Recent posts
6 May 2024, 18:14
Mkakati wa kukabiliana na ukatili dhidi ya watoto
Nini kinapaswa kufanyika ili kukomesha ukatili dhidi ya watoto? Na Mwandishi wetu.Leo tunaangazia suala la maadili katika jamii Mikakati ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum kukabiliana na Mmomonyoko wa Maadili na Ukatili Dhidi ya Watoto.
2 May 2024, 18:03
Marufuku uvutaji wa sigara hadharani
Matumizi ya sigara yana athari nyingi za kiafya kwa matumizi ya binadamu kwani ina Kemikali zaidi ya 4000 na 40 zikiwa ni hatari zaidi kwa kusababisha Magonjwa ya Saratani kwa Wanaume na Wanawake. Na Mindi Joseph.Wananchi Mkoani Dodoma wamepongeza serikali…
2 May 2024, 17:47
Kero ya barabara Hombolo kutatuliwa baada ya miezi 3
Changamoto ya barabara ya Hombolo imedumu kwa muda mrefu huku wakazi wa eneo hilo wakipaza sauti zao mara kwa mara kuiomba serikali itatue kero hiyo. Na Mariam Kasawa.Hatimaye changamoto ya barabara ya kutoka Hombolo kwenda Dodoma mjini yapata ufumbuzi wa…
30 April 2024, 19:29
Vyombo vya habari vyatakiwa kushiriki kutatua changamoto za uchaguzi
Kongamano hilo limefanyika chini ya kaulimbiu isemayo Uandishi wa Habari za Uchaguzi kwa weledi hujenga USAWA, HAKI na UWAJIBIKAJI. Na Pius Jayunga.Waziri mkuu mstaafu na makamu wa rais Jaji Joseph Sinde Warioba amevitaka Vyombo vya Habari nchini kushiriki katika kusaidia…
30 April 2024, 19:03
Jengo alilotumia kamanda wa ANC Komred Mabuya
Katika mfulizo wa makala hii ya fahari ya Dodoma unafahamu vitu vingi ambavyo vinapatikana katika mkoa huu. Na Yussuph Hassan. Bado camera ya Fahari ya Dodoma ipo wialayani Kongwa leo tunalitazama jengo alilo litumia kamanda wa ANC Komred Mabuya je…
30 April 2024, 18:45
Kaulimbiu ya TEF yamkosha Naibu waziri mkuu
Hapo jana April 29 Jukwaa la wahaariri TEF lilizindua mkutano wa 13 hapa jijini Dodoma ambapo mgeni rasmi katika mkutano huo alikuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe Dkt Dotto Biteko . Na Mariam Kasawa.Kaulimbiu ya mkutano wa…
25 April 2024, 18:38
Gesi ya ukaa hatari kwa mazingira
Kuboresha na kutunza mazingira ardhini na baharini ni mojawapo ya mikakati mikuu ya kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi. Na Mariam Kasawa.Inaelezwa kuwa uzalishaji wa gesi ya ukaa usipopunguzwa kwa asilimia 7.6 kila mwaka dunia haitaweza kufikia nyuzijoto 1.5 za kiwango…
25 April 2024, 18:26
UCSAF yatakiwa kuvifikia vijiji ambavyo havina mawasiliano
Ujenzi wa Jengo la Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote UCSAF ulianza April 2021 na ujenzi huu umegharimu bilion 3.8. Na Mindi Joseph.Makamu wa Rais wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ameitaka UCSAF kusimamia kwa karibu ujenzi wa minara ya mawasiliano unaoendelea…
24 April 2024, 18:48
Wafahamu Maadui walio ibuka baada ya ujinga , maradhi na umaskini
Mashindano ya mdahalo kwa wanafunzi wa shule za msingi, sekondari na vyuo Dodoma yanahusisha wanachama wa klabu za wapinga Rushwa kutoka shule za msingi, sekondari na vyuo. Na Seleman Kodima.Serikali imesema baada ya kufanikiwa kupambana na maadui watatu ambao ni…
24 April 2024, 18:32
Jamii yatakiwa kuendelea kupiga vita vitendo vya ukatili
Afisa Ustawi wa jamii wanazungumzia vyanzo vya ukatili na jinsi ya kuepukana na vitendo hivyo. Na Steven Noel.Jamii imeshauriwa kuendelea kupiga vita vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa makundi yote Ili kuweza kuwa na Taifa lenye amani na maendeleo. Hayo…