Dodoma FM

Recent posts

21 August 2024, 18:36

Bodaboda waomba kutambulika katika makundi ya kazi

Picha ni baadhi ya Madereva Bodaboda wakiwa barabarani .Picha na Google. Mwezi Februari mwaka 2023 thamani ya Pikipiki zilizonunuliwa nje ya Nchi zilifikia Dola Milioni 136.7 sawa na Shilingi Bilioni 319.87 kiwango hicho ni zaidi ya Bajeti ya Kilimo ya…

21 August 2024, 18:14

Ally Kamwe apewa kazi PPRA

Kongamano la 16 la Ununuzi wa Umma la Afrika Mashariki  limebeba kauli mbiu isemayo  (Matumizi ya Dijitali kwa Ununuzi wa Umma Endelevu) ambapo litahusisha mataifa mbalimbali kutoka ukanda wa afrika mashariki . Na Selemani Kodima Kuelekea kufanyika kwa kongamano 16…

20 August 2024, 17:27

Rais Samia awataka wazazi, walezi kuimarisha malezi kwa watoto

Picha ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifungua Skuli ya Maandalizi Dkt. Samia Suluhu Hassan wakati wa shamrashamra za Tamasha la Kizimkazi katika eneo la Makunduchi, Unguja, Zanzibar .Picha na Ikulu. Uimarishaji wa…

20 August 2024, 17:17

Serikali kuhakikisha zabibu inapata soko la uhakika

Na Fred Cheti Upatikanaji wa soko la uhakika wa zao la zabibu mkoani Dodoma unatarajia  kuongeza tija na chachu kwa wakulima wa zao hilo kutokana na jitihada zinazoendelea kufanywa katika kuimarisha uzalishaji wa zao hilo. Hii ni baada ya kauli…

17 August 2024, 15:58

Makamu wa rais kufanya ziara ya siku tatu Dodoma

Dkt Philip Mpango ataanza ziara yake mkoani Dodoma tarehe 19 mwezi huu hadi tarehe 21 mwezi nane kwenye wilaya za Chamwino ,Bahi ,Mpwapwa,Kongwa ,chemba na Kondoa. Na Seleman Kodima.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Dkt. Philip Isdory…

16 August 2024, 14:12

Biashara ya kofia inavyowanufaisha wafanyabishara

Leo tuna hitimisha fahari ya Dodoma katika kata ya Kingale wilayani Kondoa kwa kutazama jinsi watengenezaji wa kofia hizi wanavyo nufaika kibiashara. Na Yussuph Hassan. Bi.Mwajuma Omary yeye hununua vitambaa vya kofia hizi kwa mzee Juma nakwenda kuzishona hapa anasimulia…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger