Recent posts
17 July 2024, 16:15
Maonesho ya nanenane fursa kwa wafanyabiashara na wajasiriamali
Kitaifa Maonesho hayo ya wakulima nane nane yanatarajiwa kufanyika katika Mkoa wa Dodoma katika viwanja vya Nzuguni. Na Fred Cheti.Inaelezwa kuwa Maonesho ya wakulima Nane nane yamekuwa yakitoa fursa kubwa kwa wajasirimali na wafanyabiashara jijini hapa kutokana na Mkusanyiko mkubwa…
17 July 2024, 14:38
Jamii zatakiwa kutumia taasisi za kitafiti kujifunza
lengo la ziara hiyo ni kutekeleza Sera ya Elimu ya mwaka 2023 na kuwaongezea watoto ari ya kujifunza masomo ya amali. Na Steven Noel.Jamii imeshauriwa kuzitumia taasisi za kitafiti katika kujifunza na kujiongezea uelewa wa mambo mbalimbali yahusuyo maendeleo na…
15 July 2024, 17:58
Leo tunaangazia utoaji wa taarifa kuhusu vitendo vya ukatili wa kijinsia
Amewataka wanafunzi hao kuepuka matendo maovu. Na; Mariam Matundu.kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Dodoma na Kamishina Msaidizi mwandamizi wa Polisi SAPC Theopista Mallya imeitaka jamii kukemea vitendo vya ukatili kwa kutoa taarifa ya vitendo hivyo katika jeshi la…
15 July 2024, 17:29
Serikali kuchimba visima Igandu zaidi ya vitatu
Hata hivyo Serikali kupitia RUWASA bajeti ya 2023/2024 imepanga kujenga jumla ya miradi 1546. Na Victor Chigwada.Matumaini ya kupata huduma ya maji safi na salama yameanza kupata nuru kwa wananchi wa Kata ya Igandu baada Serikali kutenga fedha za kuchimba…
15 July 2024, 17:13
Root&Shoot na wanafunzi waadhimisha maadhimisho ya Sokwe mtu
Maahimisho ya Sokwe mtu huadhimishwa kila july 14 Tanzania ikiwa ni moja ya nchi wanachama wa Umoja huo unao adhimisha maadhimisho hayo. Na Mariam Kasawa.Imeelezwa kuwa sokwe mtu ni mnyama muhimu kwa Taifa letu kwani wamekuwa kivutio tosha kwa watalii…
10 July 2024, 17:08
Kamati ya kitaifa ya ushauri kuhusu kizazi chenye usawa yawatembelea wajasiriama…
Kamati ya kitaifa ya ushauri kuhusu utekelezaji wa programu ya kizazi chenye usawa ipo karika ziara ya siku nne ya kutembelea vikundi mbalimbali kwa Jiji la Dodoma, Dar-es-salaam na Unguja. Na Mariam Kasawa.Imeelezwa kuwa Tanzania ndio Nchi inayofanya vizuri Barani…
8 July 2024, 17:32
Wanao safirisha watoto mijini kufanya kazi waonywa kuacha mara moja
Kwa mujibu wa sheria ya Ajira na Mahusiano ya Kazi ya mwaka 2004 inasema ni kosa kuajiri watoto kinyume na sheria ya kazi inavyosema na adhabu inatolewa chini ya kifungu cha 102 (2) ambacho kinampaHakimu wa Wilaya na Mkazi kutoa…
8 July 2024, 17:03
Namna gani tunaweza kumlinda msichana mwenye ulemavu kuepuka mimba za utotoni
Leo tunaangazia kwa namna gani tunaweza kuwalinda wasichana wenye ulemavu kuepukana na Mimba za utotoni,Mwenzetu Selemani Kodima ametuandali taarifa ifuatayo. Na Seleman Kodima.Tatizo la mimba za utotoni limekuwa kubwa duniani na linaongezeka siku hadi siku hasa katika jamii ya uchumi…
8 July 2024, 16:37
Rushwa ya ngono yapungua vyuo vikuu Dodoma
Mara nyingi rushwa ya ngono hufanyika baina ya watu wawili na endapo aliyetendewa atatoa taarifa TAKUKURU huchukua hatua. Na Mindi Joseph.Vitendo vya rushwa ya ngono katika vyuo vikuu Mkoa wa Dodoma vimetajwa kupungua.Hayo yamebainisha na Mkuu wa Taasisi ya kuzuia…
8 July 2024, 16:23
Wazazi watakiwa kuwapatia watoto haki ya kupata elimu
Sera ya elimu jumuishi imekuwa mkombozi kwa watoto wote kufurahia elimu pamoja. Na Mariam Kasawa.Wazazi wametakiwa kutambua kuwa haki ya kupata elimu ni yakila mtoto hivyo wanapaswa kuwaacha watoto wasome na kuwapatia mahitaji yote muhimu. Sera ya elimu jumuishi imekuwa…