Recent posts
22 July 2024, 18:14
Klabu za mazingira zawajenga wanafunzi kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi
Kuanzisha klabu ya mazingira ni rahisi, wanahitajika walimu ambao watakuwa walezi wa klabu pamoja na wanafunzi ambao wanapenda mazingira . Na Mariam Kasawa. Klabu za mazingira katika shule za msingi na sekondari zinatajwa kuwafundisha wanafunzi namna ya kukabiliana na mabadiliko…
22 July 2024, 17:59
Miundombinu bora ya shule yaongeza kiwango cha ufaulu Lukundo Sekondari
Shule ya Sekondari Lukundo imeendelea kushika nafasi ya 2 ki Wilaya na 3 bora kwa Mkoa kwa kipindi cha miaka mitatu kwa mujibu wa Baraza la Mitihani la Taifa (Necta). Na Mindi Joseph. Uboreshaji wa Miundombinu ya Wanafunzi na Walimu…
19 July 2024, 18:27
Wanafunzi walalamika kukataliwa katika baadhi ya vyombo vya usafiri
Licha ya kupanda na kushuka kwa bei ya nishati ya mafuta ya petroli Nchini kunakochangia ongezeko la bei za nauli katika vyombo vya usafiri ikiwemo daladala lakini mamlaka ya udhibiti wa usafiri wa ardhini LATRA haijabadili kiwango cha nauli kwa…
19 July 2024, 17:45
Kwanini simba huunguruma tofauti na jamii yote ya paka wakubwa?
Kwanini simba hufahamika kama mfalme wa mbuga. Na Yussuph Hassan.Mtaalamu wa wanyama pori wanatueleza kwanini simba huunguruma tofauti na jamii yote ya paka wakubwa.
19 July 2024, 17:27
Jamii yakosa elimu ya kutosha juu ya utanganishaji wa taka
Ili kupata matokeo mazuri ni lazima kuweka misingi ya utekelezaji ikiwa ni pamoja ushirikishwaji wa umma, utekelezaji wa sheria na makubaliano kwa wadau mbalimbali wanaojihusisha na sekta ama teknolojia ya urejelezaji taka. Na Mariam Kasawa.Inaelezwa kuwa Mazingira safi ni kitovu…
19 July 2024, 16:45
Ujenzi wa kituo cha polisi Chang’ombe kuimarisha ulinzi
Kata ya Changombe ina wakazi wapatao elfu 39000 lakini haikuwahi kuwa na kituo cha polisi na kukamilika kwa ujenzi huu kutaendelea kuiweka kata ya changombe katika hali ya usalama. Na Mindi Joseph.Ujenzi wa kituo cha Polisi katika Kata ya Chang’ombe…
19 July 2024, 16:20
Mila, desturi kikwazo wanawake kuwania nafasi za uongozi
Takwimu zinaonesha bado hakuna uwakilishi wa kutosha wa wanawake katika nafasi za uongozi, za kuchaguliwa au kuteuliwa katika ngazi mbalimbali za uongozi na hata hivyo ukilinganisha na tulipotoka, kuna mabadiliko chanya katika ushiriki wa wanawake na uongozi. Na Alfred BulahyaKuelekea…
18 July 2024, 16:39
Utawala wa mnyama simba-Kipindi
Leo katika Fahari tunaangazia maisha ya mnyama simba katika utawala na mawindo . Na Yussuph Hassan.Je, unafahamu kuwa simba dume akivamia familia ya simba mwingine na kuitawala hulazimika kuwaua watoto madume wote na kisha kuanza kizazi chake upya.
18 July 2024, 16:24
Matumizi sahihi ya ARV yanasaidia kuboresha afya
Dkt. Janet Mtenga ameshauri jamii kujenga utamaduni wa kupima VVU na kutumia kwa usahihi dawa za kufubaza virusi vya ukimwi ARVs. Na Yussuph Hassan.Imeelezwa utumiaji kwa usahihi matumizi ya dawa za kufubaza Virusi Vya Ukimwi ARV inasaidia kuboresha afya na…
18 July 2024, 16:04
Ujenzi ofisi serikali ya mtaa Chang’ombe kuongeza ufanisi kiutendaji
Wamepokea Tsh milioni 30 kutoka serikalini ili kukamilisha ujenzi huo. Na Mindi Joseph.Ujenzi wa ofisi ya serikali ya mtaa katika kata ya Chang’ombe Juu unatajwa kuongeza ufanisi katika utendaji kazi pamoja na kuwahudumia wananchi. Ujenzi huo ulianza kwa nguvu za…