Recent posts
3 June 2024, 17:09
Vijana waonywa wizi wa misalaba makaburi ya Chang’ombe
Makuburi ni mahala pa mapumziko ya milele kwa wafu na ni vyema jamii ikaacha tabia ya kuiba misalaba na mikanda ya vigae vya sakafu. Na Mindi Joseph.Wizi wa misalaba ya chuma katika Makuburi yaliyopo kata ya chang’ombe Jijini Dodoma umekithiri…
3 June 2024, 08:42
Mchakato wa uchaguzi wa NaCoNGO ngazi ya Mkoa kuanzia Leo June 3.
Uchaguzi huo unakuja kufuatia Baraza lililopo madarakani kumaliza muda wake wa miaka mitatu kikatiba ifikapo Juni 30, 2024. Na Mindi Joseph Kamati ya Mpito ya Baraza la Taifa la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NaCoNGO) imetangaza mchakato wa uchaguzi wa wa…
28 May 2024, 18:26
Serikali yaanza kuwachimbia visima wakulima wadogo Manchali
Pamoja na hayo Wizara ya kilimo itahakikisha inawasaidia Wakulima wadogo waliopo katika mradi huo kupima mashamba yao ili wapate hati. Na Mindi Joseph.Serikali imeanza utekelezaji wa mradi wa kuwachimbia visima wakulima wadogo katika kijiji cha manchali jijini Dodoma ili waweze…
28 May 2024, 17:45
Nayu watakiwa kuwa tayari zoezi la urasimishaji ardhi
Kila mwananchi ambaye anamiliki ardhi atafikiwa na zoezi hilo hivyo ni muhimu kila mmoja kushiriki. Na Victor Chigwada.Wakazi wa kijiji cha Nayu wilayani Chamwino mkoani Dodoma wametakiwa kuwa tayari kwa ajili ya zoezi la urasimishaji ardhi na makazi ambalo linatarajia…
28 May 2024, 17:09
Familia zifanye nini kuwezesha hedhi salama kwa wasichana na wanawake?
Tunaona jitihada za wadau mbalimbali ikiwemo wizara ya afya katika kuelimisha jamii juu ya kuweka mazingira wezeshi kwa mabinti na wanawake ili waweze kupa hedhi salama pamoja na kuvunja ukimya kuzungumza juu ya suala la hedhi . Na Mariam Matundu.Ikiwa…
23 May 2024, 17:15
Kilimo cha umwagiliaji mkombozi kwa wakazi wa Ntube
Bwawa Ntube ni bwawa ambalo limekuwepo katika mtaa huo kwa miaka mingi ambapo huhifadhi maji kwa mwaka mzima bila kukaua hivyo kuwa msaada kwa wakazi wa mtaa huo. Na Mariam Kasawa.Wakazi wa mtaa wa Ntube kata ya Nkuhungu wameiomba serikali…
23 May 2024, 16:27
Wakazi zaidi 14,000 waondokana na adha ya maji Ntyuka
Kata ya Ntyuka ina Mitaa mitano na wamenufaika na Visima 3 viliyochimbwa katika maeneo yao kwani viwili vinatoa maji na kimoja bado hakijaanza kutoa maji. Na Mindi Joseph.Wakazi zaidi ya Elfu 14,000 wa kata ya Ntyuka Jijini Dodoma Wameondokana adha…
23 May 2024, 15:59
Jamii yatakiwa kuweka mazingira rafiki kwenye suala la hedhi salama
siku ya hedhi salama huadhimishwa kila mwaka Mei 28. Na Mariam Matundu.Waziri wa afya ameitaka jamii na wadau kuweka mazingira rafiki kwenye suala la hedhi salama ili mwanamke aweze kutimiza majukumu yake bila kikwazo. Waziri Ummy amesema hayo wakati akitoa…
22 May 2024, 09:10
Maonesho ya wiki ya viwanda na biashara yazinduliwa Dodoma
Wananchi wametakiwa kuwa na desturi ya kupenda kununua na kutumia bidhaa zinazozalishwa na viwanda Nchini ili kukuza viwanda hivyo na uchumi wa nchi . Na Mindi Joseph.Serikali imetoa wito kwa wadau wa sekta ya Viwanda na Biashara kuzingatia mambo matatu…
21 May 2024, 15:44
Askofu aliye jinyonga azikwa katika viunga vya kanisa hilo
Askofu Joseph alipoteza maisha may. 16 mwaka huu baada ya kuchukua maamuzi ya kujinyonga. Na Alfred Bulahya.Mwili wa aliekuwa askofu mkuu wa kanisa la Tanzania Methodist TMC Askofu Joseph Bundala umezikwa jana katika viunga vya kanisa la Ihumwa alilokuwa akiliongoza.…