Recent posts
18 July 2024, 15:19
Wasomi watakiwa kuwa mfano bora utunzaji wa mazingira
Vijana ni nguvu kazi ya taifa hivyo wanatakiwa kutambua wajibu wao katika kutunza na kuhifadhi mazingira pia kuwa mabalozi wazuri wa mazingira. Na Mariam KasawaVijana wa vyuo vikuu wametakiwa kutunza mazingira kwa kufanya shughuli mbalimbali ikiwemo upandaji miti na uanzishaji…
18 July 2024, 14:37
Watoto wanaoishi mazingira magumu hatarini matumizi ya gundi, tumbaku na petrol
Picha ni Dkt. Christian Bwasi Afisa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya. Picha na Mindi Joseph. Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya haitafumbia macho wauzaji wazalisha na wafadhili wa dawa za kulevya kwani wanaua…
17 July 2024, 17:45
Wakazi wa Nzuguni waombwa kuwa wavumilivu kwa siku kumi maboresho ya Tanki la ma…
Mhandishi Aron amewaomba wananchi kuhifadhi na kutumia maji kwa uangalifu. Na Mariam KasawaMkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA), Mhandisi Aron Joseph amewaomba wananchi wa Nzuguni na maeneo yanayohudumiwa na mradi wa maji wa Nzuguni…
17 July 2024, 17:33
Soko la Hamvu Chang’ombe kunufaisha kiuchumi wakazi 6000
Kata ya Chang’ombe ina wakazi wapatao elfu 39000 na hadi sasa ina soko moja tu linalotumika la Mavunde na kukamilika kwa ujenzi wa soko la Hamvu itaongeza idadi ya masoko mawili. Na Mindi Joseph.Kukamilika kwa Ujenzi wa soka la Hamvu…
17 July 2024, 16:59
Mkoa wa Dodoma unashika nafasi yapili vitendo vya ukatili wa kimwili
Hii ni kufuatia ripoti ya hali ya haki za binadamu nchini uliyoangazia haki za kisiasa,kiuchumi na kijamii Tanzania bara na visiwani. Na Alfred Bulahya.Mkoa wa Dodoma umetajwa kushika nafasi ya pili kwa vitendo vya ukatili wa kimwili huku wanawake wakitaja…
17 July 2024, 16:42
Wilaya ya Bahi yafikia malengo ukusanyaji wa mazao ya chakula
Mradi wa Kudhibiti Sumukuvu Nchini TANIPAC unalenga kupunguza uchafuzi wa sumukuvu katika mnyororo wa thamani wa mazao ya chakula hususani mahindi na karanga na kusaidia kuimarisha usalama wa chakula. Na Kadala Komba.Halmashauri ya Wilaya ya Bahi Mkoani Dodoma imefanikiwa kufikia…
17 July 2024, 16:15
Maonesho ya nanenane fursa kwa wafanyabiashara na wajasiriamali
Kitaifa Maonesho hayo ya wakulima nane nane yanatarajiwa kufanyika katika Mkoa wa Dodoma katika viwanja vya Nzuguni. Na Fred Cheti.Inaelezwa kuwa Maonesho ya wakulima Nane nane yamekuwa yakitoa fursa kubwa kwa wajasirimali na wafanyabiashara jijini hapa kutokana na Mkusanyiko mkubwa…
17 July 2024, 14:38
Jamii zatakiwa kutumia taasisi za kitafiti kujifunza
lengo la ziara hiyo ni kutekeleza Sera ya Elimu ya mwaka 2023 na kuwaongezea watoto ari ya kujifunza masomo ya amali. Na Steven Noel.Jamii imeshauriwa kuzitumia taasisi za kitafiti katika kujifunza na kujiongezea uelewa wa mambo mbalimbali yahusuyo maendeleo na…
15 July 2024, 17:58
Leo tunaangazia utoaji wa taarifa kuhusu vitendo vya ukatili wa kijinsia
Amewataka wanafunzi hao kuepuka matendo maovu. Na; Mariam Matundu.kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Dodoma na Kamishina Msaidizi mwandamizi wa Polisi SAPC Theopista Mallya imeitaka jamii kukemea vitendo vya ukatili kwa kutoa taarifa ya vitendo hivyo katika jeshi la…
15 July 2024, 17:29
Serikali kuchimba visima Igandu zaidi ya vitatu
Hata hivyo Serikali kupitia RUWASA bajeti ya 2023/2024 imepanga kujenga jumla ya miradi 1546. Na Victor Chigwada.Matumaini ya kupata huduma ya maji safi na salama yameanza kupata nuru kwa wananchi wa Kata ya Igandu baada Serikali kutenga fedha za kuchimba…