Recent posts
13 June 2024, 12:41
Jamii yatakiwa kuwasilisha migogoro ya bima TIO
Ofisi ya Msuluhishi wa migogoro ya bima ni taasisisi inayojitegemea iliyoanzishwwa chini ya sheria ya bima Namba 10 YA MWAKA 2009 sura 394 na ilianza kufanya kazi mwaka 2015 baada ya msuluhishi kuteuliwa. Na Fred Cheti. Jamii imetakiwa kuwasilisha Migogoro…
13 June 2024, 11:41
Wanafunzi vyuo vikuu wachuana uandishi wa insha za usalama barabarani
Kwa mujibu wa taarifa za Shirika la Afya Duniani (WHO), ajali za barabarani ni miongoni mwa sababu namba moja ya vifo kwa watoto wa umri kati ya miaka 5 hadi 14 pamoja vijana wa umri kati ya miaka 15 hadi…
13 June 2024, 10:48
Vijana wa miaka 13 hadi 17 kufanyiwa upimaji Mpwapwa
Shirika la ACTON FOR COMMUNITY CARE linatoa mafunzo kwa wakufunzi 32 kutoka kata 20 na vitongoji 25 za wilaya ya Mpwapwa. Na Mariam KasawaUpimaji wa stadi za maisha kwa vijana wenye umri wa miaka 13 hadi 17 unatajwa kusaidia vijana…
10 June 2024, 19:16
Wabunge wapigwa msasa mfumo mpya wa ununuzi wa umma wa kielektroniki NEST
Ikumbukwe kuwa MAMLAKA ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) umeanzisha mfumo mpya wa manunuzi wa kielekroniki National e-Procurement System of Tanzania (NeST) utakaosaidia kudhibiti rushwa, mchakato wa zabuni kuchelewa na kuongeza uwazi wa zabuni . Na Seleman Kodima.Wito umetolewa…
10 June 2024, 19:04
Nafasi ya jamii kwa wenye ulemavu kupata elimu bila vikwazo
Mwandishi wetu Selemani Kodima amezungumza na Mzazi huyo. Na Seleman Kodima.Pamoja na jitihada zinazofanywa kuhakikisha watoto wenye ulemavu wanapata elimu kama watoto wengine, bado jitihada hizo hazijazaa matunda. Kutokana uwepo vikwazo kwenye baadhi ya jamii ,leo tunakukutanisha na BABA ambaye…
10 June 2024, 18:53
DUWASA yapiga marufuku matumizi ya maji taka
Serikali ya Awamu ya Sita imetenga shilingi Bilion 160 kwa ajili ya kutekeleza ujenzi wa mabwawa 16 ya kutibu maji taka katika kata ya Nzuguni na mradi huu utaanza kutekelezwa mwazi July 2024. Na Mindi Joseph.Mamlaka ya maji safi na…
6 June 2024, 18:42
Njia salama za uzazi wa mpango-Makala
Tafiti zinaonesha kuwa wanawake wengi hawataki kupata ujauzito tena ndani ya mwaka mmoja baada ya kujifungua. Na Mwandishi wetu.Wakati kila mtu ana haki ya kufanya uamuzi wake kuhusu kutumia njia za uzazi wa mpango, si kila mtu anaweza kutumia haki…
4 June 2024, 17:55
Wakazi wa Membe wapongeza ujenzi wa bwawa
Ujenzi wa bwawa hilo limefikia asilimia 82 ambapo hatua inayoendelea ni ujenzi wa mifereji ya maji Na Victor Chigwada.Wakazi wa Kata ya Membe Wilaya ya Chamwino wameipongeza serikali kwa juhudi zinazoendelea katika ujenzi wa bwawa la kilimo cha Umwagiliaji. Wakizungumza…
4 June 2024, 17:34
Wizara ya Elimu kutumia matokeo ya utafiti wa HakiElimu
Utafiti huu utasadia katika kufanya maamuzi kuhusu upatikanaji wa elimu mijini katika eneo la Afika Mashariki. Na Mindi Joseph.Wizara ya Elimu imesema itahakikisha inatumia matokeo ya utafiti wa HakiElimu katika kuhakikisha kuwa upatikanaji wa elimu unakuwa sawa kwa makundi yote.…
3 June 2024, 19:23
Maonesho ya siku ya mazingira yazinduliwa Jijini Dodoma
Urejeshaji wa ardhi iliyo haribiwa na ustahimilivu wa hali ya jangwa na ukame. Na Mariam Kasawa.Wananchi wametakiwa kutumia Bunifu na Teknolojia mbalimbali za utunzaji wa mazingira ili kunusuru mazingira. Maonesho ya siku ya mazingira ambayo kitaifa yanafanyika hapa Jijini Dodoma…