamu kuwa simba dume akivamia familia ya simba mwingine na kuitawala hulazimika kuwaua watoto madume wote na kisha kuanza kizazi chake upya.

18 July 2024, 16:24

Matumizi sahihi ya ARV yanasaidia kuboresha afya

Dkt. Janet Mtenga ameshauri jamii kujenga utamaduni wa kupima VVU na kutumia kwa usahihi dawa za kufubaza virusi vya ukimwi ARVs. Na Yussuph Hassan.Imeelezwa utumiaji kwa usahihi matumizi ya dawa za kufubaza Virusi Vya Ukimwi ARV inasaidia kuboresha afya na…

18 July 2024, 16:04

Ujenzi ofisi serikali ya mtaa Chang’ombe kuongeza ufanisi kiutendaji

Wamepokea Tsh milioni 30 kutoka serikalini ili kukamilisha ujenzi huo. Na Mindi Joseph.Ujenzi wa ofisi ya serikali ya mtaa katika kata ya Chang’ombe Juu unatajwa kuongeza ufanisi katika utendaji kazi pamoja na kuwahudumia wananchi. Ujenzi huo ulianza kwa nguvu za…

18 July 2024, 15:19

Wasomi watakiwa kuwa mfano bora utunzaji wa mazingira

Vijana ni nguvu kazi ya taifa hivyo wanatakiwa kutambua wajibu wao katika kutunza na kuhifadhi mazingira pia kuwa mabalozi wazuri wa mazingira. Na Mariam KasawaVijana wa vyuo vikuu wametakiwa kutunza mazingira kwa kufanya shughuli mbalimbali ikiwemo upandaji miti na uanzishaji…

17 July 2024, 17:33

Soko la Hamvu Chang’ombe kunufaisha kiuchumi wakazi 6000

Kata ya Chang’ombe ina wakazi wapatao elfu 39000 na hadi sasa ina soko moja tu linalotumika la Mavunde na kukamilika kwa ujenzi wa soko la Hamvu itaongeza idadi ya masoko mawili. Na Mindi Joseph.Kukamilika kwa Ujenzi wa soka la Hamvu…

17 July 2024, 16:59

Mkoa wa Dodoma unashika nafasi yapili vitendo vya ukatili wa kimwili

Hii ni kufuatia ripoti ya hali ya haki za binadamu nchini uliyoangazia haki za kisiasa,kiuchumi na kijamii Tanzania bara na visiwani. Na Alfred Bulahya.Mkoa wa Dodoma umetajwa kushika nafasi ya pili kwa vitendo vya ukatili wa kimwili huku wanawake wakitaja…

17 July 2024, 16:42

Wilaya ya Bahi yafikia malengo ukusanyaji wa mazao ya chakula

Mradi wa Kudhibiti Sumukuvu Nchini TANIPAC unalenga kupunguza uchafuzi wa sumukuvu katika mnyororo wa thamani wa mazao ya chakula hususani mahindi na karanga na kusaidia kuimarisha usalama wa chakula. Na Kadala Komba.Halmashauri ya Wilaya ya Bahi Mkoani Dodoma imefanikiwa kufikia…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger