Dodoma FM

Recent posts

3 April 2024, 5:16 pm

Watu wa karibu wana mchango gani kwa kijana kuwania uongozi

Leo tunaangazia Watu wa karibu wanamsaidiaje kijana kuwania nafasi za uongozi wa serikali za mitaa ambapo Selemani kodima anatuletea taarifa ifuatayo. Na Seleman Kodima.Ikiwa Mwaka huu Tanzania tunafanya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambao unahusisha kuchagua viongozi kwenye nafasi za…

28 March 2024, 8:09 pm

Waumini wa Kikristo watakiwa kuiadhimisha Pasaka kwa kutenda mema

NaThadei Tesha. Waumini wa dini ya kikristo wametakiwa kuiadhimisha siku ya alhamisi kuu kwa kutenda matendo mema pamoja na kufanya toba. Wakristo kote ulimwenguni wakiwemo wa kanisa Wakatoliki wanaungana katika kuadhimisha siku ya alhamisi kuu,siku hii ikiwa ni mwendelezo wa…

28 March 2024, 7:36 pm

Nzuguni A waishukuru Serikali kwa kuchonga barabara

Ni msimu wa kiangazi tu Barabra hii ilikuwa inapitika Lakini Msimu wa masika ilikuwa ni kikwazo. Na Mindi Joseph. Wakazi wa Nzuguni A wameishukuru Tarura kwa Uchongaji wa barabara Kilometa 9.780 na uzibaji wa mashimo kwa kifusi katika mtaa huo…

28 March 2024, 7:07 pm

Rais Samia kuhudhuria kumbukizi ya miaka 40 ya hayati Sokoine

Hayati Sokoine alikuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika vipindi viwili wakati wa uongozi wa awamu ya kwanza. Na Selemani Kodima. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika…

28 March 2024, 6:52 pm

CAG awasilisha ripoti kwa Rais Dkt. Samia Suluhu

Deni hilo linajumuisha deni la ndani Shilingi Trilioni 28.92 deni la nje Shilingi Trilioni 53.32. Na Seleman Kodima.Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa serikali (CAG) Charles E. Kichere, amesema kuwa deni la Serikali hadi kufikia Juni 30, 2023 lilikuwa Shilingi Trilioni…

27 March 2024, 6:14 pm

Jamii yaaswa kuzingatia matumizi sahihi ya mitandao

Ulimwengu kwa sasa umeshuhudia ukuaji mkubwa wa matumizi ya teknolojia na pia intaneti Lakini watumiaji wengi wa teknolojia hizi wamekua katika hatari ya kuingia katika matumizi mabaya ya teknolojia hii kutoka na wizi na vitendo vya udhalilishaji vinavyoweza kutokea kupitia…

27 March 2024, 5:38 pm

Elimu ya utunzaji Mazingira yawanufaisha wanafunzi

Wadau wa mazingira wanasema vijana wanapaswa kutambua kwamba jukumu la utunzaji wa mazingira ni la kila mmoja katika jamii hivyo ni vema washiriki katika shughuli za utunzaji wa mazingira. Na Mariam Kasawa. Elimu ya utunzaji mazingira na kilimo inatajwa kuwanufaisha…

27 March 2024, 5:10 pm

Uzalishaji wa maji Nzuguni waongeza asilimia 11.7 ya maji

Mradi wa Maji Nzuguni umegharimu bilion 4.3 lengo likiwa ni kuboresha huduma ya usambazaji maji katika kata na jiji la Dodoma kwa ujumla. Na Mindi Joseph.Kukamilika kwa Mradi wa awamu ya kwanza wa Visima 5 vya maji Eneo la nzuguni…

27 March 2024, 3:51 pm

Wanawake Mnadani wazungumzia miaka mitatu ya Rais Samia

Itakumbukwa kuwa Rais dkt Samia Suluhu Hassan ndie Rais wa kwanza mwanamke hapa nchini Tanzania na Afrika Mashariki ambapo aliapishwa rasmi march 19 mwaka 2021. Na Mariam Matundu.Ikiwa ni miaka mitatu tangu Rais Samia aingie madarakani maendeleo katika sekta mbalimbali…

26 March 2024, 8:11 pm

Wasomi watakiwa kuwa mfano upandaji wa miti

Hapa nchini kampeni nyingi za upandaji miti zimekuwa zikianzishwa na kutekezwa na wadau mbalimbali pamoja na wadau wa mazingira ili kuunga mkono juhudu za raisi wa Tanzania mama Samia Suluhu za kutaka mazingira Bora kwa wananchi. Na Mariam Kasawa.Wasomi na…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger