Recent posts
21 May 2024, 15:19
Wanawake 300 kunufaika na mradi wa kujikwamua kiuchumi
Chemba ya Wanawake Wafanyabiashara Tanzania imeendelea kuboresha maisha ya wanawake kupitia ujuzi na namna ya uwekezaji na kutafuta masoko. Na Mindi Jodeph.Zaidi ya wanawake 300 wamenufaika na kujikwamu kiuchumi kupitia mradi wa uwezeshaji wanawake wajasiriamali Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma. Mradi…
21 May 2024, 13:30
Uhai wa viumbe hai unavyobebwa na uchavushaji
Na Mariam Kasawa.Kwa mujibu wa watafiti wanasema kuwa asilimia 80 ya uchavushaji unaonaofanywa na nyuki ni muhimu kwa viumbe hai kwani pasipo uchavushaji hakuna maisha. Mustakabali wa binadamu na mifumo ya ekolojia hutegemea uchavushaji takriban asilimia 80 ya spishi za…
18 May 2024, 18:53
Ufahamu umuhimu wa Nyuki katika mazingira
Wananchi wanaaswa kuendelea kutunza mazingira pamoja na kujihusisha na ufugaji wa nyuki kwani ni fursa itakayo wakwamua kiuchumi. Na Mariam Kasawa.Nyuki anatajwa kuwa mdudu muhimu sana katika Afya na mazingira kwani viumbe hai wote wanategemea uchavushaji wa nyuki kujipatia chakula…
17 May 2024, 12:25
Klabu za maadili zaanzishwa kwa shule za msingi, sekondari Dodoma
Lengo la klabu za maadili ni kuwajengea wanafunzi misingi bora ya maadili tangu wakiwa shuleni. Na Mindi Joseph.Zaidi ya klabu 200 za maadili kwa shule za sekondari na msingi zimeanzishwa mkoani Dodoma huku lengo ni kufikia shule zote kujenga ufahamu…
17 May 2024, 12:06
Teknolojia, utandawazi chanzo cha kukua kwa matatizo ya afya ya akili
Watu wengi wana tatizo la afya ya akili lakini hawatambui. Na Mindi Joseph.Matatizo ya afya ya akili kwenye familia na jamii yametajwa kukua nchini kufuatia kukua kwa teknolojia na utandawazi.Dodoma Tv imefanya mahojiano na Shabani Waziri kutoka chama cha wanasaikoljia…
17 May 2024, 11:48
Nishati ya jua mkombozi wa mkulima
15 May 2024, 12:36
UCSAF wapongezwa kwa kusimamia vema dhamana waliyopewa
Mnara huu ulio kaguliwa na Waziri Nape umegharimu kati ya milioni 300 mpaka milioni 350 na ni moja kati ya Minara 758, ambayo Ujenzi wake unatekelezwa katika maeneo mbalimbali hapa Nchini. Na Mariam Kasawa. Mfuko wa mawasiliano kwa wote (UCSAF)…
7 May 2024, 19:27
Sumukuvu hatari kwa usalama wa chakula
Kulingana na shirika la Afya Duniani (WHO), sumu kuvu huharibu karibu asilimia 25 au zaidi ya chakula kinachozalishwa duniani kila mwaka. Na Mindi Joseph.Tatizo la Sumukuvu limetajwa kuhatarisha usalama wa chakula hivyo kuiweka idadi kubwa ya walaji kuwa katika hatari.…
7 May 2024, 18:59
Usawa wa kijinsia katika nafasi za uongozi-Makala
Serikali kwa kushirikiana na wadau inatambua umuhimu wa kuwa na wanawake viongozi mahili na kuwekeza rasilimali katika usawa wa kijinsia kama chachu ya kutokomeza ukatili wa kijinsia. Na Yussuph Hassan.Leo tunaangazia suala la namna gani usawa wa kijinsia unazingatiwa katika…
7 May 2024, 18:41
Wanafunzi Kongwa wajifelisha mitihani kwa ajili ya kazi za ndani
Wanafunzi wa shule za msingi wilayani Kongwa Mkoani Dodoma wamekuwa wakishindwa kuhitimu masomo yao. Na Alfred Bulahya.Imeelezwa kuwa baadhi ya wanafunzi wa shule za msingi wilayani Kongwa mkoani Dodoma wamekuwa wakishindwa kuhitimu masomo yao huku wengine wakijaza majibu ya uongo…